Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
- Thread starter
- #101
Sishangahi! Tungependa shule ungepata picha, lakini kama elimu yako ni ya kuunga unga ni shida kidogo. Mimi siwezi kukusaidia ili upate picha unayoitaka. Ushauri wangu tu kwako usijishughulishe na mambo mazito yasiyo kuwa na uwezo nayo. Yatakuchanganya akili ma kukufanya upate frustrations za maisha. Kaa pembeni na waache watu wenye uwezo ku deal na issues kama hizi.Sijaona picha,
Isamaraizi ulichoaandika.
Once a legend said "If you are good at something, never do it for free"
Samahani sana. Sina jibu jingine zuri kwako zaidi ya kukushukuru kwa mchango wako mzuri!
Sent using Jamii Forums mobile app