Mhhhhhhhhhhhh! Taamu, Nchi hii unaijua vizuri, ukisema ukweli wanaanza kukutafuta, na wakikupata na wewe unawekwa kizuizini au unapotea kabisa, kama ulivyosema yule mwanajeshi aliyekuwa na Abdu Jumbe hujui yuko wapi mpk sasa, nani anayataka hayo!!!
Akuuuuuuuuuuuu !!!!!! nina watoto wangu wananitegemea na wananihitaji.Naogoooooooooooopa!!!!
Major General Abdallah Said NATEPE(RIP); Dr Salim Ahmed Salim; Getrude Mongella; Maalim Seif Sharif Khamad; Colonel Seif Bakari (RIP); Dawood Mwakawago (RIP): Colonel Moses Mnauye(RIP); Paolo Sozigwa
Mbele toka mashoto:
Dr Salmin Amour Jumaa;??????;Hassan Nassoro Moyo;Edward Moringe Sokoine(RIP); Aboud Jumbe Mwinyi; Julius Kambarage Nyerere(RIP); Rashid Mfaume Kawawa(RIP); Cleopa David Msuya; Kingunge Ngombale Mwiru