Tazama kiambatanisho cha Barua ya Ikulu.
Screenshot. Alafu uitach. HapaModerators wakiamka wanaidelete hii ngoja ni iscreenshort fasta..nimepata story ya kwenye gahawa leo
Screenshot. Alafu uitach. Hapa
Siku kama 4 zilizopita nilianzisha Uzi kama huu,kuhusiana na hiyo barua,hata sekunde haikuchukua wakawa wameisha uondoa sijui Leo itakuwajeTazama kiambatanisho cha Barua ya Ikulu.
Si wa-download?Ipigeni screen shot. Wengine hawana app ya kuifunguaa. Pdf
Siamini macho yangu kama Askofu Malasusa ameweza kuwakana wana kondoo na hatimaye kumtumikia shetani. Ila akumbuke kuwa shetani humthamini mtumwa wake pale anapoona anatetea maslahi yake jukumu likiisha mahusiano yanaishia pale mfano Cardinal Pengo anaonekana kama karatasi la chooni baada ya kumaliza muda wake wa kumtumikia shetani. "Ubaya una mwisho"Tazama kiambatanisho cha Barua ya Ikulu.
"taasisi ya asha rose migiro" hiyo ni sehemu ya anuani ya zilipo ofisi za wizara ya mambo ya ndani kule UDOM,Barua yenyewe fake
1. Angalia kumbukumbu namba
2. Taasisi ya asha migiro imeingiaje
3. Namba ya chini ya sanduku la posta ina maana gani
4. Barua haina hata sahihi
5. Yani tarehe na kumbukumbu namba zipo mstari mmoja, huu ni uongo.
6. Umbali kati ya mstari wa kumbukumbu namba na kmb namba yenyewe. Yan mtu akiweka huo mstar ina maana kua kumb namba ingejazwa kwa mkono ila kwa hii barua sio. Ni hayo tu
Kuna jamaa huku uswahili kinondoni mkwajuni mafere ananunua nyumba nyingi na kuzijenga upya ana ukwasi wa ajabu anafahamika kama Ndg Joachim na pia wanadai yuko Kitengo kikuu ndio huyu anayetajwa hapa nini. Bonge la mtu hivi.Mungu atusaidie tufike salama huko tunako tarajia kufika
Tazama kiambatanisho cha Barua ya Ikulu.
mambo yote siku hizi ni JamiiForums.com, hii jf ishakuwa taasisi ya ccm, hawataki uiseme ccm au serikali vibayaSiku kama 4 zilizopita nilianzisha Uzi kama huu,kuhusiana na hiyo barua,hata sekunde haikuchukua wakawa wameisha uondoa sijui Leo itakuwaje
usijali ipo JamiiForums.com imejaa tele hata wakiifutaModerators wakiamka wanaidelete hii ngoja ni iscreenshort fasta..nimepata story ya kwenye gahawa leo