Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Tuwe na staha bandugu
Tz ni yetu sote ushauri ni jambo jema kwa faida ya Taifa
Majirani zetu sio wa kuwaamini kiviiilee
Mama ashauriwe vyema taratibu na hawa watu
Huku kukurupuka 'italigharimu Taifa'
Kenya watakuja kununua mbao korosho kahawa mahindi Maparachichi kwa bei ndogo wakauze nje waseme ni mali ya Kenya
Serikali iwaamuru waje wajenge viwanda ndani ya Tanzania na kutumia airport na Bandari zetu kuimport na export.
Mahindi yasafirishwe kupitia bandari ya Dar kwenda Mombasa kuua panya road
Maparachichi wajenge viwanda kunakozalisha zao hili na kusafirisha nje
Vyote iwe ni Mali ya Tz sio Kenya
Hapo tutakwenda sawa si vinginevyo
Tz ni yetu sote ushauri ni jambo jema kwa faida ya Taifa
Majirani zetu sio wa kuwaamini kiviiilee
Mama ashauriwe vyema taratibu na hawa watu
Huku kukurupuka 'italigharimu Taifa'
Kenya watakuja kununua mbao korosho kahawa mahindi Maparachichi kwa bei ndogo wakauze nje waseme ni mali ya Kenya
Serikali iwaamuru waje wajenge viwanda ndani ya Tanzania na kutumia airport na Bandari zetu kuimport na export.
Mahindi yasafirishwe kupitia bandari ya Dar kwenda Mombasa kuua panya road
Maparachichi wajenge viwanda kunakozalisha zao hili na kusafirisha nje
Vyote iwe ni Mali ya Tz sio Kenya
Hapo tutakwenda sawa si vinginevyo