Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Rais anafurahishwa na Wapinzani ambao siyo Pinga Pinga kwa hata jambo ambalo lina maslahi Kitaifa. Zitto pia alimuita Tundu Lissu hayawani kwa Kuagiza Nchi wahisani wasiipe Msaada Tanzania Kwa Sababu wanaikandamiza CHADEMA.
Such Self awareness ya Zitto Kabwe inamvutia sana Rais na Huenda akabahatika Kuishi kwenye Nyumba za Mawaziri katika awamu hii he is very bright Na ni Mvumilivu wa Kisiasa.
I wish him good , naomba CHADEMA tubadilike pia tusiwe Pinga Pinga!
Such Self awareness ya Zitto Kabwe inamvutia sana Rais na Huenda akabahatika Kuishi kwenye Nyumba za Mawaziri katika awamu hii he is very bright Na ni Mvumilivu wa Kisiasa.
I wish him good , naomba CHADEMA tubadilike pia tusiwe Pinga Pinga!