Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,118
Mna exaggerate sana uwezo wa TISS utafikili hawajazaliwa na wazazi waliotuzaa hapa Bongo.Wengine ni mademu zetu,makaka zetu uwezo wao kiakili tunaujua
huyu aliyechukua nafasi ni TISS nguli ambae alikuwa polisi na sasa yuko nyumbani
Msidhania kamwe Rais ni mjinga
polisi TISS wako wengi tu
Hata madaktari TISS mpaka wachungaji, mashekhe, mapadre
Unless TISS haujui wako wapi
Wapo kila mahali, kila professional
Hata mkeo aweza kuwa ni usalawa wa taifa
Go get TISS 101 beginner course