zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Itakua umri na technolojiana kweli kamshkaji kanasumbua kinyama yn, cjui kanajivunia nin
Ha ha haKanavuta bangi kakishapuliza USA kanamchukulia shoga tu kama UK
Unamnyoosha mtu mwenye kufurahia kuunda kombola lenye uwezo wa kutua usaSiku sio nyingi watakanyoosha.
Haaaaa ameshamuona mwepesiKanavuta bangi kakishapuliza USA kanamchukulia shoga tu kama UK
Kameshaikamata nyuklia sasa hivi...Na wapakistan ndo wanakapelekea kila kitu!!Kanavuta bangi kakishapuliza USA kanamchukulia shoga tu kama UK
Mama yake humuita "the morning Star king"Na leo amewaambia wanasayansi wake wajiandae kurusha mtambo wa kutuma sattelite angani(chanzo BBC)
Wanajivunia makombora ya nuclearna kweli kamshkaji kanasumbua kinyama yn, cjui kanajivunia nin
Thubutu, kuigusa Northern Korea ni Kuangamiza DuniaSiku sio nyingi watakanyoosha.
Wewe kweli dunia haujui, nchi yenye nyuklia warheads nyingi ya kwanza urusi then Marekani. Hiyo North Korea hamna kitu ukilinganisha na mataifa makubwa duniani, nyinyi ndio miaka ya nyuma mlikua mnasifia sadam hussein na scud missiles, hakuna kitu hapo, huyo dogo wakimtaka seriously hawezi pona,tatizo Marekani na nchi za magharibi ushambulia sehemu zenye rasilimali, Korea kaskazini hakuna kitu so akitaka kuchapwa ashambulie American interest atakiona.Thubutu, kuigusa Northern Korea ni Kuangamiza Dunia
Nchi mbaya kuguswa ni Northern Korea, Iran na Urusi japo urusi si sana
Haya Mjuvi. Wengine hatujui ya huko ugaibuni!Wewe kweli dunia haujui, nchi yenye nyuklia warheads nyingi ya kwanza urusi then Marekani. Hiyo North Korea hamna kitu ukilinganisha na mataifa makubwa duniani, nyinyi ndio miaka ya nyuma mlikua mnasifia sadam hussein na scud missiles, hakuna kitu hapo, huyo dogo wakimtaka seriously hawezi pona,tatizo Marekani na nchi za magharibi ushambulia sehemu zenye rasilimali, Korea kaskazini hakuna kitu so akitaka kuchapwa ashambulie American interest atakiona.
Haya Mjuvi. Wengine hatujui ya huko ugaibuni!Wewe kweli dunia haujui, nchi yenye nyuklia warheads nyingi ya kwanza urusi then Marekani. Hiyo North Korea hamna kitu ukilinganisha na mataifa makubwa duniani, nyinyi ndio miaka ya nyuma mlikua mnasifia sadam hussein na scud missiles, hakuna kitu hapo, huyo dogo wakimtaka seriously hawezi pona,tatizo Marekani na nchi za magharibi ushambulia sehemu zenye rasilimali, Korea kaskazini hakuna kitu so akitaka kuchapwa ashambulie American interest atakiona.