Nimesikia watu wanaojiita wazee wa yanga kuwa eti wanataka kwenda kwa mh Rais Samia kulalamikia hukumu ya Haji Manara kwa makosa aliyofanya yasiyo ya kimaadili.
Kwanza nitoe masikitiko yangu makubwa kwa kampuni inayofadhili huu upuuzi ambapo pamoja na project nyingine chafu,kulikuwa na project ya kumshambulia mwekezaji wa Simba Mo kwa matusi yaliyomdhalilisha yeye binafsi ingawa hakuwahi kujibu.
Pili niombe Rais wangu asikubali huu utoto kuingizwa katika mtego wa mambo ya kijinga kwa manufaa ya watu wachache tu wasio na nia njema kwa soka letu.
Rais naweza kusema tu una masuala mengi muhimu kuyafanyia kazi na si huu utopolo wa akina Manara.
Hao wazee waelimishwe tu kuwa serikali haiwezi kuingilia Uhuru wa TFF kwa kuwa ni kinyume na kanuni za FIFA na kwamba ipo hatari ya nchi kufungiwa iwapo Rais ataingilia hukumu hii
Kwanza nitoe masikitiko yangu makubwa kwa kampuni inayofadhili huu upuuzi ambapo pamoja na project nyingine chafu,kulikuwa na project ya kumshambulia mwekezaji wa Simba Mo kwa matusi yaliyomdhalilisha yeye binafsi ingawa hakuwahi kujibu.
Pili niombe Rais wangu asikubali huu utoto kuingizwa katika mtego wa mambo ya kijinga kwa manufaa ya watu wachache tu wasio na nia njema kwa soka letu.
Rais naweza kusema tu una masuala mengi muhimu kuyafanyia kazi na si huu utopolo wa akina Manara.
Hao wazee waelimishwe tu kuwa serikali haiwezi kuingilia Uhuru wa TFF kwa kuwa ni kinyume na kanuni za FIFA na kwamba ipo hatari ya nchi kufungiwa iwapo Rais ataingilia hukumu hii