Punguza povu mukuma! Unajua dini tulilokopa hadi sasa miezi michache tu ya magu? Tril 7 kwenye budget, tril 23 kwa wachina wa reli, bil 500 wa wahindi etc, jk was an economist hakuwahi kukopa zaid ya tri 3 kwa mwaka! Amechukua nchi ikiwa na deni la tril 11 hadi 40,angalia mambo yaliyofanyika!Fala wewe, jk kaacha deni la taifa kiasi gani. Mishahara hadi alikuwa anakopa kwenye mabank binafsi baada ya kutokopesheka. Afu tumpe tunzo Acha mambo yako. Wacha tukusanye hela. Magufuli ameingia hakukuta hata shilling ya kulipa mishahara. Na waziri wa tamisemi amshatangaza ajira next week. Increments za mishahara nazo soon. So what do you want. Acheni ulofa