Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,211
Rais Samia wakati anawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua amesema kama kuna jambo ameligundua na linamtesa ni kwamba watumishi wengi wa umma hawajielewi na ili wawe na nidhamu ya kufanya kazi ni mpaka wapewe vitisho na kusukumwa sukumwa, bila vitisho nidhamu hakuna!
Rais amewataka viongozi wapya aliowateua wakaone ni jinsi gani ya kushughulikia tatizo hilo ili watumishi wa umma wajue wajibu na mipaka yao ya kazi.
Rais amewataka viongozi wapya aliowateua wakaone ni jinsi gani ya kushughulikia tatizo hilo ili watumishi wa umma wajue wajibu na mipaka yao ya kazi.