Rais Magufuli ingilia mchakato wa ubunge Afrika Mashariki, Majina yavuja hata kabla ya usahili

Deo Shy

Member
Oct 18, 2016
98
300
Hii nalo ni kituko cha dunia. Majina ya wagombea ubunge afrika mashariki jana yamevujishwa na sekretariate inayoket leo kwa ajili ya kufanya usahili kwa wagombea wote 425. Majina yalivujishwa jana yamepunguzwa kutoka 425 mpaka 18. Hili linatendeka wakati leo tarehe 28.03.2017 ndio siku ya kufanya usahili. Sasa mmetuleta hapa Dodoma kufanya nini kama mlikuwa na majina yenu mfukoni...

Mbaya zaidi hao waliopitishwa wajumbe hao wa sekretariate wanasema ndio Mzee kawapendekeza. Kitu ambacho sio kweli. Magufuli hana mgombea na yuko very fair.... Ingawa inasemekana wajumbe hao waliopitishwa walitembeza mkwanja kwa wajumbe hao wa sekretariate tokea mchakato ulivyoanza Lumumba!...

Tumehuzunishwa sana na hii hali. Hatukutegemea kama watu wangeendeleza mchezo wa ovyo kama huu.

Tafadhali sana Rais Magufuli, Comrade Mangula na Kinana ingilieni hili suala kati. Majina yenu yanatumika huku vibaya!
 
Hii habari kama imekaa kiumbea vile sioni mashiko hata kidogo.
 
Hii nalo ni kituko cha dunia. Majina ya wagombea ubunge afrika mashariki jana yamevujishwa na sekretariate inayoket leo kwa ajili ya kufanya usahili kwa wagombea wote 425. Majina yalivujishwa jana yamepunguzwa kutoka 425 mpaka 18. Hili linatendeka wakati leo tarehe 28.03.2017 ndio siku ya kufanya usahili. Sasa mmetuleta hapa Dodoma kufanya nini kama mlikuwa na majina yenu mfukoni...

Mbaya zaidi hao waliopitishwa wajumbe hao wa sekretariate wanasema ndio Mzee kawapendekeza. Kitu ambacho sio kweli. Magufuli hana mgombea na yuko very fair.... Ingawa inasemekana wajumbe hao waliopitishwa walitembeza mkwanja kwa wajumbe hao wa sekretariate tokea mchakato ulivyoanza Lumumba!...

Tumehuzunishwa sana na hii hali. Hatukutegemea kama watu wangeendeleza mchezo wa ovyo kama huu.

Tafadhali sana Rais Magufuli, Comrade Mangula na Kinana ingilieni hili suala kati. Majina yenu yanatumika huku vibaya!
Ndio maana tunasema CCM ni tatizo namba moja Tanzania. Rushwa, ufisadi, ujinga, uonevu na makando kando mengine yenye kufanana na hayo ndio brand ya CCM.

Mtajuana wenyewe huko, kwa sababu ninyi huwa mnapata akili pale tu mambo yenu yenye maslahi yanapoguswa lakini aslani huwa hamna chembe ya utu pale jirani au Taifa linapoguswa.
 
Hii nalo ni kituko cha dunia. Majina ya wagombea ubunge afrika mashariki jana yamevujishwa na sekretariate inayoket leo kwa ajili ya kufanya usahili kwa wagombea wote 425. Majina yalivujishwa jana yamepunguzwa kutoka 425 mpaka 18. Hili linatendeka wakati leo tarehe 28.03.2017 ndio siku ya kufanya usahili. Sasa mmetuleta hapa Dodoma kufanya nini kama mlikuwa na majina yenu mfukoni...

Mbaya zaidi hao waliopitishwa wajumbe hao wa sekretariate wanasema ndio Mzee kawapendekeza. Kitu ambacho sio kweli. Magufuli hana mgombea na yuko very fair.... Ingawa inasemekana wajumbe hao waliopitishwa walitembeza mkwanja kwa wajumbe hao wa sekretariate tokea mchakato ulivyoanza Lumumba!...

Tumehuzunishwa sana na hii hali. Hatukutegemea kama watu wangeendeleza mchezo wa ovyo kama huu.

Tafadhali sana Rais Magufuli, Comrade Mangula na Kinana ingilieni hili suala kati. Majina yenu yanatumika huku vibaya!
Naomba nikuulize swali binafsi, kwa niya njema kabisa. Je, nawe umeomba nafsi hiyo? NInao ushauri wa kweli kabisa kuhusu mambo hayo ya bunge.
 
Baba bashite kila sehemu yupo,,michanga yeye, maigizo bandarini yupo, kwa nay wa mitego yupo, kwa bashite yupo, kwa shilawadu yupo, vitu vingine vidogo kama hivi awaachie kina mangula bana.
 
Bashite hawezi kwenda kuomba Ubunge hata mara moja maana wanadai vyeti hadharani.....pia atakataliwa hata na wabunge wenzake wa nchi washirika!!!
 
Back
Top Bottom