Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,412
Kwani CHADEMA wamefanya ziara huko?
Kwani CHADEMA wamepata mgao wa 1.5 t?
CHADEMA wamepora fedha za maduka ya kubadili fedha ili wagawe nchi nzima?
CHADEMA wamepora viwanja vya wazi na viwanja vya mpira vilivyojengwa na nguvu kazi za wananchi wote ili wagawe kwa wananchi?
Kwani CHADEMA wamepata mgao wa 1.5 t?
CHADEMA wamepora fedha za maduka ya kubadili fedha ili wagawe nchi nzima?
CHADEMA wamepora viwanja vya wazi na viwanja vya mpira vilivyojengwa na nguvu kazi za wananchi wote ili wagawe kwa wananchi?