Rais Mstaafu ABOUD JUMBE

Hahahahaah! Duh !! afadhali wewe umesema maana nilikuwa naogopa kusema, Ni kweli kabisaaaaaaaaa!!! Yupo kizuizini mpk leo tangu lilipojulikana anataka Kuvunja Muungano.
sasa kwanini unaogopa kusema ukweli.?
 
sasa kwanini unaogopa kusema ukweli.?
Mhhhhhhhhhhhh! Taamu, Nchi hii unaijua vizuri, ukisema ukweli wanaanza kukutafuta, na wakikupata na wewe unawekwa kizuizini au unapotea kabisa, kama ulivyosema yule mwanajeshi aliyekuwa na Abdu Jumbe hujui yuko wapi mpk sasa, nani anayataka hayo!!!
Akuuuuuuuuuuuu !!!!!! nina watoto wangu wananitegemea na wananihitaji.Naogoooooooooooopa!!!!
 

kumbe kingunge kilikuwa kinene ndio maana kikaitwa kingunge nini???
 
Utitiri wa viongozi lakini bado inchi hii ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…