Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Subiri aje Trump halafu uje useme haya unayo yasema; kwa taarifa yako hata Bush amewahi kuja Bongo kama rais wa USA na akaja tena kama mstaafu, ni hivi, yale ulio yaona kwa Obama Enzi zile akiwa raisi wa Marekani hayakufanyika kwa matakwa yake wala ya raisi wetu wa wakati huo, yalifanyika kwa matakwa ya security systems zao Wamarekani, akiisha toka madarakani huo ulinzi haupo tena. Kwani JK sasa hvi au Mkapa nao wanatembea na ving'ora kama zamani!? Si juzi kati hapa Mkwere alikua zake Sabasaba pale, barabara zilifungwa!?wakuu mmechosha sasa.
Obama enzi ya madaraka yake alivyokuja bongo ,sio kutwa nzima barabara zilifungwa? vipeperushi kila mahala? fighers zinazunguka kama ndege wa angani?
hakuja na mamitambo ya kudetect snipers kwa km kadhaa? au mwaka ule we ulikuaga wapi wafanyakazi wa airport walivyopewa off ili wamarekani wa take over kisa obama?
Maghu ana mapungufu ila sio kiivyo wakuu
Huelewe mambo ya dunia hii..wakuu mmechosha sasa.
Obama enzi ya madaraka yake alivyokuja bongo ,sio kutwa nzima barabara zilifungwa? vipeperushi kila mahala? fighers zinazunguka kama ndege wa angani?
hakuja na mamitambo ya kudetect snipers kwa km kadhaa? au mwaka ule we ulikuaga wapi wafanyakazi wa airport walivyopewa off ili wamarekani wa take over kisa obama?
Maghu ana mapungufu ila sio kiivyo wakuu
Mkuu kipindi kile alikuja Rais wa Marekani, hivi majuzi amekuja Barack OBAMA...Jaribu kutofautisha hivi vitu......wakuu mmechosha sasa.
Obama enzi ya madaraka yake alivyokuja bongo ,sio kutwa nzima barabara zilifungwa? vipeperushi kila mahala? fighers zinazunguka kama ndege wa angani?
hakuja na mamitambo ya kudetect snipers kwa km kadhaa? au mwaka ule we ulikuaga wapi wafanyakazi wa airport walivyopewa off ili wamarekani wa take over kisa obama?
Maghu ana mapungufu ila sio kiivyo wakuu
Mkuu Mkwere kuna wakati Huwa anakuwa na ving'ora Ila hakuna mbwembwe na Ulinzi kama alivyokuwa RaisSubiri aje Trump halafu uje useme haya unayo yasema; kwa taarifa yako hata Bush amewahi kuja Bongo kama rais wa USA na akaja tena kama mstaafu, ni hivi, yale ulio yaona kwa Obama Enzi zile akiwa raisi wa Marekani hayakufanyika kwa matakwa yake wala ya raisi wetu wa wakati huo, yalifanyika kwa matakwa ya security systems zao Wamarekani, akiisha toka madarakani huo ulinzi haupo tena. Kwani JK sasa hvi au Mkapa nao wanatembea na ving'ora kama zamani!? Si juzi kati hapa Mkwere alikua zake Sabasaba pale, barabara zilifungwa!?
Demu wa Kisandu yuko wapi? Kama hajapewa taarifa patawaka
Ujumbe huu angeusoma jiwe na mwanaweRaha ya utu, pamoja na kuishi maisha ya fahari, ulinzi wa kutosha kuruka na Airforce One na Support plane lakini ameona bado binadamu yeyote anahitaji kuthaminiwa kwasababu hakuna kitu chenye kulinganisha thamani sawa na uhai (wasiojulikana wajifunze toka hapa)
Kipi hujaelewa alichoandika jamaawakuu mmechosha sasa.
Obama enzi ya madaraka yake alivyokuja bongo ,sio kutwa nzima barabara zilifungwa? vipeperushi kila mahala? fighers zinazunguka kama ndege wa angani?
hakuja na mamitambo ya kudetect snipers kwa km kadhaa? au mwaka ule we ulikuaga wapi wafanyakazi wa airport walivyopewa off ili wamarekani wa take over kisa obama?
Maghu ana mapungufu ila sio kiivyo wakuu
Yuko very simple,ila angekuwa mbongo hapo pangechimbika maana magold mpaka viunoni walah