Rais Magufuli Yuko sawa Kweli?

Hoja yako imefika.Hata hivyo sikubaliani na wewe unapomuita Binadamu mwenzio Kunguni.
 
Hahahahahaha,
Alisema wapi hii tena jamani?
Tanzania imepatwa na uwendawazimu
 
Tumesha muacha adi amevuka mto mamba hawana speed nchi kavu🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kumbe bado viroba wengine wamekatazwa wengine wanavipata na kuvinywa!
Kumbe bangi wengine wamekatazwa wengine wanazipata na kuvuta, sijui wanatoa afghanistan!
 
Jamani I wish watanzania wote tungekuwa km Wanasheria wasomi halafu huyu kaboka mchizi nahisi angejua wasomi wakoje
Lakini Tz vilaza na kina Bashite ni wengi kupita maelezo believe or not kuna watu wapo maofisini ni maofisa lakini kinachoendelea hata hajui.
Kuna maofisa wapo ofisini ni waoga mpaka unapata wasiwasi km hawa watu ni wasomi au?
Tungekuwa tunajielewa kwa wingi na umoja wetu hata polisi waje na mitutu huyo Bashite angeshang'oka.
 
Nilidhani maelezo yako yanasaidia lakini nimegundua ww ni kati ya wale wakaririshwaji, pia naamini hulijui bunge vizuri-hilo bunge ndo lilikuwa linatumia pesa za walipa kodi bila huruma-ila kwao ni rahisi kucheza na akili yako na kuwaamini-hata JPM aliwahi kuwa mbuge pia-ila naamini tumeishi muda mwingi kimajungu na ndio tabia ya baadhi yetu-so kwa awamu hii tunaona shida kubwa sana kwani majungu hayana nafasi tena, na ndo maana ajenda yetu kuu ilikuwa ni madawa ya kulevya, kinachoendelea ni kuvuruga ajenda husika, kwa utaratibu kama huu ni ngumu sana kuendelea.
 
Hizi Lawama Zote Ziwaendee Akina Mzee MKAPA na Wazee wote wa CCM bila Kuwasahau TISS kwa Kutuletea na Kutupitishia Huyu Mtu<SIZONJE> mwaka 2015.
 
Hata Farao alikua kiburi lkn Mungu alidili nae hatimae kifo na pia hata kwa huyu sisimizi Mungu atasema naye siamelewa madaraka bhana.
He required to remember there is no everlasting power/rule
 
Hata Farao alikua kiburi lkn Mungu alidili nae hatimae kifo na pia hata kwa huyu sisimizi Mungu atasema naye siamelewa madaraka bhana.
He required to remember there is no everlasting power/rule
Tuombe sana Mungu
 
mkuu wa mkoa ana uwezo wa hata kuja kwako usiku wa manane as long as ana watu wa usalama nyuma yake bila kuzuiliwa na mtu yeyote! acheni unyumbu nyie fanyeni kazi mlishe familia zenu maneno ya kwenye kanga hayawasaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…