technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,850
- Thread starter
- #141
Dawa ya kumpuuza mtu uwa ni kutochangia chochote kwenye anachokiandika ..Halafu hivi hio FNBE bank, ina operate wapi hio bank Tanzania?
Unapoandika kwa kejeri maana yake umeguswa ...
Nakushauri acha kejeri kwa wengine ambao uwajui wametumwa nini humu au wanafanya nini maana ndio tabia yako .......
Ukiona kitu ukipendi au kina utata uwa unasoma unapita kimya kimya.......