Rais Mwinyi Ashiriki Dua ya Kumuombea Marehemu Salim Turky

Rais Mwinyi Ashiriki Dua ya Kumuombea Marehemu Salim Turky

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
3,119
Reaction score
1,428
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa dini ya Kiislamu katika Dua ya kumuombea aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mpendae, Marehemu Salim Turky.

Dua hiyo imefanyika tarehe 20 Julai 2025, nyumbani kwa Marehemu Turky Mpendae, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi.

Akitoa salamu zake Rais Dkt. Mwinyi, ametoa wito kwa Watoto wema kuendelea kuwaombea dua Wazee wao waliotangulia mbele ya haki na kuwahimiza kuendelea na mwenendo mzuri.

Halikadhalika Rais Dkt. Mwinyi amefahamisha kuwa Amani iliodumu kwa miaka mitano inapaswa kudumishwa kwani kumekuwa na faida kubwa pamoja na Amani na utulivu wa Nchi kwani bila ya Amani hakuna maendeleo yatakayopatikana.

Marehemu Salim Turky ametimiza Miaka 4 tangu alipotangulia mbele ya haki.

WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.19.jpeg
WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.18.jpeg
WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.18 (1).jpeg

WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.42.14.jpeg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.17.jpeg
    WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.17.jpeg
    124.6 KB · Views: 16
  • WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.42.09.jpeg
    WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.42.09.jpeg
    78 KB · Views: 17
  • WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.22.jpeg
    WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.22.jpeg
    75.9 KB · Views: 16
  • WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.21 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.21 (1).jpeg
    87.2 KB · Views: 15
  • WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.21.jpeg
    WhatsApp Image 2025-07-20 at 16.41.21.jpeg
    51.4 KB · Views: 13
Back
Top Bottom