Rais mstaafu Kikwete apewe tuzo ya heshima

Rais mstaafu Kikwete apewe tuzo ya heshima

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,450
Reaction score
32,290
Kulikuwa na watumishi hewa lundo
Bado mishahara ililipwa na kupanda.

Ajira zilitangazwa na watu walipata ajira wakaajiriwa.


Wanafunzi hewa walikuwepo na bado walipata mikopo na fedha za field walipatiwa.


Semina serena hotel zilikuwa za kutosha.

Safari za nje kwa watumishi zilikuwepo na mambo mengine yalisonga.


Huyu kila kitu kafuta na bado analia pesa haipo anawaza kutengeneza pesa mpya ni wapi anakosea mtukufu wetu?
 
Ndugu yangu wee.......napenda sana kuchangia hoja hii ili nieleze ninachodhani kuwa kuna propaganda kwenye hizi serikali zetu kuhusu hata matamko ila naogopa hizi sheria za sijui matumizi ya mitandao kula kwenyewe kunanipa shida alafu wanipe kesi si wataniua kwa mawazo......
 
Mmh kuja kushtuka deni la Taifa lilipaaa sana..mikopo,wafadhili na wahisani walisaidia sana.
 
Mmh kuja kushtuka deni la Taifa lilipaaa sana..mikopo,wafadhili na wahisani walisaidia sana.


Mkuu mbona hata huyu kapewa mkopo kama kawaida na hakuna dalili ya hilo deni kushuka
 
Watanzania wengi ni wepesi wa kusahau, ni miezi takribani 9 imepita tangu tutoke ktk sarakari za huyu kakatwa huyu kaachwa, huyu wemangu huyu wetu na matokeo tumeyaona. Ukikumbana na tatizo ktk maisha yako, tafuta chanzo cha tatizo kabla ya kupambananalo ili ujue pakuanzia.
 
Kulikuwa na watumishi hewa lundo
Bado mishahara ililipwa na kupanda.

Ajira zilitangazwa na watu walipata ajira wakaajiriwa.


Wanafunzi hewa walikuwepo na bado walipata mikopo na fedha za field walipatiwa.


Semina serena hotel zilikuwa za kutosha.

Safari za nje kwa watumishi zilikuwepo na mambo mengine yalisonga.


Huyu kila kitu kafuta na bado analia pesa haipo anawaza kutengeneza pesa mpya ni wapi anakosea mtukufu wetu?
Fears has no power mkuu.....
 
Vitu vilivyo saidia ilikuwa ni misaada na mikopo
Yet serikali haikuwa na program kubwa kdogo kama elimu bure, so ilikuwa serikali hasa haina pesa ila zko kwa watu binafsi.
Ila japo nashndwa kuelewa kama hata hii serikali ya sasa ina pesa kweli
 
Kulikuwa na watumishi hewa lundo
Bado mishahara ililipwa na kupanda.

Ajira zilitangazwa na watu walipata ajira wakaajiriwa.


Wanafunzi hewa walikuwepo na bado walipata mikopo na fedha za field walipatiwa.


Semina serena hotel zilikuwa za kutosha.

Safari za nje kwa watumishi zilikuwepo na mambo mengine yalisonga.


Huyu kila kitu kafuta na bado analia pesa haipo anawaza kutengeneza pesa mpya ni wapi anakosea mtukufu wetu?


!
!
tatizo la huyu bwana deni la taifa lilipaa kwa kasi ya mwanga enzi zake. Kuna madeni hadi mimba ya mwaka 2059 zitadaiwa......niko ndotoni tu si unaona muda wenyewe
 
!
!
tatizo la huyu bwana deni la taifa lilipaa kwa kasi ya mwanga enzi zake. Kuna madeni hadi mimba ya mwaka 2059 zitadaiwa......niko ndotoni tu si unaona muda wenyewe



Mkuu mbona hata huyu anakopa?
 
Kulikuwa na watumishi hewa lundo
Bado mishahara ililipwa na kupanda.

Ajira zilitangazwa na watu walipata ajira wakaajiriwa.


Wanafunzi hewa walikuwepo na bado walipata mikopo na fedha za field walipatiwa.


Semina serena hotel zilikuwa za kutosha.

Safari za nje kwa watumishi zilikuwepo na mambo mengine yalisonga.


Huyu kila kitu kafuta na bado analia pesa haipo anawaza kutengeneza pesa mpya ni wapi anakosea mtukufu wetu?
Mishahara hadi alikuwa anakopa kwenye mabank binafsi baada ya kutokopesheka. Afu tumpe tunzo Acha mambo yako. Wacha tukusanye hela. Magufuli ameingia hakukuta hata shilling ya kulipa mishahara. Na waziri wa tamisemi amshatangaza ajira next week. Increments za mishahara nazo soon. So what do you want.
 
Kulikuwa na watumishi hewa lundo
Bado mishahara ililipwa na kupanda.

Ajira zilitangazwa na watu walipata ajira wakaajiriwa.


Wanafunzi hewa walikuwepo na bado walipata mikopo na fedha za field walipatiwa.


Semina serena hotel zilikuwa za kutosha.

Safari za nje kwa watumishi zilikuwepo na mambo mengine yalisonga.


Huyu kila kitu kafuta na bado analia pesa haipo anawaza kutengeneza pesa mpya ni wapi anakosea mtukufu wetu?
Kasemea wapi kwamba pesa aipo?
 
Vitu vilivyo saidia ilikuwa ni misaada na mikopo
Yet serikali haikuwa na program kubwa kdogo kama elimu bure, so ilikuwa serikali hasa haina pesa ila zko kwa watu binafsi.
Ila japo nashndwa kuelewa kama hata hii serikali ya sasa ina pesa kweli
Elimu bure ni program iliyoasisiwa na mh kikwete rejea Sera mpya ya elimu ya mwaka 2014 inasemaje,so hata angekuwa kikwete angeweza tu elimu bure
 
Mishahara hadi alikuwa anakopa kwenye mabank binafsi baada ya kutokopesheka. Afu tumpe tunzo Acha mambo yako. Wacha tukusanye hela. Magufuli ameingia hakukuta hata shilling ya kulipa mishahara. Na waziri wa tamisemi amshatangaza ajira next week. Increments za mishahara nazo soon. So what do you want.


Kizur hakikos kasoro pamoja na hayo taifa lilisonga Usa anadaiwa na china ukiniita fala unakosea haujajua maana ya forum huru kila mmoja yupo free kutoa wazo
 
Kasemea wapi kwamba pesa aipo?
By Fidelis Butahe, Mwananchi fbutahe@mwananchi.co.tz


Dar es Salaam. Baadhi ya wachumi nchini wametofautiana kuhusu kauli ya Rais John Magufuli kutishia kubadili fedha ili kuwadhibiti watu wenye tabia ya kuzificha, huku Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu akisema kauli ya kiongozi mkuu huyo wa nchi inajitosheleza na hawezi kutoa tafsiri yoyote.
Wakati Profesa wa Uchumi, Chuo Kikuu cha Mzumbe, Honest Ngowi akisema haamini kama fedha zilizofichwa ni nyingi kiasi cha kuteteresha mzunguko wa fedha nchini na kutaka zitizamwe sababu za fedha kutoonekana, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria (OUT) mkoani Iringa, Dk Bukaza Chachage alisema kuficha fedha kwa nia ovu ni kosa kubwa kwa sababu huhatarisha uchumi.
 
Tatizo kubwa Tanzania kuna watu feki imara ila hakuna taasisi imara
 
Back
Top Bottom