Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Rais John Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa zitakayozofanyika Bariadi mkoani Simiyu, huku zikitanguliwa na maonyesho ya wiki ya vijana.
Hafla hiyo itafanyika tar.14.10.2016 ,pia itahudhuriwa na Mama Maria Nyerere na kutanguliwa na Ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl.Nyerere aliyekuwa Raisi wa kwanza wa JMT itafanyika katika kanisa la Mt.Yohana Mjini Bariadi.
Source: Mwananchi.
Hafla hiyo itafanyika tar.14.10.2016 ,pia itahudhuriwa na Mama Maria Nyerere na kutanguliwa na Ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Mwl.Nyerere aliyekuwa Raisi wa kwanza wa JMT itafanyika katika kanisa la Mt.Yohana Mjini Bariadi.
Source: Mwananchi.