britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
"Juzi nilikuwa kwenye stage ya mwisho kutoa ndege bure, baadae nikaambiwa ule uwanja hautoshi kwa ndege ya Dream Liner kutua nilipoanza kufuatilia mchezo dakika chache mshatandikwa mbili mnaenda mapumziko nikasema ni nafuu uwanja umekuwa mfupi," JPM
Natoa ushauri Magufuli Timu yetu si ya kuwekea dhamana hata hizo milion ulizotoa utajuta kuwapa, watapigwa sana na hatwendi popote,
Timu haijengwi tunavyofanya kuna taratibu zake, kwa mbinu hizo tunazotumia ni ngumu, ushingae tunapigwa na lethoto, tena kimoja tu wanalinda goli mwanzo mwisho,
Britannica
Natoa ushauri Magufuli Timu yetu si ya kuwekea dhamana hata hizo milion ulizotoa utajuta kuwapa, watapigwa sana na hatwendi popote,
Timu haijengwi tunavyofanya kuna taratibu zake, kwa mbinu hizo tunazotumia ni ngumu, ushingae tunapigwa na lethoto, tena kimoja tu wanalinda goli mwanzo mwisho,
Britannica