Rais Magufuli aweka rekodi, siku 25 bila Mawaziri

Haha ndugu unasema MASSAWE MZEE wakagera wanamjua Na wahamihaji haramu walisoma Number aisee alikua tough sana KAGERA ilikua safi sana. Magufuli alikuja KAGERA akasema mbele yake tunaitaji wakuu wa mikoa Watano tu Kama yeye wakati akiwa Bado RC KGR.
 
dah ndg yang usinikumbushe machungu ya huyu Massawe.. Nkikumbuka alipokuwa anatushusha kwenye mabas na daladala kusafisha mji machoz yananitoka.

Kaka hata Mimi nimeshawahi kufanya usafi mkoani KAGERA tulitolewa maofisini kufanya usafi. Yeye mwenyewe akiwa mstari kwanza. COL MASSAWE aliacha jina mkoani Na Bado anauwezo wakupewa wizara
 
Haha ndugu unasema MASSAWE MZEE wakagera wanamjua Na wahamihaji haramu walisoma Number aisee alikua tough sana KAGERA ilikua safi sana. Magufuli alikuja KAGERA akasema mbele yake tunaitaji wakuu wa mikoa Watano tu Kama yeye wakati akiwa Bado RC KGR.

Mfungulie sredi huyu jamaa, naona unapiga promo kila uzi.
 
Naamini huo ndio ukweli.Watanzania tumeoza,hivi unajua tumeoza.Hakuna mwenye akili hata,hakuna anayefikiri jema hata.Ni uozo mtupu.Mungu atusaidie.

Hata hivyo ni vema akachukua muda mrefu lakini akapata some useful material.
Rais John Pombe Magufuli amekuwa wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi kuanza nchini kutumia muda mrefu kutangaza Baraza la Mawazi kutokana na kile wasomi, wachambuzi wa siasa kusema pengine anapata wakati mgumu kupata mawaziri watakaoendana na kasi yake
 
Rais John Pombe Magufuli amekuwa wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi kuanza nchini kutumia muda mrefu kutangaza Baraza la Mawazi kutokana na kile wasomi, wachambuzi wa siasa kusema pengine anapata wakati mgumu kupata mawaziri watakaoendana na kasi yake
Mimi nadhani mawaziri ni mizigo hivi sasa wanaofanya kazi wapo watatu Magufuli,Majaliwa ,Samia na Ombeni wakisaidiwa na makatibu wakuu wa wizara kwa kweli sasa hatuhitaji mawaziri mbona Magufuli na timu yake karibu sasa wanafikia mwezi na kazi inaendelea kama kawaida,tumeshasahau mawaziri na mbwembwe zao,pia sasa aangalie kule mikoani na wilaya wakuu wa mikoa na wilaya hawana kazi za kugfanya wawaachie wakurugenzi wa maendeleo.Magu oyee
 
Watz hawataki mawazir wala manaibu wawepo wasiwepo wao sio muhimu.
Wanachotaka watz ni ufanisi ktk kazi.
Tuliwahi kuwa na mawazir hamsini lkn kodi haikusanywi wala muhimbil hakukuwa na dawa.
Magu akiwa pekeyake mbona mambo yanaenda tu
 
Back
Top Bottom