Rais Magufuli, teuzi zako hizi hazileti picha mbaya kwa mtangulizi wako na taswira yako kwa ujumla?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
  1. Uteuzi wa Kangi Lugola kuwa Naibu Waziri na sasa Waziri wa Mambo ya Ndani. Huyu alishtakiwa kwa kesi ya kupokea rushwa mahakamani na TAKUKURU. Jamhuri ikawasilisha hati mahakamani ya kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka. Jamhuri iliyomshtaki ni Serikali ya awamu ya nne. Alishtakiwa kimakosa na Serikali ya mtangulizi wako hadi sasa awe safi na kuwa Waziri?
  2. Uteuzi wa Alexander Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa .Ni kama ulimpandisha cheo baada ya kuanikwa kwa video zinazomuonesha akipanga mipango ya kuwanunua Madiwani wa CHADEMA. Ushahidi ulikabidhiwa kwa TAKUKURU na hadi leo hakuna lolote lililofanyika. Kumpa ukuu wa mkoa ni kuonesha kuwa ni mtu safi?
  3. Uteuzi wa Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Huyu alikamatwa na pingu na alishtakiwa na Jamhuri/Serikali ya mtangulizi wako mahakamani kwa makossa mbalimbali ya rushwa na kukutwa na pingu. Uteuzi wake ni kuonesha kuwa ni mtu safi na alionewa na Jamhuri?
  4. Uteuzi wa Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Huyu alikamatwa na polisi na kushtakiwa na Jamhuri kwa kujifanya Usalama wa Taifa. Alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha. Polisi walidai alighushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa na kesi yake ikaisha ilivyoisha. Ana usafi gani hadi awe Mkuu wa Wilaya? Alionewa na Jamhuri/Serikali iliyokutangulia?
  5. Uteuzi wa Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Huyu aliripotiwa 'kumshugulikia' Mbowe wa CHADEMA kwa kuharibu shamba lake la mbogamboga. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kuna kesi ya madai dhidi yake kuhusu uharibifu huo. Alikufurajisha kipi hasa hadi ukampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa?
  6. Uteuzi wa Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda wa Dar. Huyu anasemwa kuwa ana vyeti vya elimu vya kughushi. Yaani, hana vyeti halali vya elimu yake. Inasemwa pia kuwa ana utajiri wenye ukakasi. Akawa Mkuu wa Mkoa wa Dar baada ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Kwa lipi hasa?
Teuzi hizi zina tafsiri gani kwa Mtangulizi wako na zinaleta taswira gani kwako binafsi? Tuendelee kuamini kuwa upo kupambana na rushwa, ufisadi, wizi na kutetea wanyonge na wananchi wote bila kujali itikadi zao?

Ukonga na Monduli 'tutashinda' ila chamoto tunakiona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
  1. Uteuzi wa Kangi Lugola kuwa Naibu Waziri na sasa Waziri wa Mambo ya Ndani. Huyu alishtakiwa kwa kesi ya kupokea rushwa mahakamani na TAKUKURU. Jamhuri ikawasilisha hati mahakamani ya kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka. Jamhuri iliyomshtaki ni Serikali ya awamu ya nne. Alishtakiwa kimakosa na Serikali ya mtangulizi wako hadi sasa awe safi na kuwa Waziri?
  2. Uteuzi wa Alexander Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa .Ni kama ulimpandisha cheo baada ya kuanikwa kwa video zinazomuonesha akipanga mipango ya kuwanunua Madiwani wa CHADEMA. Ushahidi ulikabidhiwa kwa TAKUKURU na hadi leo hakuna lolote lililofanyika. Kumpa ukuu wa mkoa ni kuonesha kuwa ni mtu safi?
  3. Uteuzi wa Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Huyu alikamatwa na pingu na alishtakiwa na Jamhuri/Serikali ya mtangulizi wako mahakamani kwa makossa mbalimbali ya rushwa na kukutwa na pingu. Uteuzi wake ni kuonesha kuwa ni mtu safi na alionewa na Jamhuri?
  4. Uteuzi wa Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Huyu alikamatwa na polisi na kushtakiwa na Jamhuri kwa kujifanya Usalama wa Taifa. Alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha. Polisi walidai alighushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa na kesi yake ikaisha ilivyoisha. Ana usafi gani hadi awe Mkuu wa Wilaya? Alionewa na Jamhuri/Serikali iliyokutangulia?
  5. Uteuzi wa Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Huyu aliripotiwa 'kumshugulikia' Mbowe wa CHADEMA kwa kuharibu shamba lake la mbogamboga. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kuna kesi ya madai dhidi yake kuhusu uharibifu huo. Alikufurajisha kipi hasa hadi ukampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa?
  6. Uteuzi wa Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda wa Dar. Huyu anasemwa kuwa ana vyeti vya elimu vya kughushi. Yaani, hana vyeti halali vya elimu yake. Inasemwa pia kuwa ana utajiri wenye ukakasi. Akawa Mkuu wa Mkoa wa Dar baada ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Kwa lipi hasa?
Teuzi hizi zina tafsiri gani kwa Mtangulizi wako na zinaleta taswira gani kwako binafsi? Tuendelee kuamini kuwa upo kupambana na rushwa, ufisadi, wizi na kutetea wanyonge na wananchi wote bila kujali itikadi zao?

Ukonga na Monduli 'tutashinda' ila chamoto tunakiona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mtashinda kwenye mitandao ya kijamii lakini nakuhakikishia Waitara atashinda ukonga maana huwezi kumlinganisha na yule dada mliemkodi kutoka kimara sijui naye ni miongoni mwa familia ile ya mwnenye kampuni au laah.
 
Ndio maana anaitwa rais

... Ongeza kumsamehe aliyehukumiwa na mahakama ya juu kabisa kwa kulawiti na kubaka watoto wadogo, Babu Seya!
 
  1. Uteuzi wa Kangi Lugola kuwa Naibu Waziri na sasa Waziri wa Mambo ya Ndani. Huyu alishtakiwa kwa kesi ya kupokea rushwa mahakamani na TAKUKURU. Jamhuri ikawasilisha hati mahakamani ya kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka. Jamhuri iliyomshtaki ni Serikali ya awamu ya nne. Alishtakiwa kimakosa na Serikali ya mtangulizi wako hadi sasa awe safi na kuwa Waziri?
  2. Uteuzi wa Alexander Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa .Ni kama ulimpandisha cheo baada ya kuanikwa kwa video zinazomuonesha akipanga mipango ya kuwanunua Madiwani wa CHADEMA. Ushahidi ulikabidhiwa kwa TAKUKURU na hadi leo hakuna lolote lililofanyika. Kumpa ukuu wa mkoa ni kuonesha kuwa ni mtu safi?
  3. Uteuzi wa Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Huyu alikamatwa na pingu na alishtakiwa na Jamhuri/Serikali ya mtangulizi wako mahakamani kwa makossa mbalimbali ya rushwa na kukutwa na pingu. Uteuzi wake ni kuonesha kuwa ni mtu safi na alionewa na Jamhuri?
  4. Uteuzi wa Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Huyu alikamatwa na polisi na kushtakiwa na Jamhuri kwa kujifanya Usalama wa Taifa. Alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha. Polisi walidai alighushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa na kesi yake ikaisha ilivyoisha. Ana usafi gani hadi awe Mkuu wa Wilaya? Alionewa na Jamhuri/Serikali iliyokutangulia?
  5. Uteuzi wa Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Huyu aliripotiwa 'kumshugulikia' Mbowe wa CHADEMA kwa kuharibu shamba lake la mbogamboga. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kuna kesi ya madai dhidi yake kuhusu uharibifu huo. Alikufurajisha kipi hasa hadi ukampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa?
  6. Uteuzi wa Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda wa Dar. Huyu anasemwa kuwa ana vyeti vya elimu vya kughushi. Yaani, hana vyeti halali vya elimu yake. Inasemwa pia kuwa ana utajiri wenye ukakasi. Akawa Mkuu wa Mkoa wa Dar baada ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Kwa lipi hasa?
Teuzi hizi zina tafsiri gani kwa Mtangulizi wako na zinaleta taswira gani kwako binafsi? Tuendelee kuamini kuwa upo kupambana na rushwa, ufisadi, wizi na kutetea wanyonge na wananchi wote bila kujali itikadi zao?

Ukonga na Monduli 'tutashinda' ila chamoto tunakiona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Wote hao uliowataja hawajawahi kupatikana na hatia mahakamani kwa makosa uliyoyataja, hivyo Rais yupo sahihi kuwateua kwa nafasi wanazozitumia. Je, sugu na lijuakali ambao walifungwa kwa makosa ya jinai tuwanyanganye ubunge? Watuhumiwa mbowe na wenzake nao sasa wana kesi ya jinai kisutu, nao tuwafurushe ubunge wao kwa hizo tuhuma?
 
  1. Uteuzi wa Kangi Lugola kuwa Naibu Waziri na sasa Waziri wa Mambo ya Ndani. Huyu alishtakiwa kwa kesi ya kupokea rushwa mahakamani na TAKUKURU. Jamhuri ikawasilisha hati mahakamani ya kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka. Jamhuri iliyomshtaki ni Serikali ya awamu ya nne. Alishtakiwa kimakosa na Serikali ya mtangulizi wako hadi sasa awe safi na kuwa Waziri?
  2. Uteuzi wa Alexander Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa .Ni kama ulimpandisha cheo baada ya kuanikwa kwa video zinazomuonesha akipanga mipango ya kuwanunua Madiwani wa CHADEMA. Ushahidi ulikabidhiwa kwa TAKUKURU na hadi leo hakuna lolote lililofanyika. Kumpa ukuu wa mkoa ni kuonesha kuwa ni mtu safi?
  3. Uteuzi wa Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Huyu alikamatwa na pingu na alishtakiwa na Jamhuri/Serikali ya mtangulizi wako mahakamani kwa makossa mbalimbali ya rushwa na kukutwa na pingu. Uteuzi wake ni kuonesha kuwa ni mtu safi na alionewa na Jamhuri?
  4. Uteuzi wa Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Huyu alikamatwa na polisi na kushtakiwa na Jamhuri kwa kujifanya Usalama wa Taifa. Alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha. Polisi walidai alighushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa na kesi yake ikaisha ilivyoisha. Ana usafi gani hadi awe Mkuu wa Wilaya? Alionewa na Jamhuri/Serikali iliyokutangulia?
  5. Uteuzi wa Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Huyu aliripotiwa 'kumshugulikia' Mbowe wa CHADEMA kwa kuharibu shamba lake la mbogamboga. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kuna kesi ya madai dhidi yake kuhusu uharibifu huo. Alikufurajisha kipi hasa hadi ukampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa?
  6. Uteuzi wa Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda wa Dar. Huyu anasemwa kuwa ana vyeti vya elimu vya kughushi. Yaani, hana vyeti halali vya elimu yake. Inasemwa pia kuwa ana utajiri wenye ukakasi. Akawa Mkuu wa Mkoa wa Dar baada ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Kwa lipi hasa?
Teuzi hizi zina tafsiri gani kwa Mtangulizi wako na zinaleta taswira gani kwako binafsi? Tuendelee kuamini kuwa upo kupambana na rushwa, ufisadi, wizi na kutetea wanyonge na wananchi wote bila kujali itikadi zao?

Ukonga na Monduli 'tutashinda' ila chamoto tunakiona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kwenye kushinda hapo, umenihamisha ghafla. Mimi nikajua ni mchambuzi kumbe upo kiitikadi? Kwaheri.
 

Kuna mtu alisema siku Magufuli wa kwenye kampeni 2015 akikutana na Rais JPM wataoneshana cheche.
 
Rais anampenda watu wenye hatia, wakorofi, wachafu kwenye macho ya jamii ndio wawe wasaidizi wake, ila tangu aseme yeye huchagua vichaa kama yeye sioni jambo la ajabu kwake.
 
  1. Uteuzi wa Kangi Lugola kuwa Naibu Waziri na sasa Waziri wa Mambo ya Ndani. Huyu alishtakiwa kwa kesi ya kupokea rushwa mahakamani na TAKUKURU. Jamhuri ikawasilisha hati mahakamani ya kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka. Jamhuri iliyomshtaki ni Serikali ya awamu ya nne. Alishtakiwa kimakosa na Serikali ya mtangulizi wako hadi sasa awe safi na kuwa Waziri?
  2. Uteuzi wa Alexander Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa .Ni kama ulimpandisha cheo baada ya kuanikwa kwa video zinazomuonesha akipanga mipango ya kuwanunua Madiwani wa CHADEMA. Ushahidi ulikabidhiwa kwa TAKUKURU na hadi leo hakuna lolote lililofanyika. Kumpa ukuu wa mkoa ni kuonesha kuwa ni mtu safi?
  3. Uteuzi wa Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Huyu alikamatwa na pingu na alishtakiwa na Jamhuri/Serikali ya mtangulizi wako mahakamani kwa makossa mbalimbali ya rushwa na kukutwa na pingu. Uteuzi wake ni kuonesha kuwa ni mtu safi na alionewa na Jamhuri?
  4. Uteuzi wa Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Huyu alikamatwa na polisi na kushtakiwa na Jamhuri kwa kujifanya Usalama wa Taifa. Alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha. Polisi walidai alighushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa na kesi yake ikaisha ilivyoisha. Ana usafi gani hadi awe Mkuu wa Wilaya? Alionewa na Jamhuri/Serikali iliyokutangulia?
  5. Uteuzi wa Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Huyu aliripotiwa 'kumshugulikia' Mbowe wa CHADEMA kwa kuharibu shamba lake la mbogamboga. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kuna kesi ya madai dhidi yake kuhusu uharibifu huo. Alikufurajisha kipi hasa hadi ukampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa?
  6. Uteuzi wa Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda wa Dar. Huyu anasemwa kuwa ana vyeti vya elimu vya kughushi. Yaani, hana vyeti halali vya elimu yake. Inasemwa pia kuwa ana utajiri wenye ukakasi. Akawa Mkuu wa Mkoa wa Dar baada ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Kwa lipi hasa?
Teuzi hizi zina tafsiri gani kwa Mtangulizi wako na zinaleta taswira gani kwako binafsi? Tuendelee kuamini kuwa upo kupambana na rushwa, ufisadi, wizi na kutetea wanyonge na wananchi wote bila kujali itikadi zao?

Ukonga na Monduli 'tutashinda' ila chamoto tunakiona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mimi nikajua walikutwa na makosa na kuhukumiwa ama faini au vifungo,kumbe ni tuhuma za umbea wa akina Nassari na hizo clip zao za mwaka 2008 ambazo hazina uhalisia?
 
  1. Uteuzi wa Kangi Lugola kuwa Naibu Waziri na sasa Waziri wa Mambo ya Ndani. Huyu alishtakiwa kwa kesi ya kupokea rushwa mahakamani na TAKUKURU. Jamhuri ikawasilisha hati mahakamani ya kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka. Jamhuri iliyomshtaki ni Serikali ya awamu ya nne. Alishtakiwa kimakosa na Serikali ya mtangulizi wako hadi sasa awe safi na kuwa Waziri?
  2. Uteuzi wa Alexander Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa .Ni kama ulimpandisha cheo baada ya kuanikwa kwa video zinazomuonesha akipanga mipango ya kuwanunua Madiwani wa CHADEMA. Ushahidi ulikabidhiwa kwa TAKUKURU na hadi leo hakuna lolote lililofanyika. Kumpa ukuu wa mkoa ni kuonesha kuwa ni mtu safi?
  3. Uteuzi wa Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Huyu alikamatwa na pingu na alishtakiwa na Jamhuri/Serikali ya mtangulizi wako mahakamani kwa makossa mbalimbali ya rushwa na kukutwa na pingu. Uteuzi wake ni kuonesha kuwa ni mtu safi na alionewa na Jamhuri?
  4. Uteuzi wa Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Huyu alikamatwa na polisi na kushtakiwa na Jamhuri kwa kujifanya Usalama wa Taifa. Alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Arusha. Polisi walidai alighushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa na kesi yake ikaisha ilivyoisha. Ana usafi gani hadi awe Mkuu wa Wilaya? Alionewa na Jamhuri/Serikali iliyokutangulia?
  5. Uteuzi wa Byakanwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Huyu aliripotiwa 'kumshugulikia' Mbowe wa CHADEMA kwa kuharibu shamba lake la mbogamboga. Wakati huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai. Kuna kesi ya madai dhidi yake kuhusu uharibifu huo. Alikufurajisha kipi hasa hadi ukampandisha cheo kuwa mkuu wa mkoa?
  6. Uteuzi wa Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda wa Dar. Huyu anasemwa kuwa ana vyeti vya elimu vya kughushi. Yaani, hana vyeti halali vya elimu yake. Inasemwa pia kuwa ana utajiri wenye ukakasi. Akawa Mkuu wa Mkoa wa Dar baada ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Kwa lipi hasa?
Teuzi hizi zina tafsiri gani kwa Mtangulizi wako na zinaleta taswira gani kwako binafsi? Tuendelee kuamini kuwa upo kupambana na rushwa, ufisadi, wizi na kutetea wanyonge na wananchi wote bila kujali itikadi zao?

Ukonga na Monduli 'tutashinda' ila chamoto tunakiona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Yupo yule mkuu wa mkoa wa Mara naitwa sijui nani vile, ila namkumbuka kwa video ya kupambana na polisi
 
Yupo yule mkuu wa mkoa wa Mara naitwa sijui nani vile, ila namkumbuka kwa video ya kupambana na polisi


Bwana Malima wenyewe alisikika baadae akisema "Despite the hysteria and their panic around me, I had to retain my composure".

Nafikiri yule askari alietumia silaha vibaya alikiri hilo ni kosa.
 
Mku kushitakiwa sio kosa bali kulithibitisha hilo kosa kwamba lilifanyika ndo kazi mhimu sana.
 
Back
Top Bottom