issenye JF-Expert Member Feb 2, 2011 3,781 5,205 Feb 23, 2021 #41 Hicho kivuko cha ubungo kinazinduliwa mara ngapi?
Faana JF-Expert Member Dec 12, 2011 31,920 33,357 Feb 23, 2021 #42 beth said: Ujenzi wa Soko la kisasa Kisutu majira ya saa 03:30 Asubuhi Click to expand... Bado masoko yanajengwa katikati ya mji badala ya kupeleka nje ili kupunguza msongamano, nilidhani mpango wa sasa ni kujenga Kariakoo nyingine Mbezi Luis, Tegeta, Mbagala, Kigamboni, Tabata na Gongolamboto
beth said: Ujenzi wa Soko la kisasa Kisutu majira ya saa 03:30 Asubuhi Click to expand... Bado masoko yanajengwa katikati ya mji badala ya kupeleka nje ili kupunguza msongamano, nilidhani mpango wa sasa ni kujenga Kariakoo nyingine Mbezi Luis, Tegeta, Mbagala, Kigamboni, Tabata na Gongolamboto
Iselamagazi JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,924 6,010 Mar 15, 2021 #44 majumba 6 said: tumemiss ziara za mheshimiwa Click to expand... Ok!
M-mbabe JF-Expert Member Oct 29, 2009 13,203 23,020 Mar 15, 2021 #45 majumba 6 said: tumemiss ziara za mheshimiwa Click to expand... Shida ipo kwenye "kukaguliwa kaguliwa". Hivyo yaani!
majumba 6 said: tumemiss ziara za mheshimiwa Click to expand... Shida ipo kwenye "kukaguliwa kaguliwa". Hivyo yaani!
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,167 16,256 Oct 18, 2021 #46 na hii ndio ilikuwa ziara yake ya mwisho
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,167 16,256 Oct 18, 2021 #47 IDEGENDA said: Mabavicha yatakwambia kakimbilia chato kuogopa corona. Click to expand... na kutoka hapa hakuonekana tena
IDEGENDA said: Mabavicha yatakwambia kakimbilia chato kuogopa corona. Click to expand... na kutoka hapa hakuonekana tena
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,167 16,256 Oct 18, 2021 #48 Mamndenyi said: Na pandemic hii? sawa ngoja tuone. Click to expand... aisee
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,579 Mar 15, 2023 #49 IDEGENDA said: Mabavicha yatakwambia kakimbilia chato kuogopa corona. Click to expand... ππ
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,088 54,364 Mar 15, 2023 #50 Donnie Charlie said: na kutoka hapa hakuonekana tena Click to expand... Mpaka.....
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,167 16,256 Mar 15, 2023 #51 Kennedy said: Mpaka..... Click to expand... Agano litimie