Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,463
- 21,230
Kwa njaa ilivyotamalaki na bei ya vyakula ku sky rocket, sidhani kama Bashite katajwa.
Dar es Salaam. Rais John Magufuli, leo atapokea taarifa ya kazi ya uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma katika ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Jaffar Haniu imesema Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki ndiye atawasilisha taarifa hiyo kwa Rais tarehe 28/4/2017.
Jina la mhuni jambazi Bashite limo? Kama halimo hiyo ripoti ni batili.
Vip,Daudi wa kubebwa na mbeleko naskia naye yumo!
Kwa njaa ilivyotamalaki na bei ya vyakula ku sky rocket, sidhani kama Bashite katajwa.
Tutegemee walala hoi kama walimu na manesi kuondolewa lakini sio mtoto pekee anaempendeza Sizonje!!
Kuna nesi Mkoani Mara keshahukumiwa. Yuko kifungo jela 3yrs. Labda utapita msamahaMbona matokeo yanajulikana na watakaoonewa wanajulikana?
Hukifahamu vizuri unachokijua mkuu. Za kuambiwa ....Jina la mhuni jambazi Bashite limo? Kama halimo hiyo ripoti ni batili.
Hukifahamu vizuri unachokijua mkuu. Za kuambiwa ....
Ni double standards amabzo hazivumilikiNAUNGA MKONO HOJA MKUU KAMA VYETI VYA BASHITE HAVIPO HIYO HAITAKUA NA MAANA KWANGU
Hapa kuja kitu cha kuhoji, je Bashite ni mwajiriwa serikalini..!? serikal haimtambuhi mtu huyo, pia yule mwenye jina halisi la Bashite tukumbuke jina lake la mwisho alienda kujipachika mahakaman, hivyo ktk system ya vyet kule hayupo....Bashite bashite bashite, otherwise haina maana tena
Hawezi kuwepo maana hawajahakiki wakuu wa idara za serikali au wateule wa raisi yaani wakuu wa kuteuliwa na serikali maana walishakaguliwa na wizara husika ya TAMISEMIJambo zuri sana wamefanya, lakini je Bashite naye yumo? kama hayumo ni bora wakahakiki tena ili wajiridhishe and then wapeleke ripoti kamili zaidi!