Rais Samia ana ajenda gani ya kimkakati?

Rais Samia ana ajenda gani ya kimkakati?

Dokta Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2022
Posts
1,370
Reaction score
3,154
Tangu aingie madarakani sijaona aje na mradi wowote wenye mashiko.

Hii ni tofauti kabisa na mtangulizi wake, John Magufuli, aliyeijenga nchi kwa miundo mbinu ya hadhi ya juu pamoja na mega-projects kama Bwawa kubwa la kufua umeme, ujenzi wa reli ya kisasa, kufufua shirika la ndege na mengine mengi.

Samia huyu toka aingie yeye ni mwendo wa Corona tu. Gia yake ya kwanza alipoingia madarakani ni CHANJO.

Gia ya pili ni TOZO na kupandisha gharama za bidhaa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

Sijaona kama ana jambo jipya lenye tija alilolifanya mpaka sasa.

Nasikia anafungulia DEMOKRASIA. Watu wawe huru KUBWATA kila mahali bila kukamatwa na GESHI RA PORISHI.

Leo hii mafuta yamepanda kwa zaidi ya 1000 Tshs ndani ya miezi miwili tu! Hii ni kitu gani? Ukiuliza unajibiwa kirahisi sana "Vita ya Ukraine"!

Hata alizeti tunayoilima singida nayo imekuwa haba kwa sababu ya vita ya Putin na Zelensky.

Kila kitu bei juu, mafuta juu, chakula juu, miamala ya fedha juu, vifurushi juu, kila kitu juu.

Tunahitaji Rais anayeweza kuidhibiti nchi na kuiongoza. Hii kujitepesha kizenji haiweza kutusaidia.
 
Hata Marekani bei zao za mfuta zipo juu!kuliko zetu hapa nchini.
IMG-20220504-WA0064.jpg
 
Watu mnaanza kulalamika sana
vumilieni

Mpango uliopo mafuta ya petrol yafike 5000 kwa Lita moja

Sasa kama mtaanza kulalamika mapema namna hii mtaikatisha tamaa serikali yetu tukufu ishindwe kuendelea na mpango wake maridhawa.

Nawaomba wananchi muwe wavumilivu na muone mbali kama tunavyoona sisi.
 
Tangu aingie madarakani sijaona aje na mradi wowote wenye mashiko.

Hii ni tofauti kabisa na mtangulizi wake, John Magufuli, aliyeijenga nchi kwa miundo mbinu ya hadhi ya juu pamoja na mega-projects kama Bwawa kubwa la kufua umeme, ujenzi wa reli ya kisasa, kufufua shirika la ndege na mengine mengi.

Samia huyu toka aingie yeye ni mwendo wa Corona tu. Gia yake ya kwanza alipoingia madarakani ni CHANJO.

Gia ya pili ni TOZO na kupandisha gharama za bidhaa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

Sijaona kama ana jambo jipya lenye tija alilolifanya mpaka sasa.

Nasikia anafungulia DEMOKRASIA. Watu wawe huru KUBWATA kila mahali bila kukamatwa na GESHI RA PORISHI.

Leo hii mafuta yamepanda kwa zaidi ya 1000 Tshs ndani ya miezi miwili tu! Hii ni kitu gani? Ukiuliza unajibiwa kirahisi sana "Vita ya Ukraine"!

Hata alizeti tunayoilima singida nayo imekuwa haba kwa sababu ya vita ya Putin na Zelensky.

Kila kitu bei juu, mafuta juu, chakula juu, miamala ya fedha juu, vifurushi juu, kila kitu juu.

Tunahitaji Rais anayeweza kuidhibiti nchi na kuiongoza. Hii kujitepesha kizenji haiweza kutusaidia.
Wewe ni mpumbavu sana huoni kama nchi imefunguliwa.
 
Tangu aingie madarakani sijaona aje na mradi wowote wenye mashiko.

Hii ni tofauti kabisa na mtangulizi wake, John Magufuli, aliyeijenga nchi kwa miundo mbinu ya hadhi ya juu pamoja na mega-projects kama Bwawa kubwa la kufua umeme, ujenzi wa reli ya kisasa, kufufua shirika la ndege na mengine mengi.

Samia huyu toka aingie yeye ni mwendo wa Corona tu. Gia yake ya kwanza alipoingia madarakani ni CHANJO.

Gia ya pili ni TOZO na kupandisha gharama za bidhaa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

Sijaona kama ana jambo jipya lenye tija alilolifanya mpaka sasa.

Nasikia anafungulia DEMOKRASIA. Watu wawe huru KUBWATA kila mahali bila kukamatwa na GESHI RA PORISHI.

Leo hii mafuta yamepanda kwa zaidi ya 1000 Tshs ndani ya miezi miwili tu! Hii ni kitu gani? Ukiuliza unajibiwa kirahisi sana "Vita ya Ukraine"!

Hata alizeti tunayoilima singida nayo imekuwa haba kwa sababu ya vita ya Putin na Zelensky.

Kila kitu bei juu, mafuta juu, chakula juu, miamala ya fedha juu, vifurushi juu, kila kitu juu.

Tunahitaji Rais anayeweza kuidhibiti nchi na kuiongoza. Hii kujitepesha kizenji haiweza kutusaidia.

A32D41EE-FF85-4009-8590-C76718C4BF5F.jpeg
 
Tangu aingie madarakani sijaona aje na mradi wowote wenye mashiko.

Hii ni tofauti kabisa na mtangulizi wake, John Magufuli, aliyeijenga nchi kwa miundo mbinu ya hadhi ya juu pamoja na mega-projects kama Bwawa kubwa la kufua umeme, ujenzi wa reli ya kisasa, kufufua shirika la ndege na mengine mengi.

Samia huyu toka aingie yeye ni mwendo wa Corona tu. Gia yake ya kwanza alipoingia madarakani ni CHANJO.

Gia ya pili ni TOZO na kupandisha gharama za bidhaa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

Sijaona kama ana jambo jipya lenye tija alilolifanya mpaka sasa.

Nasikia anafungulia DEMOKRASIA. Watu wawe huru KUBWATA kila mahali bila kukamatwa na GESHI RA PORISHI.

Leo hii mafuta yamepanda kwa zaidi ya 1000 Tshs ndani ya miezi miwili tu! Hii ni kitu gani? Ukiuliza unajibiwa kirahisi sana "Vita ya Ukraine"!

Hata alizeti tunayoilima singida nayo imekuwa haba kwa sababu ya vita ya Putin na Zelensky.

Kila kitu bei juu, mafuta juu, chakula juu, miamala ya fedha juu, vifurushi juu, kila kitu juu.

Tunahitaji Rais anayeweza kuidhibiti nchi na kuiongoza. Hii kujitepesha kizenji haiweza kutusaidia.
Kazi iendelee maana yake ni nini?? SGR na Stiglers zinaendelea kujengwa acha porojo
 
Back
Top Bottom