Rais nchi imemshinda

Rais nchi imemshinda

prince dudu

Senior Member
Joined
May 24, 2015
Posts
109
Reaction score
77
Hili janga la mafuta Sasa ni jipu kubwa karudia tabia ya kuficha mafuta kama alivyofanya kwenye sukari Enzi zile. Ufisadi Sasa hivi ni wa watu wachache Sana, raisi wetu mtarajiwa ni majaaaliwa.
 
Hili sakata la mafuta ni la mda tu
Ni kama lile la sukali
Viwanda vilivyofungiwa ndo vimesababisha demand kuwa kubwa kuliko supply

Ila tatizo sio kubwa kama ulisemavyo
 
Rais either ni mbishi au hana washauri wa uchumi.
Haijawahi tokea serikali ikabishana na wafanyabiashara halaf ikawanikiwa.
Kazi tunayo
 
Hili sakata la mafuta ni la mda tu
Ni kama lile la sukali
Viwanda vilivyofungiwa ndo vimesababisha demand kuwa kubwa kuliko supply

Ila tatizo sio kubwa kama ulisemavyo
Issue ni bei itashuka??
Maana sukari sawa kwenye soko ipo lakini bei toka 1800/ hadi 3000/.
 
Dereva Mkali ilhali kipofu ila mwisho ni jeneza ndio mahala pawakovu.
 
Aisee ikimshinda hasara kwako leta suluhisho. Mi nimefurahi nimejua alizeti ni deal thanks jpm
 
Hili janga la mafuta Sasa ni jipu kubwa karudia tabia ya kuficha mafuta kama alivyofanya kwenye sukari Enzi zile. Ufisadi Sasa hivi ni wa watu wachache Sana, raisi wetu mtarajiwa ni majaaaliwa.
Tunaomba jina lako halisi Na picha yako ya passport tafadhali.
Hayo mambo ya location Na phone number sio muhimu kwa sasa.
CCM OYEE
 
Si mnasema amechukua nyayo za nyerere kwaiyo mnarudi kule kule. Kila kitu kitakuwa kwa foleni
 
Nyao za Nyerere. Aliwahi sema amefanya makosa mengi na tumuige kwa yale mazuri lkn angalia tunamuiga kwa yale aliyosema mwenyewe ya kipumbuvu. (Jamani ni Nyerere ndiyo kasema sio Mimi)
 
Back
Top Bottom