Inawezekana hata hajui kwamba mabasi ya Tanga/Iringa/Mbeya yalikuwa yanaanzia hapo na palikuwa wazi.Barbarosa, ungewezaje wakati umri wako Dar es Salaam ni mfupi kuliko U RC wa Makonda
Uko sahihi mkuu hawa ni watoto wa enzi za kina Diamond Platnumz ukiwauliza ukumbi wa silent in au drive in hawawezi kujua, ila stand ya mabasi ya Tanga ilikuwa Kisutu.Inawezekana hata hajui kwamba mabasi ya Tanga/Iringa/Mbeya yalikuwa yanaanzia hapo na palikuwa wazi.
Palikuja fungwa baada ya ombaomba kujipatia makazi.
Uko sahihi mkuu hawa ni watoto wa enzi za kina Diamond Platnumz ukiwauliza ukumbi wa silent in au drive in hawawezi kujua, ila stand ya mabasi ya Tanga ilikuwa Kisutu.
Sijawahi kuona hiyo bustani ikiwa wazi maisha yangu yote, kwanza hata viwanja vya gymkana vilikuwa kwa ajili yetu kupumzika, akapewa Muzungu achezee golf na kuweka uzio.
Sasa wewe wkt unakuja mjini si ulikuta stand ikiwa ubungo utajuaje haya mambo ya kitambo.
Mageti yanawekwa makusudically hizo bustani zisitumike mithili ya Tahrir square!'Kama kweli anatujali' kumbe huna uhakika kama anajali ni dalili za kutomwamini.
Nikukumbushe tu enzi za Nyerere hadi mwishoni mwa enzi za Mkapa Mnazimmoja ilikuwa wazi tulikuwa tunapumzika hapo na matukio mengi yalifanyika hapo, nakumbuka kwa tusiokuwa na TV tulikuwa tunawekewa TV kubwa kama sikosei na kituo cha ITV kuonyesha matukio ya kitaifa ikiwemo michuano ya World Cup, hata Mrema alipofukuzwa bungeni Dodoma alifanyia mkutano wake Mnazimmoja, uzio ulijengwa mwishoni mwa enzi za Mkapa, Kikwete kaja kuweka mageti.
Kunya hovyo ni tabia mbaya. Unatakiwa kujenga utamaduni wa kunya asubuhi na jioni nyumbani kwako.Kufunga ukumbi kwa vile watu wanakunya ndani ni uzembe wa watendaji waliopewa jukumu la kusimamia, polisi wapo, mgambo wapo, polisi jamii ipo, wanashindwa hata kuajiri kampuni ya ulinzi wakaacha watu wapumzike. Vituo vya mabasi vipo wazi hatuoni watu wakinya hovyo, kinachotakiwa ni kuwa na huduma nyingi za vyoo pale na watu waelekezwe huku kukiwa na ulinzi imara.
Mbona watu hawanyi hovyo uwanja wa Taifa au uwanja wa ndege.
mateja watakunya na kukojoa humoNyie wachafu, mtakunya humo
Stand ya Kisutu ilikuwa kwa ajili ya mabasi ya Moshi /ArushaHilo sijui, ila najua stendi ya Kisutu.
Siyo kwamba nawatetea, watu wanaokunya pale sio kuwa wamependa bali kuna mazingira yanayoweza kukulazimisha, ukosefu wa huduma, tumbo kuchafuka ghafla, wasafiri, wagonjwa, watoto, ulevi nk.Kunya hovyo ni tabia mbaya. Unatakiwa kujenga utamaduni wa kunya asubuhi na jioni nyumbani kwako.
Kukulia sehemu siyo garantii ya kujua kila kitu, watu wamezaliwa Tanzania lkn mzungu mtalii anaijua mbuga ya Serengeti kuliko mtanzania.Nimezaliwa na kukulia hapa, hakuna kona siijui, kwanza naweza hata kuwa tour guide wa Watalii naijua mitaa yote hadi hata Historia ya sehemu nyingi tu za City.
Yes of course, na viwanja vya Kidongo chekundu vilikuwa wazi enzi za 90.Mageti yanawekwa makusudically hizo bustani zisitumike mithili ya Tahrir square!
Unaweza usieleweke lakini umeongea kitu very logical.Tupo pamoja MkuuBustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.
Na hoja mfilisi kwamba sisi ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?
Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...
Pole fuatilia historia yake, wengine tumecheza sana pale, miaka ya 80/90 kwa pembeni kilikuwepo na kituo cha mabasi ya kwenda nyada za juu kusini, Mbeya, Iringa, Sumbawanga, Njombe nk
Kukulia sehemu siyo garantii ya kujua kila kitu, watu wamezaliwa Tanzania lkn mzungu mtalii anaijua mbuga ya Serengeti kuliko mtanzania.
Mabasi ya Sumri na ya Scandinavia.Ilanga moto, Kiswele, Ruvuma tours line, Twiga, Tawaqal, Comfort, Upendo, Embakas..n.k
Hii nchi ina matatizo makubwa sana, wakati JPM akisisitiza watu kuchapa kazi wengine wanaomba lango la mnazi moja liwe wazi ili wakalishe makalio yao 24/7.Bustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.
Na hoja mfilisi kwambamnafikii[/B] ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?
Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...