Official Amo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 991
- 1,220
Ni kweli inaweza kupitia kwake lakini yeye awezi iletaNeema inaweza kupitia kwake!
Ni kweli inaweza kupitia kwake lakini yeye awezi iletaNeema inaweza kupitia kwake!
Naona unachangia mada usiyoijua. Somo kichwa cha habari ya mjadala huu kinasemaje. Usiwe na tabia ya kuchangia mada usiyoijua. Ni aibuKwani kuna aliyelalamikia Chadema kutochanga?!
Hahahaa....... Mbwiga ni mbwiga tu!Naona unachangia mada usiyoijua. Somo kichwa cha habari ya mjadala huu kinasemaje. Usiwe na tabia ya kuchangia mada usiyoijua. Ni aibu
Mleta hoja kasema Chadema haikuchangia mchango huko Kyela ndio maana ya hoja yangu kuwa mchango ni hiari siyo lazima na vyama vya siasa ni vingi sasa kwa nini analalamikia Chadema tu kutotoa mchango?Hahahaa....... Mbwiga ni mbwiga tu!