Rais Magufuli Yuko sawa Kweli?

Magufuli Yuko sawa Kweli?
Hapana, hayuko sawa...yuko kama alivyo Bashite. Hilo nililisema akiwa Waziri wakati wa Mkapa, nikalirudia alipokuwa Waziri wa Kikwete na nikalisema tena alipoteuliwa kugombea Urais na vipofu wa CCM. Mimi hata sijashtuka wala kumshangaa kwa kauli zake wakati wa ufunguzi wa flyovers, kinachonishangaza ni kuwaona baadhi ya Watanzania eti wakishangaa. Huwezi kupanda maharage ukavuna karanga...wachagua hovyo wasilalamike hovyo wakitendewa hovyo. Huyo ndiye Magufuli...hayuko sawa, period.
 
KAMA PAMOJA NA MAMBO YOTE MAZUR ALIYOYAFANYA MAKONDA BADO UNAMUITA BINAAADAM MWENZAKO KUNGUNGUNI NA HAMNA HATA SIKU ULIOWAHI KUONA JEMA LAKE KWA JINSI MLIVO NA CHONGO SIO CHUKI NA UTAPELI WA KISIASA NINI
Kwa hiyo Unadhani Tukimshika Jambazi Tunataka Tukumbuke Mema yake na Kumwachia,Kama ni Hivyo hata Amin , na Osama nao wangeachwa waendelee na Maisha yao Kwani na Wao walikuwa na Mazuri yao, Mfano Id Amin alipinga sana Makaburu wa SA na alitetea sana Harakati za Watu weusi Marekani. Hakuna asiye na Jema hata waliokuwa Wanawaua Malbino Walikuwa hawana mambo mema? Kwama mawazo yako ni sahihi basi hata Waumiani hao waachiwe. The hell Just Move on!
 

Kwa uwamuzi wake wa kumtetea Makonda Rais Magufuli hawezi kutetea haki alikuwa anatudanganya kama hawa wengine. Sina imani na Huyu Rais ati at Aleta mabadiliko, hawezi hata kidogo kwa uwamuxi wake wa jeuri kama Kuwa Rais ni kama tumemuuzia nchi. Kwa kuwa Tanzania ni yetu wote sitaacha kukutetea haki.
 
Hivi Mungu hawezi Kufanya hii Manuva kwenye Gulfstream, Akatwanga Kwenye Tank, Namkumbuka Rip J. Damian Komba Nyie! ..... " Ndugu Watanzania Leo yametimiaaaaa , Yalioandikwa na Mwenyezi Mungu.... Taifaaaa Lahuzunikaaa, Duniaaa yahuzunikaaa... Hebu na Mimi Niache kumba Nyimbo za Huzuni! ... Usishangae Mitaani Njemba zikaimba Bambambabam babam Eeeeee Kidedea!
 
kwahiyo ulitakaje? Tundulissu ndio hayuko sawa, hajui tofauti ya rais wa jmt na wa tls
 

Demokrasia, Uhuru wa Jamii na Utawala wa Kisheria Ndio Nguzo Kuu ya Haki, Maendeleo na Uwajibikaji. Nje ya hapo ni Moto wa Mabua! There is no substitute for freedom that is why people are willng to die defending freedom the Earlier this Fellow get it in his head the better!
 
mawazo ya kijinga
 
mbona hujaandika la mbowe kumkimbia mkemia mkuu?
 
Mkuu Marandu usisahau pia kuwa kwa matukio ya wiki chache zilizopita Tanzania iko iko kwenye "psychological crisis". Kwanza kulikuwa na issue ya uhakiki wa vyeti Tanzania nzima, hatma ya zoezi hili haieleweki na hatuelezwi kwa nini? Ikaja issue ya madawa ya kulevya, ikaanza kutiliwa mashaka sana pale watu kama TID na Wema Sepetu kuanza kukamatwa kwa mbwembwe, hatma ya "vita" hii nayo iko mashakani. Tatu imekuja issue ya uadilifu wa kutiliwa mashaka wa baadhi ya viongozi wetu wakuu. Sakata hili nalo bado halina majibu na kwa bahati mbaya sana limeachwa "lielee" kwenye vichwa vya watanzania na kila kukicha linazua maswali na sintofahamu nyingi? At least Mheshimiwa Nape Nauye ameonyesha ukomavu wa uongozi kwa kuunda tume kitu ambacho kingefanyika kwenye masuala hayo hapo juu angalau kuleta matumaini kwamba serikali inachukua hatua. Ombi langu kwa Viongozi wenye dhamana, leo utafiti umeonyesha Watanzania ni kati ya watu wasiokuwa na furaha ya maisha duniani (Ni kati ya nchi tatu za mwisho duniani ya kwanza ikiwa Norway), chonde chonde kaeni chini na mtafakari kwa kina hii hali hatarishi ya sintofahamu na muipatie ufumbuzi wa kudumu ili watanzania wajue kesho maisha mazuri zaidi yanakuja. Niwatakie kila la heri!
 
mkuu hilo ni jalamba la 2020, dar lazima pachimbike lengo ni kulirudisha jiji mikononi mwetu hapo na rais atakuwa dom, lazima mkome.
 
dua la popo usiku wa manane, kamuulize kwanini mange kafunga account ya kumchafua makonda kwanza.
 
Namkumbuka sana Mwalimu nyerere, babu yetu hakika upuuzi huu ungekemewa kwa kila hali, wazee wa sasa hv hawana busara wala ubavu wa kusema chochote.
 
Hivyo ni vionjo tu..picha kamili lipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…