Rais Magufuli kuingilia mihimili mingine na kuvuruga taratibu kuna hatari mbeleni kuficha maovu!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,772
36,650
Utendaji kazi wa rais Magufuli kwa kweli unazua sintofahamu kubwa kwa wale waona mbali.

Rais Magufuli alianza na mahakama kwa kuwapa bilioni kadhaa huku akitoa angalizo linaloonyesha dhahiri ni kuingilia utendaji kazi wa mahakama. Nadhani tulishaandika humu hivyo haina haja kurudia.

Sasa ameligeukia bunge. Bunge linaonekana sii chochote wala lolote mbele ya serikali kiasi cha kuliacha lifanye mambo gizani huku matukio likuki ya rais Magufuli yakirushwa "live" zaidi yeye ndiye anayepanga nini kinatakiwa kupangwa na bunge.

Haya mambo yana hatari kubwa kama yataachwa hivihivi. Serikali haina miungu bali ina watu! Watu hao nao wanahitaji kusimamiwa na kushauriwa! Hiyo ndiyo kazi ya bunge! Watu hao wanahitaji kuonywa pale wanapokosea, hiyo ndiyo kazi ya mahakama. Watu hao wanahitaji kuwajibishwa, hiyo ndiyo kazi ya bunge!

Kuwaingilia mihimili mingine na kufanya uamuzi juu yao ni hatari kuwa hata siku serikali ikihitajika kuwajibishwa itazima hoja kibabe na mambo yakapita.

Tujifunze kwa Jakaya Kikwete! Mbali na kuwa alikuwa na mapungufu mengi aliweka wazi ili awajibishwe. Huo ndiyo uongozi bora! Hivi kama Kikwete angeamua kufanya hivi kama serikali hii leo mngemsema kwenye majukwaa? Si anasemwa baada ya kuacha mambo yawe wazi na yajulikane?

Tusijifanye kuwa sisi ni miungu! Sisi ni binadamu wenye nyama na damu!
 
Mwanasheria mkuuu wa serikali asipoangalia pamoja na waziri Mkuu hii kitu inakula kwao,wanawajibishwa bungeni,ngoja hii kitu iendelee kukolea kwa pilipilii,chumvi,bangi,petroli baadae mzigo uwekwe kati
 
Isije ikawa kama burundi mihula imesha watu wakalazimisha ndio dalili zake hizi ni vyema utawala wakisheria ukawepo ikitokea mtu akawa juu zaidi ya sheria ni tatizo
 
Raisi Magufuli anatakiwa aiheshimu katiba aliyoapa kuilinda mbele ya halaiki.......

Kutokuendesha nchi kwa mujibu wa sheria na kufuata katiba kunaenda moja kwa moja kwenye udikteta.....

Tunataka utawala wa sheria hatutaki utawala wa kauli hata katika masuala yanayohitaji taratibu za kisheria........

Kama kuna sheria ambazo anaona zina mapungufu na haziendani kasi yake ya kutumbua majipu basi zifanyiwe marekebisho haraka iwezekanavyo........

Na wabunge huko bungeni waweke mahaba ya vyama vyao pembeni na wasimame kama watanzania kwa maslahi ya Tanzania.......

Kama jambo lina maslahi kwa taifa hata kama limeanzishwa na mtu ambaye si wa chama chako basi lipitishwe mara moja na sio kuleta malumbano yasiyo na msingi.......

Vile vile ndugu zangu wapinzani kama juhudi zenu za kupigania sisi wananchi kulitazama bunge live zimeshindikana basi pambaneni hata kama ni gizani sisi wanyonge tupo nyuma yenu......daima Mungu anasikiliza kilio cha wengi.....msikubali ajenda hiyo iwapotezee muda wa kututetea sisi wapiga kura wenu.....pengine hiyo ni ajenda ya serikali ya CCM kuwatoa mchezoni ili nyinyi muendeleze malumbano huku wakipanga mipango yao bila vikwazo.......si mnakumbuka ule muswada wa mafuta uliopitishwa baada ya nyinyi kususa...?? Tunaomba ilo lisijirudie tena.......

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI UKAWA.....

Amen......
 
Raisi Magufuli anatakiwa aiheshimu katiba aliyoapa kuilinda mbele ya halaiki.......

Kutokuendesha nchi kwa mujibu wa sheria na kufuata katiba kunaenda moja kwa moja kwenye udikteta.....

Tunataka utawala wa sheria hatutaki utawala wa kauli hata katika masuala yanayohitaji taratibu za kisheria........

Kama kuna sheria ambazo anaona zina mapungufu na haziendani kasi yake ya kutumbua majipu basi zifanyiwe marekebisho haraka iwezekanavyo........

Na wabunge huko bungeni waweke mahaba ya vyama vyao pembeni na wasimame kama watanzania kwa maslahi ya Tanzania.......

Kama jambo lina maslahi kwa taifa hata kama limeanzishwa na mtu ambaye si wa chama chako basi lipitishwe mara moja na sio kuleta malumbano yasiyo na msingi.......

Vile vile ndugu zangu wapinzani kama juhudi zenu za kupigania sisi wananchi kulitazama bunge live zimeshindikana basi pambaneni hata kama ni gizani sisi wanyonge tupo nyuma yenu......daima Mungu anasikiliza kilio cha wengi.....msikubali ajenda hiyo iwapotezee muda wa kututetea sisi wapiga kura wenu.....pengine hiyo ni ajenda ya serikali ya CCM kuwatoa mchezoni ili nyinyi muendeleze malumbano huku wakipanga mipango yao bila vikwazo.......si mnakumbuka ule muswada wa mafuta uliopitishwa baada ya nyinyi kususa...?? Tunaomba ilo lisijirudie tena.......

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI UKAWA.....

Amen......
Mkuu nadhani watausikiliza ushauri wako huo ambao naona ndilo jambo la msingi kwa sasa.
 
Raisi Magufuli anatakiwa aiheshimu katiba aliyoapa kuilinda mbele ya halaiki.......

Kutokuendesha nchi kwa mujibu wa sheria na kufuata katiba kunaenda moja kwa moja kwenye udikteta.....

Tunataka utawala wa sheria hatutaki utawala wa kauli hata katika masuala yanayohitaji taratibu za kisheria........

Kama kuna sheria ambazo anaona zina mapungufu na haziendani kasi yake ya kutumbua majipu basi zifanyiwe marekebisho haraka iwezekanavyo........

Na wabunge huko bungeni waweke mahaba ya vyama vyao pembeni na wasimame kama watanzania kwa maslahi ya Tanzania.......

Kama jambo lina maslahi kwa taifa hata kama limeanzishwa na mtu ambaye si wa chama chako basi lipitishwe mara moja na sio kuleta malumbano yasiyo na msingi.......

Vile vile ndugu zangu wapinzani kama juhudi zenu za kupigania sisi wananchi kulitazama bunge live zimeshindikana basi pambaneni hata kama ni gizani sisi wanyonge tupo nyuma yenu......daima Mungu anasikiliza kilio cha wengi.....msikubali ajenda hiyo iwapotezee muda wa kututetea sisi wapiga kura wenu.....pengine hiyo ni ajenda ya serikali ya CCM kuwatoa mchezoni ili nyinyi muendeleze malumbano huku wakipanga mipango yao bila vikwazo.......si mnakumbuka ule muswada wa mafuta uliopitishwa baada ya nyinyi kususa...?? Tunaomba ilo lisijirudie tena.......

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI UKAWA.....

Amen......


Hii serikali haina vision kabisa.. bashe kaongea leo. Ni serikali ya mipasho sana.

Haina dhamira ya kweli ya kuleta maendeleo. Kutumbua majibu sio kigezo cha seriakli makini na yenye nia ya kuleta maendeleo, hata kichaa anaweza tumbua majibu.

Inatafuta sifa hata sehemu zisizo hitaji sifa. Wajifunze mpango wa 2030 wa kenya ulio wekwa na kibaki ambao leo ni tishio kwa africa mashariki.

Anacho kifanya Magufuli ni kuendesha gari barabarani bila kufuata sheria eti kwa kuwa dereva ni police.
 
Hii serikali haina vision kabisa.. bashe kaongea leo. Ni serikali ya mipasho sana.

Haina dhamira ya kweli ya kuleta maendeleo. Kutumbua majibu sio kigezo cha seriakli makini na yenye nia ya kuleta maendeleo, hata kichaa anaweza tumbua majibu.

Inatafuta sifa hata sehemu zisizo hitaji sifa. Wajifunze mpango wa 2030 wa kenya ulio wekwa na kibaki ambao leo ni tishio kwa africa mashariki.

Anacho kifanya Magufuli ni kuendesha gari barabarani bila kufuata sheria eti kwa kuwa dereva ni police.
Umeua kamanda,kwa kuwa dereva ni polisi
 
First they came for the Socialists, and I did not speak out—
Because I was not a Socialist.


Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out—
Because I was not a Trade Unionist.

Then they came for the Jews, and I did not speak out—
Because I was not a Jew.

Then they came for me—and there was no one left to speak for me.
 
Raisi ambaye vyombo vya dola viko chini yake, ukimuachia matumizi ya pesa za umma nayo yawe chini yake moja kwa moja unakuwa unampa nguvu ambazo baadae ni vigumu kumthibiti. Bunge halipaswi kupokwa power zake za kuidhinisha matumizi ya pesa za wananchi!
 
mbona sasa watu wengi wanaikosoa hii serekali. je nini kifanyike watu wasilalamike
 
Kwa hiyo hoja ni Magufuli kuhutubia live na sio bunge kuonekana live?

Mbona Ukawa mnapenda kuhamisha magoli?
 
Raisi ambaye vyombo vya dola viko chini yake, ukimuachia matumizi ya pesa za umma nayo yawe chini yake moja kwa moja unakuwa unampa nguvu ambazo baadae ni vigumu kumthibiti. Bunge halipaswi kupokwa power zake za kuidhinisha matumizi ya pesa za wananchi!
You killed it
 
First they came for the Socialists, and I did not speak out—
Because I was not a Socialist.


Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out—
Because I was not a Trade Unionist.


Then they came for the Jews, and I did not speak out—
Because I was not a Jew.


Then they came for me—and there was no one left to speak for me.
Let us wake up before it is too late,ilianzailianza barabara ya biharamulo kuchepushwa ikapelekwa chato,kumekuchaaaa
 
Hii serikali haina vision kabisa.. bashe kaongea leo. Ni serikali ya mipasho sana.

Haina dhamira ya kweli ya kuleta maendeleo. Kutumbua majibu sio kigezo cha seriakli makini na yenye nia ya kuleta maendeleo, hata kichaa anaweza tumbua majibu.

Inatafuta sifa hata sehemu zisizo hitaji sifa. Wajifunze mpango wa 2030 wa kenya ulio wekwa na kibaki ambao leo ni tishio kwa africa mashariki.

Anacho kifanya Magufuli ni kuendesha gari barabarani bila kufuata sheria eti kwa kuwa dereva ni police.
Kamanda haupo mbali na ukweli.....mambo yote yapo bayana....serikali yote kwa ujumla haina hata nia ya kuwakwamua Watanzania zaidi ya kuwafanya kama makatuni kwa kuwaletea maigizo.....tazama vitu vinavyopanda bei....kiukeei hali ni mbaya sana....
 
Back
Top Bottom