FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,137
- 107,652
Sasa kama mpo wengi mnaotaka hayo kwanini msishinikize kwenye sanduku la kura na kuchagua viongozi wanaokubaliana nanyi au wewe mwenyewe ugombee uongozi.Katiba mpya ipunguze mamlaka ya rais
Rais asiteue majaji
Rais asiteue viongongozi wa tume ya uchaguzi
Rais asiteue wakuu wa mikoa ( wachaguliwe)
Mwisho kabisa katiba mpya ifute Kinga ya rais (Kushtakiwa) kwani kufanya hivyo ni kumpa mamlaka ya Kimungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi ningependa kuona Tanzania inakuwa na Mfalme au Sultani