Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

Pusi mweusi
 

Sikiliza mzee… Inaonekana nawe pia ni zao la hofu na woga.. na ndio mana unachoona ni hofu ya kumkosea Rais. Jaribu kuchambua ni wapi kwenye ujumbe huu mwandishi amekosa nidhamu na utupe uelewa wako nidhanimu ni kitu gani hasa na inatafsiriwaje kati ya kiongozi na anayeongoza. Mifano unayotoa wewe ya China haina tofauti na anayotoa rais .. mifano ya nchi zinazoendeshwa kimla na ambazo wananchi wao hawana uhuru wa mawazo yao na Amani ya moyo. Wanaofugwa kama kuku wasio na akili. Umshahoji wachina wangapi wakakueleza wanavyojisikia? Hata hivyo China haijajengwa kwa hofu na vitisho.. imejengwa kwa akili, nidhamu ya kazi, mifumo imara ya ndani, na mikakati mipana na shirikishi kwa taifa. Jiulize hiki ndicho anafanya unayetaka asiguswe kwa anayoongea. Yani wewe ukiwa amiri jeshi mkuu hadi ukiingia nyumbani kwako unajitambulisha hivyo? Huoni hiyo ni athari ya kukosa ujasiri na woga
 
Raisi chizi,..kwake uoga ndio ujasiri,kumsifu ndio uzalendo,..

watanzania tujipange kumuondoa huyu chizi kabla hajainakamisha nchi yetu,sisi ndio tuliomchagua anapaswa atuheshimu,kama hawezi kuwaheshimu watanzania basi tumuondoeni hapo alipo,halafu tumshitaki kwa kutonyanyasa na kutuulia viongozi wetu
 
Mkuu usimvunjie heshima yule mama, nyie hebu endeleeni na mijadala yenu bila kumuhusisha mama wa watu tafadhali, wewe utafurahi kusemewa hovyo mama yako? Heshima ichukue mkondo wake

Uko sahihi mkuu naiman64 ulichiomwambia Jembekillo ,sio sawa kumtukana mama wa watu. sijaandika kumtukana rais wala mke wake. andika mambo yanayotuhusu wananchi na tunza heshima za utu wao
 
Kuwa na adabu rais hakosolewi
"Everybody except God is subject to audit" a clause in auditing
 
Uko sahihi mkuu naiman64 ulichiomwambia Jembekillo ,sio sawa kumtukana mama wa watu. sijaandika kumtukana rais wala mke wake. andika mambo yanayotuhusu wananchi na tunza heshima za utu wao
Mama nae anahusika kwanini hammuongozi mume wake!!au na yeye anayapenda mume wake hayo anavyowafanyia watanzania!!?

Magufuli wakati wa kampeni za kugombania Uraisi alikuwa anawabembeleza watanzania wamchague mpaka kufika kulia kwenye majukwa,hivi sasa anawaona watanzania waliomchua hawana mpango wowote
 
Licha ya tafsiri pana ya nidhamu, kwa mwanachuo nidhamu ni kutumia muda wote kufanya kile unachopaswa kufanya na si kinyume, Rais aliwaambia wanafunzi wasome kilichowapeleka chuo ni kusoma siyo siasa au kuiga mambo yasiyo na faida kwao na kwa wazazi wao, chuo ni mahali pa kufunzwa kufikiri na kuamua kilicho bora kwa maisha yako na wengine..chuoni kuna uongozi na sheria zipo, ni wajibu wa mwanachuo kutii sheria za chuo na kile uongozi wa chuo unaelekeza, hakuna chuo kinafundisha wanafunz kugoma..zipo njia nyingi za kutatua changamoto si migomo..kwa mtu aliyelelewa holela holela hata anapoambiwa avae kuchomekea shati anapokwenda shule atasema ni imla..si kosa lake, ni kosa la malezi ndio maana nimeeleza..tatizo si wewe unayesema vitisho nk tatizo ni huko ulikoanzia ulivyozaliwa.
 
Kwa maneno km haya sidhani utaishi ukakwepa kifungo wewe..asiyefunzwa na ***** dunia itamfunza..endelea
 
soma "sign" yangu "doubt leads to death", hunitishe, sijalelewa kwa vitisho na wazazi wangu,kifungo ndio nini,jela zimejengewa binadamu,wamekoselewa Mitume itakuwa Magufuli!??nenda zako kalale mbele..hujui unachokiongea
Hata shetani hukumbuka while it is too late..endelea, tofautisha kutishwa na kuambiwa ukweli.
 
Hata shetani hukumbuka while it is too late..endelea, tofautisha kutishwa na kuambiwa ukweli.
Binadamu tuko tafauti,hatuwezi kuwa sawa wewe una mawazo yako mimi nina yangu,kwa upande wangu naona huyu raisi hatufai kutuongoza,anafanya watanzania wawe na nidhamu ya woga,taifa lenye raia wenye nidhamu ya woga haliwezi kupiga hatua kimaendeleo,..

Shetani ndio ana sifa za kuwatisha wengine ili yake yamuendee,wewe ndie shetani kwa hili.,,Katishe wengine...niko hapa kusema ninachokiamini
 
Watu hawaongozwi Kwa vitisho na mabavu Karne hizi.Watu Wana Uhuru wa kuwa na fikra huru na mawazo.


Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…