Rais Magufuli watakaokuchukia sio wachache ni wengi

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
18,488
13,608
Watu wanatarajiwa kupunguzwa kazi BOT, kule NIDA wameshapunguzwa. ATC na yenyewe iko njiani kuelekea kwenye zoezi hilo hilo la upunguzaji wa wafanyakazi. Rais JPM amesikika akisema kwamba ni bora achukiwe na wachache kwa faida ya wengi. Ni kauli ya uzalendo lakini uhalisia wa maisha ni kwamba watakaomchukia sio wachache, kwani hao wachache wanalo kundi kubwa la watu wanaowategemea.

Tuseme kwa mfano dada mmoja wa BOT anayesimamishwa kazi ana miliki saloon tano jijini Dar na maduka mawili ya kuuza nguo za kinamama. Maana yake ni kwamba ajira za kinadada wote wanaofanya kazi ndani ya hizo saloon na hayo maduka, zipo shakani, hapa tunaongelea familia kadhaa. Tuseme kwa mfano kaka mmoja analiyepunguzwa BOT anayo maduka yake ya kuuza nguo pale sinza, wale wauzaji wanakuwa wametangaziwa habari mbaya ya kufukuzwa kazi na kurudi mtaani. Biashara nyingi za watu wanaokumbana na punguzo la wafanyakazi wa sekta mbalimbali, zinakwenda kufa.

Matumaini ni kwamba hizi hatua za ubanaji wa matumizi zitakuja kuleta mabadiliko ya kiuchumi ndani ya miezi michache ijayo, vinginevyo kunaweza kuwepo kwa ongezeko la matapeli, waporaji na majambazi wanaotumia bodaboda na kila aina ya utafutaji riziki usiokuwa halali. Ni changamoto nzito sana kwa serikali ya awamu ya tano.
 
Watu wanatarajiwa kupunguzwa kazi BOT, kule NIDA wameshapunguzwa. ATC na yenyewe iko njiani kuelekea kwenye zoezi hilo hilo la upunguzaji wa wafanyakazi. Rais JPM amesikika akisema kwamba ni bora achukiwe na wachache kwa faida ya wengi. Ni kauli ya uzalendo lakini uhalisia wa maisha ni kwamba watakaomchukia sio wachache, kwani hao wachache wanalo kundi kubwa la watu wanaowategemea.

Tuseme kwa mfano dada mmoja wa BOT anayesimamishwa kazi ana miliki saloon tano jijini Dar na maduka mawili ya kuuza nguo za kinamama. Maana yake ni kwamba ajira za kinadada wote wanaofanya kazi ndani ya hizo saloon na hayo maduka, zipo shakani, hapa tunaongelea familia kadhaa. Tuseme kwa mfano kaka mmoja analiyepunguzwa BOT anayo maduka yake ya kuuza nguo pale sinza, wale wauzaji wanakuwa wametangaziwa habari mbaya ya kufukuzwa kazi na kurudi mtaani. Biashara nyingi za watu wanaokumbana na punguzo la wafanyakazi wa sekta mbalimbali, zinakwenda kufa.

Matumaini ni kwamba hizi hatua za ubanaji wa matumizi zitakuja kuleta mabadiliko ya kiuchumi ndani ya miezi michache ijayo, vinginevyo kunaweza kuwepo kwa ongezeko la matapeli, waporaji na majambazi wanaotumia bodaboda na kila aina ya utafutaji riziki usiokuwa halali. Ni changamoto nzito sana kwa serikali ya awamu ya tano.
Mashirika ya umma 400 na watumishi wa serikali kuu walipunguzwa na maisha yakaendelea.
 
Watu wanatarajiwa kupunguzwa kazi BOT, kule NIDA wameshapunguzwa. ATC na yenyewe iko njiani kuelekea kwenye zoezi hilo hilo la upunguzaji wa wafanyakazi. Rais JPM amesikika akisema kwamba ni bora achukiwe na wachache kwa faida ya wengi. Ni kauli ya uzalendo lakini uhalisia wa maisha ni kwamba watakaomchukia sio wachache, kwani hao wachache wanalo kundi kubwa la watu wanaowategemea.

Tuseme kwa mfano dada mmoja wa BOT anayesimamishwa kazi ana miliki saloon tano jijini Dar na maduka mawili ya kuuza nguo za kinamama. Maana yake ni kwamba ajira za kinadada wote wanaofanya kazi ndani ya hizo saloon na hayo maduka, zipo shakani, hapa tunaongelea familia kadhaa. Tuseme kwa mfano kaka mmoja analiyepunguzwa BOT anayo maduka yake ya kuuza nguo pale sinza, wale wauzaji wanakuwa wametangaziwa habari mbaya ya kufukuzwa kazi na kurudi mtaani. Biashara nyingi za watu wanaokumbana na punguzo la wafanyakazi wa sekta mbalimbali, zinakwenda kufa.

Matumaini ni kwamba hizi hatua za ubanaji wa matumizi zitakuja kuleta mabadiliko ya kiuchumi ndani ya miezi michache ijayo, vinginevyo kunaweza kuwepo kwa ongezeko la matapeli, waporaji na majambazi wanaotumia bodaboda na kila aina ya utafutaji riziki usiokuwa halali. Ni changamoto nzito sana kwa serikali ya awamu ya tano.
Mimi nilidhani yule dada mwenye saloon pale Sinza akisimamishwa kazi BOT ataimarisha saloon zake kwa sababu lazima ataelekeza nguvu zake zote huko. hali kadhalika na kijana mwenye maduka yake.

Lkn kama maduka na saloon vitashindwa kushamiri kwa sababu wenyewe wamefutwa kazi huko BOT itabidi tutilie mashaka kama ajira na malipo yao yalikuwa halali, kwani biashara na ajira zao zina uhusiano gani,
 
Mwacheni mzee wetu afanye kazi, wananchi tunakuunga mkono endelea kubana magufuli wetu
 
Analysis yako umefanya kabisa na kuridhika na ulichokileta hapa ??

Kwa hiyo nida ni bora iendelee kutumia Bilioni 176 kwa vitambulisho sijui milioni mbili

Wafanyakazi wa shirika la ndege waendelee kulipwa mishahara tu hakuna kazi wanayofanya
BOT waendelee tu kulipa mishahara hewa na kuwa na mzigo wa wafanyakazi pengine wasio na tija ... ...
Ni sawa kabisa kusema ni bora kuwaacha hao waliotufikisha hapa ila umesahau B176 zingeingizwa kwenye hospital zetu ni wanyonge wangapi wangefaidi ??

Atumbue tu na hiyo mahakama ya mafisadi ikianza ,anyonge kama kumi hivi ,aje na katiba mpya yenye miiko ya uongozi ikiwa ni pamoja na wafanyakazi wote
 
Analysis yako umefanya kabisa na kuridhika na ulichokileta hapa ??

Kwa hiyo nida ni bora iendelee kutumia Bilioni 176 kwa vitambulisho sijui milioni mbili

Wafanyakazi wa shirika la ndege waendelee kulipwa mishahara tu hakuna kazi wanayofanya
BOT waendelee tu kulipa mishahara hewa na kuwa na mzigo wa wafanyakazi pengine wasio na tija ... ...
Ni sawa kabisa kusema ni bora kuwaacha hao waliotufikisha hapa ila umesahau B176 zingeingizwa kwenye hospital zetu ni wanyonge wangapi wangefaidi ??

Atumbue tu na hiyo mahakama ya mafisadi ikianza ,anyonge kama kumi hivi ,aje na katiba mpya yenye miiko ya uongozi ikiwa ni pamoja na wafanyakazi wote
Lengo langu sio kusema kwamba ubanaji wa matumizi usifanyike, ni jambo muhimu, lakini kila jambo muhimu huambatana na gharama zake ambazo ni maumivu kwa baadhi ya watu.
 
Lengo langu sio kusema kwamba ubanaji wa matumizi usifanyike, ni jambo muhimu, lakini kila jambo muhimu huambatana na gharama zake ambazo ni maumivu kwa baadhi ya watu.
Sasa ulitegemea utumbuliwe jipu halafu uwe unachekelea ?? Kwani hapo ni kwenye Massage parlour ? Maumivu waliyotupa hao washenzi wachache yamegarimu maisha ya watanzania kwa kiasi gani ??

Bado sana hajagusa kitu Magufuli natamani anze kunyonga kwanza ndio ataeleweka
 
Yaan mtu anamiliki maduka matano anategemea mshahara BOT kuendesha hiyo biashara!!!!!! tuache utani basi mda mwingine, Magu alisema tuwapuuze kwan ndoo chanzo cha sisi kuwa hapa tulipo!!!!!
 
kale kamsemo "kusoma sio deal kanaanza kufutika sasa" waliozoea kuchomekwa maofisini ndio hao wanaomiliki saloon mjini , acha tu wafukuzwe
 
Wee Phillipo naona bado unazo zile akili za kuendelea kuiba. Hii ina maana kwamba basi huyo dada asifukuzwe kazi kwani wafanyakazi wake walioko kwenye vitega uchumi vyake wanaishi kwa mshahara/ pesa ya BoT na sio pesa inayotokana na biashara wanayo isimamia.

Ukifungua biashara yoyote lazma ijiendeshe sasa iweje ufukuzwe kazi halafu biashara ife. Je? kuna uhusiano gani kati ya BoT na biashara binafsi za mtumishi? Utakatishi wizi hapo?
 
Najaribu kutafakari mifano yako...ikiwa huyo mtumishi wa BOT anamiliki saloon ,maduka au chochote na vinajiendesha kwa faida. Ajira ya huyo mtumishi inapositishwa hawa wakwenye vitega uchumi vyake itawaathiri vipi!
Labda hao watumishi wa saloon zake, nao wapo kwenye payroll ya BOT, hii ndio design ya watanzania tulio nao, halafu umpe bwawa la samaki likue na kuexport kama Wavietnam!
Sijamaliza kusoma lkn ni mfano wa kizembe. Sasa hizo saloon na maduka vinategemea mshahara wa bot? Hazijiendeshi? Si ndo akasimamie biashara vizuri sasa?
 
Nchi ikiwa na uchumi mzuri, rais hata hatahitaji kupunguza watu serikalini. Watu wenyewe wataona kufanya kazi zao kuna faida kuliko kufanya kazi serikalini.

Tatizo la watu kujazana kufanya kazi serikalini linatokana na ukosefu wa ajira sekta binafsi na utamaduni wa kupenda kuajiriwa.

Rais anatakiwa kuweka mazingira mazuri ya uchumi kukua sambamba na hizi hatua za kuongeza tija. Ama sivyo atakuwa anahangaika kuziba tundu kwenye updande wa ndoo isiyosakafishwa.
 
Watu wanatarajiwa kupunguzwa kazi BOT, kule NIDA wameshapunguzwa. ATC na yenyewe iko njiani kuelekea kwenye zoezi hilo hilo la upunguzaji wa wafanyakazi. Rais JPM amesikika akisema kwamba ni bora achukiwe na wachache kwa faida ya wengi. Ni kauli ya uzalendo lakini uhalisia wa maisha ni kwamba watakaomchukia sio wachache, kwani hao wachache wanalo kundi kubwa la watu wanaowategemea.

Tuseme kwa mfano dada mmoja wa BOT anayesimamishwa kazi ana miliki saloon tano jijini Dar na maduka mawili ya kuuza nguo za kinamama. Maana yake ni kwamba ajira za kinadada wote wanaofanya kazi ndani ya hizo saloon na hayo maduka, zipo shakani, hapa tunaongelea familia kadhaa. Tuseme kwa mfano kaka mmoja analiyepunguzwa BOT anayo maduka yake ya kuuza nguo pale sinza, wale wauzaji wanakuwa wametangaziwa habari mbaya ya kufukuzwa kazi na kurudi mtaani. Biashara nyingi za watu wanaokumbana na punguzo la wafanyakazi wa sekta mbalimbali, zinakwenda kufa.

Matumaini ni kwamba hizi hatua za ubanaji wa matumizi zitakuja kuleta mabadiliko ya kiuchumi ndani ya miezi michache ijayo, vinginevyo kunaweza kuwepo kwa ongezeko la matapeli, waporaji na majambazi wanaotumia bodaboda na kila aina ya utafutaji riziki usiokuwa halali. Ni changamoto nzito sana kwa serikali ya awamu ya tano.
Kwa hiyo kama unafanya kazi sehemu na ukapata mtaji ukamudu kufungua biashara na ukaajiri WAFANYAKAZI kadhaa na biashara inaendelea kwa faida.

Je ukipunguzwa au kufukuzwa kazi kwa sababu fulani au ubadhirifu katika eneo lako la kazi.

Jawabu ni kwenda kufukuza kazi WAFANYAKAZI wako na wewe katika biashara zako au ni kwenda kuutumia muda wako vizuri kwa kuzisimamia Ili zizalishe kwa ufanisi zaidi?
 
Watu wanatarajiwa kupunguzwa kazi BOT, kule NIDA wameshapunguzwa. ATC na yenyewe iko njiani kuelekea kwenye zoezi hilo hilo la upunguzaji wa wafanyakazi. Rais JPM amesikika akisema kwamba ni bora achukiwe na wachache kwa faida ya wengi. Ni kauli ya uzalendo lakini uhalisia wa maisha ni kwamba watakaomchukia sio wachache, kwani hao wachache wanalo kundi kubwa la watu wanaowategemea.

Tuseme kwa mfano dada mmoja wa BOT anayesimamishwa kazi ana miliki saloon tano jijini Dar na maduka mawili ya kuuza nguo za kinamama. Maana yake ni kwamba ajira za kinadada wote wanaofanya kazi ndani ya hizo saloon na hayo maduka, zipo shakani, hapa tunaongelea familia kadhaa. Tuseme kwa mfano kaka mmoja analiyepunguzwa BOT anayo maduka yake ya kuuza nguo pale sinza, wale wauzaji wanakuwa wametangaziwa habari mbaya ya kufukuzwa kazi na kurudi mtaani. Biashara nyingi za watu wanaokumbana na punguzo la wafanyakazi wa sekta mbalimbali, zinakwenda kufa.

Matumaini ni kwamba hizi hatua za ubanaji wa matumizi zitakuja kuleta mabadiliko ya kiuchumi ndani ya miezi michache ijayo, vinginevyo kunaweza kuwepo kwa ongezeko la matapeli, waporaji na majambazi wanaotumia bodaboda na kila aina ya utafutaji riziki usiokuwa halali. Ni changamoto nzito sana kwa serikali ya awamu ya tano.
Kwani hizo biashara zinapokea ruzuku kutoka BOT
 
Sijamaliza kusoma lkn ni mfano wa kizembe. Sasa hizo saloon na maduka vinategemea mshahara wa bot? Hazijiendeshi? Si ndo akasimamie biashara vizuri sasa?
Mfano wa kipuuzi. Sasa kama ana biashara halafu anategemea mshahara kurun biashara basi vyema akafunga biashara. Mali bila daftari hupotea bila habari
 
Back
Top Bottom