Amka unaota ndoto mbayaHili ndilo jibu sahii.
Magufuli hajiamini. Wanaomzunguka hawaamini. Police hawaamini na usalama wa Taifa hauamini. Yeye anaamini wale tu aliopewa kumlinda toka Rwanda.
Hebu fikiria hii scenario sasa. Watu wameandamana kwa Amani, maelfu na maelfu. Vyombo vya habari vya ndan na nje vinaonesha live. Waandamanaji wamekaza kuwa magufuli atoke.
Magufuli kagma kutoka na kaenda kujificha huku akiagiza jesh la polce lisitishe maandamano. Mara jesh nalo likagoma au likashindwa kuzuia maandamano sababu yawingi wa watu au nao wakaogpa kuwashambulia waandamanaji maana ni hatari kwao na familia zao. Mawazir mara nao wakaanza kujiuzuru mmoja baada ya mwingne.
Mara CCM nao wakina pole pole wanamgeuka maana hata yy anajua CCM wenzake ni wengi tu wanamnafkia. Maandmano yakikaza nao wanaanza mgeuka maana unafiki ni asili yao.
Hapo mtamsikia magufuli kakimbilia Rwanda na hatorudi milele.
Hiki ndicho kinamuogopesha.
Mtema kuni ndo nini!Ole wao wataona cha mtema kuni
Kwani walikwambia haeataomba kibali ...!!?Mleta Mada unajifanya mjuaji na maandishi marefu yalioyojaa povu NA upungufu wa busara.
Maandamano ni lazima upate kibali japokuwa ni haki, bila kibali huna haki ya kuandamana.
Hao wanaotayarisha kuandamana ujerumani si wameomba kibali NA wamepewa, lakini huku bongo mkiambiwa mnahitaji kibali nongwa.
Maandamano ni lazima yaogopwe kwa sababu::
1. Tanzania yanatumiwa kama uchochezi, Na yanatayarishwa na vyama vya upinzani kuwachochea wananchi.
2. Yana haribu uchumi NA yanaleta uhalifu.
3. Yanawaletea madhara wananchi.
4. Yanawaharibia wengi kazi zao na inawaletea hasara kwenye mali zao.
hapo ndio napopatakaAnayaogopa kwasababu yana athari kubwa: hata kama hapa Tanzania hatutaandamana...diaspora wa kila nchi wataandamana kwenye balozi zao, hili litapelekea nchi hizo/UN kupitia marekanai na NATO kutuma wachunguzi kwa nguvu kama ilivyotokea Saudi Arabia...yaani hamna ile eti "hatutawaruhu wachunguzi huru wa kimataifa:....wanaingia by force na show utaielewa tuuu.
Kumbukeni waliobomolewa,waliotumbuliwa,waliotolewa kwa vyeti feki no binadamu.Mtema kuni ndo nini!
Hivi jamani upupu huwa unapatikana wapi?? Nauliza tu
Anayaogopa kwasababu yana athari kubwa: hata kama hapa Tanzania hatutaandamana...diaspora wa kila nchi wataandamana kwenye balozi zao, hili litapelekea nchi hizo/UN kupitia marekanai na NATO kutuma wachunguzi kwa nguvu kama ilivyotokea Saudi Arabia...yaani hamna ile eti "hatutawaruhu wachunguzi huru wa kimataifa:....wanaingia by force na show utaielewa tuuu.
Sasa matamko ya nini..Pyee wakae watulie kama wanajihisi wanapendwaMaandamano ya Mange Kimambi sasa aje TZ aombe kibali hapa hakuna aliyeitisha hayo maandamano.
Unajua maama ya uhaini kweli??Imeshasemekana maandamano ya Amani,huo uhaini unatoka wapi?Tatizo si kuogopa bali kuonya kuepusha maafa yasiyo na lazima. Pengine watu hawajui maana ya kuandamana kumtoa Rais madarakani. Hili ni kosa la uhaini ....hakuna mwenye akili timamu anaweza hata kujihusisha! Pengine wapo wachache watafanywa mfano kabla hata ya hayo maandamano ili mjue nini mnakitaka. Malengo ya maandamano mnayoyataja ni uhaini mtupu na hakuna atakayewaunga mkono hata international communities ...bora mngeweka malengo ya kudai vitu kama katiba mpya lakini si kumtoa Rais ....mtajikuta matatizoni na kutesa familia zenu ....
Yeye na Maliyamungu idd Amin Bashite wameiba pesa nyingi za Umma kwa kipindi kifupi wanahofia maandamano kwani watapoteza kila kitu.Inakuwaje raisi wa nchi kubwa hii anatetemeshwa na maandamano kwenye mitandao hajiamini huyu lazima atakimbia siku wakiandamana