Rais Magufuli sikia kilio changu

mugua

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
205
120
Pole na majukumu,Mimi ni mwalimu,nilipandishwa daraja mwaka 2008 nikawa mwalimu mwandamizi cheo chenye ngazi ya mshahara TGTS E1,kati ya mwaka 2009_2012 nilijiendeleza kitaaluma nikatunukiwa shahada ya ualimu BAED,niliwasilisha vyeti nikapandishwa daraja kuwa afisaelimu daraja la kwanza (sasa mwalimu daraja la 11c)ngazi ya mshahara TGTS E. sikutendewa haki na mfumo.

Mwaka 2016 nimepandishwa daraja na kuwa mwalimu daraja la kwanza 1 C ngazi ya mshahara TGTS F,hata hivyo sijarekebishiwa mshahara mpaka sasa,naumia sana,nimekata tamaa na kazi.Nilopandishwa nao walirekebishiwa.

Mh, Rais naomba uamuru mamlaka husika nirekebishiwe mshahara.
Naomba mfumo wa kupandisha madaraja kwa watumishi wa muda mrefu wanaojiendeleza kitaaluma uangaliwe upya kwani unakatisha tamaa.

Niko tayari kuweka mawasiliano yangu hapa ili kama hutajali nikupatie ufafanuzi.

Natanguliza shukrani.

Mwalimu wilaya ya Bunda mkoa wa Mara.
 
Yaani huyu muheshimiwa cjui walimu kawakosea nn yani inakatisha tamaa hasa.
Sio walimu tu hata watumishi wengine ambao sio wakurugenzi maDC,RC mawaziri na watu wa category hizo.
 
hakuna kazi inayokatisha tamaa kama ualimu especially kwa nchi yetu hii " mimi niliiacha kufundisha miaka kadhaa iliyopita sasa najishughulisha na kilimo namshukuru Mungu tangu niingie huku mambo yameninyookea ile mbaya najutia ule muda nilioupoteza kipindi nashika chaki
 
Pole na majukumu,Mimi ni mwalimu,nilipandishwa daraja mwaka 2008 nikawa mwalimu mwandamizi cheo chenye ngazi ya mshahara TGTS E1,kati ya mwaka 2009_2012 nilijiendeleza kitaaluma nikatunukiwa shahada ya ualimu BAED,niliwasilisha vyeti nikapandishwa daraja kuwa afisaelimu daraja la kwanza (sasa mwalimu daraja la 11c)ngazi ya mshahara TGTS E. sikutendewa haki na mfumo.

Mwaka 2016 nimepandishwa daraja na kuwa mwalimu daraja la kwanza 1 C ngazi ya mshahara TGTS F,hata hivyo sijarekebishiwa mshahara mpaka sasa,naumia sana,nimekata tamaa na kazi.Nilopandishwa nao walirekebishiwa.

Mh, Rais naomba uamuru mamlaka husika nirekebishiwe mshahara.
Naomba mfumo wa kupandisha madaraja kwa watumishi wa muda mrefu wanaojiendeleza kitaaluma uangaliwe upya kwani unakatisha tamaa.

Niko tayari kuweka mawasiliano yangu hapa ili kama hutajali nikupatie ufafanuzi.

Natanguliza shukrani.

Mwalimu wilaya ya Bunda mkoa wa Mara.


Urekebishiwe Mshahara kwa kazi ipi? Upandishwe daraja kwa jasho gani ulilotoa
 
Sio wewe tu hakuna mtumishi aliopanda daraja. Mi niko sector ya afya tangu 2015 digits zile zile. Fanya kazi kijana kama vipi piga kazi chini. Chukua maamuzi magum
 
Pole na majukumu,Mimi ni mwalimu,nilipandishwa daraja mwaka 2008 nikawa mwalimu mwandamizi cheo chenye ngazi ya mshahara TGTS E1,kati ya mwaka 2009_2012 nilijiendeleza kitaaluma nikatunukiwa shahada ya ualimu BAED,niliwasilisha vyeti nikapandishwa daraja kuwa afisaelimu daraja la kwanza (sasa mwalimu daraja la 11c)ngazi ya mshahara TGTS E. sikutendewa haki na mfumo.

Mwaka 2016 nimepandishwa daraja na kuwa mwalimu daraja la kwanza 1 C ngazi ya mshahara TGTS F,hata hivyo sijarekebishiwa mshahara mpaka sasa,naumia sana,nimekata tamaa na kazi.Nilopandishwa nao walirekebishiwa.

Mh, Rais naomba uamuru mamlaka husika nirekebishiwe mshahara.
Naomba mfumo wa kupandisha madaraja kwa watumishi wa muda mrefu wanaojiendeleza kitaaluma uangaliwe upya kwani unakatisha tamaa.

Niko tayari kuweka mawasiliano yangu hapa ili kama hutajali nikupatie ufafanuzi.

Natanguliza shukrani.

Mwalimu wilaya ya Bunda mkoa wa Mara.

Kama Rais atashughulikia issue ya Mwalimu kupandishwa daraja basi wafuatao wafukuzwe kazi na hivyo vyeo vifutwe kabisa Tanzania:
1. Mkurugenzi Bunda
2. Afisa Elimu (W)
3. Katibu TSC (W)
4. Afisa Utumishi (w)
5. Katibu TSC Mkoa
6. Afisa Elimu (M)
7. Katibu Mkuu Wizara ya Elimu
9. Waziri wa Elimu
10. Waziri wa nchi Tamisemi
11. Katibu mkuu Tamisemi
11. Waziri Mkuu
Hizi ndiyo ngazi ulizoziruka na unatia shaka uwezo wako wa Elimu na hii ni tayari sababu tosha ya kutokukupandisha daraja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom