Kwani wakiandamana huko impact yake nini?Hana ubavu huko labda wataoandamana kwenye zile "nchi rafiki" kama China ana uwezo sana....
Ni mjinga sana huyo mwandishi uchwaraKwa uandishi huu hata Udiwani CCM hawakupi, utaambulia buku 7 na kuja kutapika humu JF
Habari wakuu,
Demokrasia ni kitendo cha kuheshimu mawazo ya walio wengi hata kama yanakuudhi hii ndo tunaita demokrasia wengi wape.Ni aibu sana tena zaidi ya sana kujinasibu kuwa ni mpenda demokrasia huku unapinga maamuzi ya walio wengi tena kwa njia zisizo sahihi.Tanzania ni nchi ya amani tunaongozwa kwa taratibu rais anachaguliwa na walio wengi na tunampata rais kwa box la kura na sio kwa kuandamana ni wakati wa hao wachache wanaotaka kubadili nyeupe kuwa nyeusi kujitathimin wanakwenda wapi na kama wanatumika basi wanatumika vibaya.Tunaomba jeshi la polisi liwadhibiti hao wapuuzi wachache kabla hayajatokea maafa kwani sisi tulio wengi hatutakubali rais wetu kipenzi chetu ayumbishwe na sisi tutaandamana kutaka demokrasia iheshimiwe maandamano yasio na kikomo
Wabebe hadi gobole! Ushauri wako mzuri. Kumbe pengine ile ya Acqui.... ilitokana na waandamanaji!Idadi ya wananchi ni kubwa kuliko polisiccm wakiamua kuandamana wataandamana tu na wanaweza kubeba gobole na siraha za jadi upinde mishale ya sumu na wakawakomesha na yeye kukimbilia kwao Burundi
DAR ES SALAAM (REUTERS) -
But the criticism is unlikely to hurt Magufuli's government politically, after the ruling CCM party won a majority in recent local government and parliamentary by-elections.
".
Halafu baadae!Mimi ni wa Kwamtogole lakini waliopewa vibali watatusaidia kufikisha ujumbe in peace na coverage ya Sauti ya Ujerumani, BBC na VOA
Sipati picha nimeishia kucheka tuWhat if hao anaowategemea kuzuia waandamanaji ndo watakuwa viongozi wa maandamano?
Zero brain! Unaona sifa kuua?Mkuu usiwe na wasiwasi watz tunajielewa maandamano ya mitandaoni tunaweza hiyo tar.26 sio mbali na kutakuwa kimya tu na sherehe za kitaifa ila nilichokiona mikwara ya maandano kwa walio nyuma ya keybodi zao za tecno, na wanavyoona serikali inawaambia msiandamane wanahisi imetishika ila haiwezi kukubali uhuni huo na atakae kaidi basi avunjwe au kwao pafungwe turubai,subiri hiyo siku utajionea.
Oh boy..here you go!. Ndo yale yale tunasema uongo ukiongelewa sana mwishowe unaonekana kama ukweli. Mashujaa wa keyboard at your best!Toka lini muhutu akawa na uhalali tz?
Well said.Mkuu usiwe na wasiwasi watz tunajielewa maandamano ya mitandaoni tunaweza hiyo tar.26 sio mbali na kutakuwa kimya tu na sherehe za kitaifa ila nilichokiona mikwara ya maandano kwa walio nyuma ya keybodi zao za tecno, na wanavyoona serikali inawaambia msiandamane wanahisi imetishika ila haiwezi kukubali uhuni huo na atakae kaidi basi avunjwe au kwao pafungwe turubai,subiri hiyo siku utajionea.
Kura za kwenye Box anachaguliwa raisi ili atuongoze na aheshimu Sheria na Katiba Mkuu... Kasheshe huja pale anapokosea na akiambiwa hashauriki ndipo Tatizo so tatua Tatizo na sio Porojo PumbavuHabari wakuu,
Demokrasia ni kitendo cha kuheshimu mawazo ya walio wengi hata kama yanakuudhi hii ndo tunaita demokrasia wengi wape.Ni aibu sana tena zaidi ya sana kujinasibu kuwa ni mpenda demokrasia huku unapinga maamuzi ya walio wengi tena kwa njia zisizo sahihi.Tanzania ni nchi ya amani tunaongozwa kwa taratibu rais anachaguliwa na walio wengi na tunampata rais kwa box la kura na sio kwa kuandamana ni wakati wa hao wachache wanaotaka kubadili nyeupe kuwa nyeusi kujitathimin wanakwenda wapi na kama wanatumika basi wanatumika vibaya.Tunaomba jeshi la polisi liwadhibiti hao wapuuzi wachache kabla hayajatokea maafa kwani sisi tulio wengi hatutakubali rais wetu kipenzi chetu ayumbishwe na sisi tutaandamana kutaka demokrasia iheshimiwe maandamano yasio na kikomo
DAR ES SALAAM (REUTERS) -
"Some people have failed to engage in legitimate politics; they would like to see street protests everyday...Let them demonstrate and they will see who I am,"
But the criticism is unlikely to hurt Magufuli's government politically, after the ruling CCM party won a majority in recent local government and parliamentary by-elections.
".