Katiba mpya ipunguze mamlaka ya rais
Rais asiteue majaji
Rais asiteue viongongozi wa tume ya uchaguzi
Rais asiteue wakuu wa mikoa ( wachaguliwe)
Mwisho kabisa katiba mpya ifute Kinga ya rais (Kushtakiwa) kwani kufanya hivyo ni kumpa mamlaka ya Kimungu.
Sent using
Jamii Forums mobile app