Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,859
- 29,535
Inaitwa busara.... kukaa kimya ni jibu zuri sanaMpaka sasa najiuliza lowasa ni mtu wa aina gani maana yupo kimya sio muongeaji.
Inaitwa busara.... kukaa kimya ni jibu zuri sanaMpaka sasa najiuliza lowasa ni mtu wa aina gani maana yupo kimya sio muongeaji.
Naamini unaongea kinyume chake. Kula likeMleta Mada ni mnafiki, Waziri Mkuu siyo mtu wa makundi, na siyo mnafiki kama huyo Mleta mada. anajitambua Waziri Mkuu wetu, na Mheshimiwa Rais Magufuli yuko makini sana. Mleta mada hauna adabu! Unataka kufinitisha tu.
Unaweza kututhibitishia mkuu....ushaidi mwingne away from that VIDEO CLIP????maana kama unatumia ushaidi wa VIDEO clip hata MSTAAFU KIKWETE alikuwa anaimba ana imani NA LOWASSA lakini mwisho wa siku wewe mwenyewe unaelewa nini kilitokea....Kama sababu hii ni ya msingi mbona Mh Majaliwa alikuwa ni mmoja wao na hajashutumiwa wala hajawajibishwa?
Si kila mtuhumiwa lazima atolewe kafara inategemea na wewe ulijitetea vipi kuwa shawishi wahusika juu ya tuhuma na ushaidi walio nao juu yako...Kuna watu tunaambiwa kuwa wamesamehewa.
Una uhakika ya kuwa hao waliofukuzwa hawakupewa uo MUDA wa kujieleza?????CCM si chama cha kipuuzi kiasi hicho...kila mtu alijieleza ipasavyo na mwisho wa siku kwa busara za chama hivho ndicho walichoamua juu yaoKuna watu wamepewa fursa ya kujieleza na kuomba msamaha.
WEWE UNA UMWA UGONJWA UNAO ITWA UKOVI....Hivi ni lini CCM wamewahi kutoa nafasi ya wanachama wake kuomba msamaha au na kukiri makosa yao?
Kama kuimba ule wimbo wa "Tuna imani Na Lowassa ndio Usaliti basi hakuna Asie msaliti ndani ya CCM kwani Wajumbe Wote wa Mkutano MKUU waliokuwemo Ukumbini waliimba hilo halina ubishi.Tusiwatoe kafara baadhi ya wanaccm Kwa kigezo cha usaliti Na chuki.Ni mwanaCCM gani anaweza kusema hakuimba ule wimbo?Kama mabadiliko haya ni Kwa sababu ya Ule Wimbo basi CCM mnajidanganya bado kuna maelfu ya wanaCCM Na Watanzania wana imani Na Lowassa.
ni wewe usie angalia uzi umewekwa lini uzi wa mwezi wa saba 2016 wewe unahusisha na madawa mbona unakurupuka mkuu??Wauza ngada baada ya kumshindwa makonda, mmehamia kwa waziri mkuu??
Wewe jamaaa hebu jiongeze kidogo tu...Hebu tuweke issue ya Majaliwa pembeni & frame our question like this...
Ok Majaliwa hakuhusika tunakubali lakini baada ya ule mgomo baridi na baadhi ya wajumbe kutoka nje ni Emmanuel Nchimbi ndiye alizungumza na waandishi wa habari na kituoa malalamiko akina Sophia na wengine wakiwa pembeni kimya.
Sasa basi kwa nini mzungumzaji wa mgomo baridi apewe onyo tu tena bortion eti onyo kali alafu Sophia aliyekuwa pembeni asimamishwe uanachama?
1. Nashukuru kama umejua kuwa ushahidi wa PM kumshangilia Lowassa upo kwenye ile clip.Unaweza kututhibitishia mkuu....ushaidi mwingne away from that VIDEO CLIP????maana kama unatumia ushaidi wa VIDEO clip hata MSTAAFU KIKWETE alikuwa anaimba ana imani NA LOWASSA lakini mwisho wa siku wewe mwenyewe unaelewa nini kilitokea....
Si kila mtuhumiwa lazima atolewe kafara inategemea na wewe ulijitetea vipi kuwa shawishi wahusika juu ya tuhuma na ushaidi walio nao juu yako...
Una uhakika ya kuwa hao waliofukuzwa hawakupewa uo MUDA wa kujieleza?????CCM si chama cha kipuuzi kiasi hicho...kila mtu alijieleza ipasavyo na mwisho wa siku kwa busara za chama hivho ndicho walichoamua juu yao
WEWE UNA UMWA UGONJWA UNAO ITWA UKOVI....
Hapo ndipo unafiki unapotamalaki.Hebu tuweke issue ya Majaliwa pembeni & frame our question like this...
Ok Majaliwa hakuhusika tunakubali lakini baada ya ule mgomo baridi na baadhi ya wajumbe kutoka nje ni Emmanuel Nchimbi ndiye alizungumza na waandishi wa habari na kituoa malalamiko akina Sophia na wengine wakiwa pembeni kimya.
Sasa basi kwa nini mzungumzaji wa mgomo baridi apewe onyo tu tena bortion eti onyo kali alafu Sophia aliyekuwa pembeni asimamishwe uanachama?
Naomba nrekekebishe swali namba 3. Kwenye swali hilo hatusemi kuomba msamaha.......ni hivi:-1. Nashukuru kama umejua kuwa ushahidi wa PM kumshangilia Lowassa upo kwenye ile clip.
2. Nashukuru pia kwa kufahamu kuwa wale waliofukuzwa ni kafara.
3. Sasa nipe ushahidi wa wana CCM waliofukuzwa kupewa nafasi ya kuomba msamaha.
Angalia video halafu ujibu swali. Aliimba au la, basi.Mleta Mada ni mnafiki, Waziri Mkuu siyo mtu wa makundi, na siyo mnafiki kama huyo Mleta mada. Anajitambua Waziri Mkuu wetu, na Mheshimiwa Rais, ni mtu makini ambaye alifanya uteuzi huu kwa uhakika na kujiamini. Tuache majungu