Sasa huyo unayemuomba katiba mpya wakati a zamani haitaki, a yu siriazKampeni ya ccm mwaka 2020 itakuwa rahisi iwapo watanzania watapa katiba mpya,,,watanzania wengi wana kiu ya kupata katiba mpya.
Majinga ya uvccm yatakuja kupinga,Tanzania mpya bila katiba mpya ni ngumuCCM imeacha njia sahihi kufikia
1. Maendeleo yakweli
2. Umoja, uhuru na mshikamano wakweli
3. Demokrasia ya kweli
4. Haki stahiki, sahihi kwa wote yakweli
Nikatiba mpya tu itakayotuhakikishoa Tanzania mpya yenye matumaini mpya katika mambo ya msingi manne hapo juu.
Tunahitaji katiba mpya kwa maslahi mapana na manufaa kwetu sote.
Katiba ya warioba.Huu sio wakati wa kudai katiba mpya. Mtaletewa katiba inayoondoa ukomo wa kugombea urais.Pia mtaletewa katiba inayomruhusu Rais kutoa hukumu bila mahakama kuhusika.
Kusifu na kuabuduKipaumbele ni kipi kwasasa Mkuu?
umekona kazi za kufanya? katiba iliyopo inatosha sanaKampeni ya ccm mwaka 2020 itakuwa rahisi iwapo watanzania watapa katiba mpya,,,watanzania wengi wana kiu ya kupata katiba mpya.
Mtoeni mbowe kwanzaKampeni ya ccm mwaka 2020 itakuwa rahisi iwapo watanzania watapa katiba mpya,,,watanzania wengi wana kiu ya kupata katiba mpya.
Iliyoandaliwa na Alina WariobaKampeni ya ccm mwaka 2020 itakuwa rahisi iwapo watanzania watapa katiba mpya,,,watanzania wengi wana kiu ya kupata katiba mpya.
Katiba mpya iwe na kipi ambacho hakipo kwenye katiba ya sasa hivi au isiwe na kipi ambacho kipo sasa hivi kwenye katiba iliyopo?Kampeni ya ccm mwaka 2020 itakuwa rahisi iwapo watanzania watapa katiba mpya,,,watanzania wengi wana kiu ya kupata katiba mpya.
Katiba mpya iwe na kipi ambacho hakipo kwenye katiba ya sasa hivi au isiwe na kipi ambacho kipo sasa hivi kwenye katiba iliyopo?
Maana kutaka katiba mpya bila kuwa na sababu ya katiba mpya ni kama toto linalodeka kwa bibi yake linalilia lisichokihitaji mradi lideke tu.