Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

Raisi huyu ni muwazi lakini mbona hataki kulipa mafao ya PPF kwa wastaafu wa ATCL baada ya uhakiki kufanyika. Inatia wasi wasi pale katibu mkuu wizara ujenzi anaposhindwa kutekeleza makubaliano na amri ya mahakama iliyotaka mali za ATCL kunadiwa ili kuwalipa wazee wastaafu na serikali kuingilia kati eti watawalipa kitendo ambacho hakijafanyika hadi leo. Serikali hii ni ya mtu mmoja tu wengine mazezeta. Hata mihimili mingine kama mahakama sasa haina nguvu dhidi ya taasisi na serikali ipo kuhukumu watu binafssi tu.




Utasikia eti wanao lalamika wote ni wapiga dili eeeeh!! Wapiga dili?
 
RAIS WANGU MPENDWA YUPO SAHIHI KABISA, nakuongeza vipi mshahara wakati no productivity.. TUFANYE KAZI KWANZA NA TUONGEZE UZARISHAJI TUONE FAIDA NA BAADA YA HAPO TUTAKUPA BONUS NA KUKUONGEZEA MSHAHARA KAMA HUTAKI ACHA KAZI..
serkal inajukumu la kuzalisha? inazalisha nini?
inafanya biashara au?
em tujuzane ndugu
 
katika hili namuunga mkono MH MAGU 100% wafanyakazi wa serikali mlizoea kupiga soga sana pasipo kuproduce.. Watanzania tujifunze pia katika hili, kazi sio charity organization hapana kazi ni sehemu ya uzalishaji inayohitaji kuona faida mwisho wa siku ili biashara husika ijiendeshe na tuweze pia kukulipa mshahara na kulipa wengine na kukuza biashara pia ili tuajiri wengine,,,,
hapa umedanganya kwa mfano watumishi wa serikali halmashauri wana produce nini
 
RAIS WANGU MPENDWA YUPO SAHIHI KABISA, nakuongeza vipi mshahara wakati no productivity.. TUFANYE KAZI KWANZA NA TUONGEZE UZARISHAJI TUONE FAIDA NA BAADA YA HAPO TUTAKUPA BONUS NA KUKUONGEZEA MSHAHARA KAMA HUTAKI ACHA KAZI..
Ndondocha lingne hili, kuwa na watanzania wa aina hii ni hasara kwa taifa!
 
Mheshimiwa Rais nakumbuka ulitoa ahadi hiyo ya kupandisha mishahara na malipo mbalimbali ya watumishi kulikoni leo tena umesema hupandishi??
nchi imefilisika labda au kiwewe cha bombadia au primitive accumulation kukusanya fungu la kuhonga madiwani wa upinzani.
 
katika hili namuunga mkono MH MAGU 100% wafanyakazi wa serikali mlizoea kupiga soga sana pasipo kuproduce.. Watanzania tujifunze pia katika hili, kazi sio charity organization hapana kazi ni sehemu ya uzalishaji inayohitaji kuona faida mwisho wa siku ili biashara husika ijiendeshe na tuweze pia kukulipa mshahara na kulipa wengine na kukuza biashara pia ili tuajiri wengine,,,,
Soga limeisha?
 
katika hili namuunga mkono MH MAGU 100% wafanyakazi wa serikali mlizoea kupiga soga sana pasipo kuproduce.. Watanzania tujifunze pia katika hili, kazi sio charity organization hapana kazi ni sehemu ya uzalishaji inayohitaji kuona faida mwisho wa siku ili biashara husika ijiendeshe na tuweze pia kukulipa mshahara na kulipa wengine na kukuza biashara pia ili tuajiri wengine,,,,

Jiulize, are they productive now since 2015? Soga zimeisha maofisini? Mimi ndo naongeza muda wa kufanya mambo yangu binafsi maana kwa mshahara uliopo siwezi kusurvive.
 
Ndondocha lingne hili, kuwa na watanzania wa aina hii ni hasara kwa taifa!


Inatakiwa waelimishwe taratibu, kuna wengine baada ya hotuba ya leo wamesema mkuu haaminiki wakati toka mwanzo walikuwa wanamwamini na sio watumishi. Taratibu tutaonana 2020
 
Sheria za wafanyakazi zipo jamani, ina maana atakuwa amekiuka sheria na mikataba ya watumishi wa Umma.!
Mi nadhani ni muda Wa watumishi sasa kwenda mahakamani na kuanzisha migomo kama hawataongezewa mishahara yao maana imetosha sasa!

Na kama ikishindikana washtaki kwa MUNGU yeye anajua mwenye haki ni yupi.

Nawasilisha!
 
Hakuna malaika atakayeshuka toka mbinguni kuwasaidia watumishi wa umma wasipo amka wao wenyewe na kujitetea kwa wananchi na serikalini maana wanaambiwa wanaolalamika ni wapiga dili, watumie vyombo vya habari kujitetea kwa wananchi kwani kuna wananchi wanaamini kweli kuwa wanaolalamika ni wapiga dili.
 
Serikali lazima iwe productive, tunapoongelea productivity sio kuingiza cash tu lahasha bali tunaongelea pia akili, kushauri na ubunifu.. Kupitia ubunifu na ushauri mzuri ni rahisi kuspeed up production maeneo mengine kama magereza, hospitali na taasisi nyingine.. Kama mwalimu atafundisha vizuri na kutoa product nzuri itakayolisaidia taifa kiutendaji na kimawazo kwanini tusiseme serikali inazalisha..

Taasisi kama TPA, TRL, NSSF, TRA, TAA, TCRA, ATCL, TTCL nk zikifanya kazi vizuri zinaweza kabisa kuwa productive na kuliingizia taifa mapato makubwa sana, Magereza kupitia wafungwa tunaweza kabisa kuifanya kuwa productive, JKT,JWTZ zinaweza kabisa kuwa centre of innovation and technology taifa likasonga pia..Hospitali zetu kupitia wataalamu wetu tunaweza kabisa kuzinunulia vifaa na operation za vichwa, moyo nk vikafanyika na dunia ikawa inakuja na sekta ya Afya ikawa productive pia, HIVYO VYOTE HAWEZI KUWAZA RAIS PEKEE wengine wanatakiwa wawaze na kutenda..
Aiseee umeongea point sana
Kula li mwanawane
 
Hivi pale mtu mmoja mwenye akili anapoongoza wapumbavu mil 40 changanya na vilaza 1800 huyo kiongoz yeye atakuwa nani?
Chanzo:Lost and found
 
Back
Top Bottom