Rais Magufuli anatakiwa kutengua uteuzi wa Waziri Mpango na Waziri Kabudi kwa kuwateua kabla Waziri Mkuu hajapatikana

Mkuu-uwaziri mkuu, uwaziri, na unaibu waziri unakoma pale rais mteule anapoanza kuapa
article 57 (1) (2) CURT (1977)
(2) The Office of a Minister or a Deputy Minister shall become vacant upon the occurrence of any of the following:
(a) (f) immediately before the President elect assumes office;
Good point Mkuu!

Kwa msingi huo basi, Magufuli anaweza kuwa alijadiliana na Majaliwa kuteua hao mawaziri wawili kabla hajaapishwa, kwa kuwa wakati huo Majaliwa alikuwa bado ni Waziri Mkuu kwa mujibu wa uchaguzi wa awamu iliyopita, na Magufuli alikuwa bado ni raisi kwa mujibu wa uchaguzi wa awamu iliyopita. Lakini unaweza kubisha kuwa basi huo ungekuwa ni uteuzi wa mawaziri kwa ajili ya awamu iliyopita.

Iko confusing lakini hiyo ndio only sensible explanation ambayo Magufuli anaweza kutoa. Otherwise Magufuli amekiuka katiba big time!

Lakini kama inavyosemwa, Magufuli ni Trump wa Tanzania, sijui hata kama amewahi kuisoma Katiba ya JMTZ.
 
Mkuu-uwaziri mkuu, uwaziri, na unaibu waziri unakoma pale rais mteule anapoanza kuapa
article 57 (1) (2) CURT (1977)
(2) The Office of a Minister or a Deputy Minister shall become vacant upon the occurrence of any of the following:
(a) (f) immediately before the President elect assumes office;
Good point Mkuu!

Kwa msingi huo basi, Magufuli anaweza kuwa alijadiliana na Majaliwa kuteua hao Mawaziri wawili kabla hajaapishwa, kwa kuwa wakati huo Majaliwa alikuwa bado ni Waziri Mkuu kwa mujibu wa Uchaguzi wa awamu iliyopita, na Magufuli alikuwa bado ni Rais kwa mujibu wa Uchaguzi wa awamu iliyopita. Lakini unaweza kubisha kuwa basi huo ungekuwa ni uteuzi wa mawaziri kwa ajili ya awamu iliyopita.

Iko confusing lakini hiyo ndio only sensible explanation ambayo Magufuli anaweza kutoa. Otherwise Magufuli amekiuka katiba big time!

Lakini kama inavyosemwa, Magufuli ni Trump wa Tanzania, sijui hata kama amewahi kuisoma Katiba ya JMTZ.
 
Watu wako bize na mambo ya msingi huo ujinga wa kutengua haupo sanasana ndio kwaanza anaandaa majembe mengine kwaajili ya baraza jipya mtakaa tu
 
Good point Mkuu!

Kwa msingi huo basi, Magufuli anaweza kuwa alijadiliana na Majaliwa kuteua hao mawaziri wawili kabla hajaapishwa, kwa kuwa wakati huo Majaliwa alikuwa bado ni Waziri Mkuu kwa mujibu wa uchaguzi wa awamu iliyopita, na Magufuli alikuwa bado ni raisi kwa mujibu wa uchaguzi wa awamu iliyopita. Lakini unaweza kubisha kuwa basi huo ungekuwa ni uteuzi wa mawaziri kwa ajili ya awamu iliyopita.

Iko confusing lakini hiyo ndio only sensible explanation ambayo Magufuli anaweza kutoa. Otherwise Magufuli amekiuka katiba big time!

Lakini kama inavyosemwa, Magufuli ni Trump wa Tanzania, sijui hata kama amewahi kuisoma Katiba ya JMTZ.
Mkuu hizo nituhuma nzito sana- ila kumbuka kuwa ni ngumu sana kutafuta lini usiku unisha na lini mchna unaanza wakati mwingine huamuliwa na jua liko wapi
 
Good point Mkuu!

Kwa msingi huo basi, Magufuli anaweza kuwa alijadiliana na Majaliwa kuteua hao mawaziri wawili kabla hajaapishwa, kwa kuwa wakati huo Majaliwa alikuwa bado ni Waziri Mkuu kwa mujibu wa uchaguzi wa awamu iliyopita, na Magufuli alikuwa bado ni raisi kwa mujibu wa uchaguzi wa awamu iliyopita. Lakini unaweza kubisha kuwa basi huo ungekuwa ni uteuzi wa mawaziri kwa ajili ya awamu iliyopita.

Iko confusing lakini hiyo ndio only sensible explanation ambayo Magufuli anaweza kutoa. Otherwise Magufuli amekiuka katiba big time!

Lakini kama inavyosemwa, Magufuli ni Trump wa Tanzania, sijui hata kama amewahi kuisoma Katiba ya JMTZ.
Ila hao walioteuliwa walikuwa Mawaziri awamu iliyopita sasa anamteua vipi Waziri tena kwenye Wizara hiyohiyo mara mbili kwa awamu moja?
 
Mkuu hizo nituhuma nzito sana- ila kumbuka kuwa ni ngumu sana kutafuta lini usiku unisha na lini mchna unaanza wakati mwingine huamuliwa na jua liko wapi
Ni kweli. Lakini usisahau kwamba Katiba iko wazi kwamba
  1. Rais akishaapishwa atamteua Waziri Mkuu
  2. Waziri Mkuu akishateuliwa lazima kwanza athibitishwe na Bunge kabla ya kufanya kazi yeyote ya Uwaziri MKuu
  3. Rais atateua mawaziri kwa kushauriana na Waziri Mkuu.
Sasa Magufuli aliteua Mawaziri, kisha akateua Waziri Mkuu. Alifuata Katiba?

Maeneo ambayo ni wazi Magufuli hakufuata Katiba ni haya;
  1. Rais aliteua mawaziri kabla hajamteua Waziri mkuu
  2. Rais aliteua mawaziri bila kushauriana na Waziri mkuu
  3. Rais alishauriana na W mkuu wa awamu iliyopita kuteua Mawaziri wa amamu hii
  4. Au pengine, Rais alishauriana na Waziri Mkuu kuteua mawaziri kabla Waziri mkuu hajathibitishwa na Bunge
Kwa hiyo, kwa vyovyote vile - Magufuli alivunja katiba, kama kawaida yake
 
Baada ya Uchaguzi wa mwaka 2015, rais Magufuli aliwateua Dr. Mahiga na Dr. Kabudi kuwa Wabunge.

Kabla hawajaapishwa Ubunge, akawateua na kuwaapisha uwaziri.

Wakati, ili kuwa Waziri, anatakiwa kuwa Mbunge.

Na ili kuwa Mbunge, unatakiwa uape kiapo cha Ubunge.

Dr. Mahiga na Dr. Kabudi waliapishwa Uwaziri kabla hawajaapishwa Ubunge.

Maana yake, walivyoapishwa Uwaziri, hawakuwa na sifa ya kuwa Wabunge.

Magufuli hajali haya mambo ya Katiba.
 
Bahati nzuri Rais Dk. John Pombe Magufuli ninayemjua Mimi huwa hana muda 'Mchafu' wa Kusikiliza 'Ushauri' wa 'Kipuuzi' kutoka kwa 'Mpuuzi' pia.
Hivi yale yakuvuruga taratibu kwa kupeleka wanajeshi kufanya ununuzi wa korosho yalitokea wapi?
 
Ni kweli. Lakini usisahau kwamba Katiba iko wazi kwamba
  1. Rais akishaapishwa atamteua Waziri Mkuu
  2. Waziri Mkuu akishateuliwa lazima kwanza athibitishwe na Bunge kabla ya kufanya kazi yeyote ya Uwaziri MKuu
  3. Rais atateua mawaziri kwa kushauriana na Waziri Mkuu.
Sasa Magufuli aliteua Mawaziri, kisha akateua Waziri Mkuu. Alifuata Katiba?

Maeneo ambayo ni wazi Magufuli hakufuata Katiba ni haya;
  1. Rais aliteua mawaziri kabla hajamteua Waziri mkuu
  2. Rais aliteua mawaziri bila kushauriana na Waziri mkuu
  3. Rais alishauriana na W mkuu wa awamu iliyopita kuteua Mawaziri wa amamu hii
  4. Au pengine, Rais alishauriana na Waziri Mkuu kuteua mawaziri kabla Waziri mkuu hajathibitishwa na Bunge
Kwa hiyo, kwa vyovyote vile - Magufuli alivunja katiba, kama kawaida yake
Mkuu tuko kwenye enzi ya ANTI- ESTABLISHMENT ambazo zinachelewesha mambo kwenda
 
Back
Top Bottom