Na endapo dhifa ilitakiwa kufanywa na waziri, njia bora ilikuwa kuandaa Hotelini (naogopa watakurupuka gharama)Mbalozi si tu aliwakimbia lakini waliohusika na kuwakaribisha
walishindwa kabisa hata ustaarabu mdogo tu
picha zinaonesha mabalozi walitakiwa kusimama mbele ya vikaratasi
inaoneshwa vikaratasi viliwekwa majina yao wakaambiwa wasimame hapo
sura zao ziko very frustrated...
Awamu hii ina mbwembwe nyingi huku makosa ni mengi kupita kiasi
Lipo jambo linafichwa, tutajua tu
Tuliambiwa kusafiri kwa gari kwenda Dodoma ni kubana matumizi.
Leo tunashuhudia mawaziri na serikali yote ikhamia Singida 'bila matumizi' Tunaambiwa wanakwenda kwa pesa za chama!
Tutajua tu, lipo jambo na wengine tuliliona ingawa mashabiki, wanazi na wapenzi hawaelewi hawasikii!
#Hapakusepa tu
Wapi imeandikwa event ya mabalozi ifanyike Ikulu hata kama ni waziri ameandaa!Una hakika nani rais ndiye aliwaalika mabalozi na sio Foreign Minister? Na ni wapi imeandikwa kuwa event ya mabalozi lazima rais awepo?
Kwenye matumizi, Yes, serikali inabana matumizi, lakini haizui vikundi vya hiari kufanya sherehe zake.
Baada ya Singida, kubana matumizi ilihamia Dodoma.Wanasiasa wanatuona majuha sana...
Wakati tunaambiwa hayo, majuzi msafara wa mawaziri na viongozi ulikuwa Singida ukitumia rasilimali za Taifa kwa birthday ya CCM.
Uongozi wote wa kitaifa ulikuwepo pale, gharama zote za itifaki, ulinzi n.k. ni za Watanzania.
Kubana matumizi kuko wapi? Hivi mipasho ya Singida na ujio wa mabalozi kipi muhimu?
Tume huru ipi unayoisema hapa Kirikou? Tume ya Jecha? Weka wazi, Tume huru ipi hiyo?Mkuu, ni kweli dhuluma ina mwisho na mwisho wa dhuluma ni kuundwa tume huru ya uchaguzi hata huku bara tunapigania kupata tume huru ya uchaguzi. Bila tume huru dhuluma kwa CCM haitakoma. Sasa kama Seif hataki kuingia kwenye uchaguzi chini ya tume huru je, anataka nini?
Anadai wathibitishe kwa kukubali kushiriki uchaguzi na kushinda.Yaani CUF wakithibitisha uchaguz hautarudiwa?
Moja Waziri awaalike Mabalozi lakini asome hutuba ya Rais? Inawezekana wanahabari wameandika kimakosa kuwa Mahiga alimwakilisha Rais?Una hakika nani rais ndiye aliwaalika mabalozi na sio Foreign Minister? Na ni wapi imeandikwa kuwa event ya mabalozi lazima rais awepo?
Kwenye matumizi, Yes, serikali inabana matumizi, lakini haizui vikundi vya hiari kufanya sherehe zake.
Hapa Kikwete anajiwakilisha.Rais Magufuli ameyaeleza hayo katika hotuba yake kwa mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania iliyosomwa kwa niaba yake na waziri wa mambo ya nje, ushirikiano wa Afrika Mashariki, kikanda na kimataifa Balozi Augustine Mahiga leo ikulu jijini Dar es salaam.
....
Tume huru ipi unayoisema hapa Kirikou? Tume ya Jecha? Weka wazi, Tume huru ipi hiyo?
Kama CCM imeshinda Tanganyika(Tanzania bara) kwa nini pia uchaguzi huku haurudiwi ili watanzania wajiridhishe kama kweli CCM walishinda? Kama CCM walishinda,watashinda tena, wapiga kura waliopigia CCM ni wale wale, wanaogopa nini kuitisha uchaguzi wa marudio?
Tume ya Lubuva ni huru? Kwa nini ilitupilia mbali maombi ya Chadema ilipolalamikia kasoro za uchaguzi?
.Amesema tume hiyo ilifuta uchaguzi kutokana na mapungufu yaliyojitokeza kisiwani Pemba, na kwamba tayari tarehe mpya ya uchaguzi wa marudio imekwisha tangazwa kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar.
Hapo ndipo ninapothibitisha ya kwamba Raisi wangu ni kilaza. hii statement kaandika yeye na wala haihitaji kuwa na elimu ya Rocket science kumjibu huu utumbo hapa.
Jibu lake: Zanzibar ni visiwa 2. Kama matatizo yalitokea ya uchaguzi yalitokea Pemba jee yale ya Unguja ambayo yamemalizika kulikuwa na haja gani kuufuta uchaguzi wote.
Amesema kwa hali ilivyo, busara inahitajika ili kunusuru suala hilo, na kwamba kususia uchaguzi siyo suluhu bali kutumia nafasi iliyopo sasa kujadili namna ya kuufanya uchaguzi wa marudio kuwa huru na wa haki.
Mheshimiwa Just curious jee mutakuwa tayari kuanzisha tume huru ya uchaguzi kwa uchaguzi wa marudio ama mutakuwa tayari UN wasimamie Uchaguzi huu!
Si watanzania wote ni vilaza!
Watanzania wana shauku kujiridhisha kama CCM walishinda. Na kama walishinda watashinda tena.Mkuu kabla hatujakwenda mbali kujadili Tume ya Jaji Lubuva, mkuu napenda kujua uchaguzi bara unataka urudiwe kumfurahisha nani?
thisSio Bure wanahitaji maombi!
magu's speech is purely propagandawazungu sio wa wajinga wa kuletewa hotuba ya chekechea hii,yeye angesema zanzibar haiwezi kutawaliwa na CUF hapo wazungu wangemwelewa.sasa kama pemba ndio matatizo yalitokea kwanini uchaguzi wa unguja umefutwa?,hivi ni kweli majimbo yote ya pemba uchaguzi uliharibika,halafu kwanini tume ya uchaguzi haikuisikiliza mapingamizi ya CUF badala yake CCM wakasikiliza pingamizi la CUF na CCM ikaamua uchaguzi urudiwe na ZEC ikaungamkono na kutangaza uchaguzi mwigine.hata kichaa hawezi kukubali kurudia uchaguziiiii wa namna hii?
Yaani hapo ndo simuelewi JPJM! Kwa nini anapenda kuwakilishwa kila mahali; hata humu humu nchini? Mimi nafikiri ikulu inabidi wafike mahali watuambie tu ukweli wa tatizo au mkakati wa huyu mheshimiwa sana!This is a joke kwa mabalozi ambao walituma waangalizi sehemu zote na kuridhika.
Kwanza kawakimbia mabalozi .
Sijawahi kusikia mtu kualika wageni halafu ukajifungia chumbani
Huu uharamia wanaoufanya hao mahafidhina wa CCM wachache sana ambao idadi yao inawezekana haizidi hata watu 100, naamini kabisa mamilioni ya wanaccm wenzao watakuwa hawapendezwi nayo hata chembe.The Boss hii jambo ni zito, watetezi wa #Hapakazi wakiwemo ''46 wanaofikiriwa'', nawaona wanyoonge! Sura zimeswajika, wamekumbwa na mfadhaiko, simanzi tele huku wakiwa wametunduwaa
Wanajiuliza waanzie wapi kutetea hili.
Hivyo 'Vyama Vngine' kwa mujibu wa babu duni aliponukuliwa na Mwananchi hata kura 80 havikufikisha,na kwa mujibu wa KATIBA YAO ILI KUUNDA SUK ni kwamba chama kinachofuata kuna asilimia fulani kinapaswa kufikishaAnadai wathibitishe kwa kukubali kushiriki uchaguzi na kushinda.
Hata hivyo najua kuna kitu wanakiogopa. Kama ameshasema kuwa vyama vingine pamoja na CCM wanautaka uchaguzi wa marudio, kuna haja gani ya kuitajataja CUF kila mara? By the way, hivyo vyama vingine vilivyoshiriki mazungumzo ndio vipi?