Rais Mugabe amvaa Trump

Rais Mugabe amvaa Trump

dah uku NK kampa kua mbwa koko kule Iran kampa kua Newcomer kwenye politics asiejua ata kwann amekua raisi dah UN ilikua tamu sana this week uku Leo IRAN ikizindua kombora lingine aina ya Ballistic lenye kuweza kisafiri 2000KM na kubeba multiple war heads zenye uzito wa 1800KG na kusema usalama wa Iran haujadiriwi kwenye baraza lolote lile
Trump akifanya masikhara na hao jamaa uliowataja atapata muda mgumu sana katika Uongozi wake mkuu.
Kwa sababu inavyoonekana hao jamaa wametambua udhaifu wake na kuwa ni kichwa boga (empty headed). Haswa katika masuala ya kivita. Trump ilikuwa ni chaguo baya na hatari sana kwa Dunia, sio kwa Wamarekani tu. Ila hao vichwa ngumu akicheza nao vibaya watampa funzo na kuushangaza Ulimwengu. Ndio maana Tata Mugabe alitoa mfano wa Goliath na Daudi.
 
Baada ya siku mbili ataomba msaada wa mahindi kwa trump.ndio zake huyu babu, hanaga mpya.

Gaddafi ndiye alikuwa mwanaume. Simba wa afrika.
 
Alafu kwenye hotuba ya Trump yeye alikua anatandika mbonji tu
 
Very good Speech. Reform security council, bring new set up, new voice for African countries, less money spent in Military, more on development.Tackling poverty, injustice like Western Sahara. I

like what he said here “May I say to the United States President, Mr Trump, please blow your trumpet. Blow your trumpet in a musical way towards the values of unity, peace, cooperation, togetherness, dialogue, which we have always stood for.”
 
Deligate kutoka Zimbabwe walidai mzee alikuwa hajasinzia Ila alikuwa anakwepa mwanga usimuathiri macho!

Kumbuka kafanyiwa upasuaji wa macho huyu legend.
Fix izo, sasa mbona aliweza kusoma hotuba yake kwenye mwanga!
 
Back
Top Bottom