Nzuri hiyo.
So what?
Seriously!! Hii nayo ni habari
Hebu punguza mahaba kha
Jaribu kupitia jukwaa la MMU akili ipate akili
Unaboa kwa ufupi
ahahahabhahaa mbavu zangu mm jaman...hahahahahaIpo siku utatuwekea anakwenda bafuni.
Jiwe ameshafeli hasafishiki tena.. Kiki zote Kamaliza bado bila bila.. Aongeze mishahara kwanza ili tufikie uchumi wa kati
aiseeIt's not even a big deal
Ifike wakati muache kujikomba basi,hili nalo ni la kuanzishia uzi?