Rais Magufuli acha kuihadaa Dunia.

Rais Magufuli acha kuihadaa Dunia.

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Sidhani kama ushauri wangu kwako itakuwa ni kukukosea heshima,kwenye ukweli tuseme tu ukweli bila kupepesa macho.
Mh Rais umekuwa ukiihadaa Dunia kwamba chama chako CCM pamoja na wewe binafsi mnapendwa mno na watanzania jambo ambalo si kweli hata kidogo.
Ulipoingia madarakani ulipiga marufuku mikutano ya kisiasa ukidai kwamba huu ni wakati wa kufanya kazi na siasa zingefanyika 2020.
Cha ajabu wewe na chama chako ndo peke yenu mnafanya siasa kwa kuwarubuni wapinzani na kisha serikali inatumia pesa nyingi mno kufanya uchaguzi feki wa marudio,uchaguzi wa kuihadaa Dunia kwamba Tanzania kuna Demokrasia ,kumbe Demokrasia ya Tanzania ni kuipenda CCM.
Rejea kauli yako ,nakunukuu"Nakulipa mshahara,nimekupa gari na nyumba halafu unamtangaza mpinzani kashinda".
Mh Rais,wewe ni Baba wa watoto wote,lakini unabagua wanao.
Pesa zinazotumika kwenye chaguzi feki za marudio zilipaswa kutumika hata kutunza watoto yatima,watoto wa mitaani,wagonjwa na wajane,Mungu hawezi kubariki taifa lililojaa hila na chuki kwa wengine.
Rejea Habari ya Kaini na Abel,ndicho kitaikuta Tanzania.
Mungu hubariki taifa lenye upendo na mshikamano wa utakatifu,na siyo tambiko la mwenge na kuwaambia watu warejee CCM,CCM ndo kitu gani? CHADEMA ndo kitu gani?haya madude yamekuja juzi tu,Tanzania ilikuwepo na itakuwepo hata baada ya haya madude kutoweka.
 
Sidhani kama ushauri wangu kwako itakuwa ni kukukosea heshima,kwenye ukweli tuseme tu ukweli bila kupepesa macho.
Mh Rais umekuwa ukiihadaa Dunia kwamba chama chako CCM pamoja na wewe binafsi mnapendwa mno na watanzania jambo ambalo si kweli hata kidogo.
Ulipoingia madarakani ulipiga marufuku mikutano ya kisiasa ukidai kwamba huu ni wakati wa kufanya kazi na siasa zingefanyika 2020.
Cha ajabu wewe na chama chako ndo peke yenu mnafanya siasa kwa kuwarubuni wapinzani na kisha serikali inatumia pesa nyingi mno kufanya uchaguzi feki wa marudio,uchaguzi wa kuihadaa Dunia kwamba Tanzania kuna Demokrasia ,kumbe Demokrasia ya Tanzania ni kuipenda CCM.
Rejea kauli yako ,nakunukuu"Nakulipa mshahara,nimekupa gari na nyumba halafu unamtangaza mpinzani kashinda".
Mh Rais,wewe ni Baba wa watoto wote,lakini unabagua wanao.
Pesa zinazotumika kwenye chaguzi feki za marudio zilipaswa kutumika hata kutunza watoto yatima,watoto wa mitaani,wagonjwa na wajane,Mungu hawezi kubariki taifa lililojaa hila na chuki kwa wengine.
Rejea Habari ya Kaini na Abel,ndicho kitaikuta Tanzania.
Mungu hubariki taifa lenye upendo na mshikamano wa utakatifu,na siyo tambiko la mwenge na kuwaambia watu warejee CCM,CCM ndo kitu gani? CHADEMA ndo kitu gani?haya madude yamekuja juzi tu,Tanzania ilikuwepo na itakuwepo hata baada ya haya madude kutoweka.
.
IMG-20180921-WA0057.jpg
 
Sidhani kama ushauri wangu kwako itakuwa ni kukukosea heshima,kwenye ukweli tuseme tu ukweli bila kupepesa macho.
Mh Rais umekuwa ukiihadaa Dunia kwamba chama chako CCM pamoja na wewe binafsi mnapendwa mno na watanzania jambo ambalo si kweli hata kidogo.
Ulipoingia madarakani ulipiga marufuku mikutano ya kisiasa ukidai kwamba huu ni wakati wa kufanya kazi na siasa zingefanyika 2020.
Cha ajabu wewe na chama chako ndo peke yenu mnafanya siasa kwa kuwarubuni wapinzani na kisha serikali inatumia pesa nyingi mno kufanya uchaguzi feki wa marudio,uchaguzi wa kuihadaa Dunia kwamba Tanzania kuna Demokrasia ,kumbe Demokrasia ya Tanzania ni kuipenda CCM.
Rejea kauli yako ,nakunukuu"Nakulipa mshahara,nimekupa gari na nyumba halafu unamtangaza mpinzani kashinda".
Mh Rais,wewe ni Baba wa watoto wote,lakini unabagua wanao.
Pesa zinazotumika kwenye chaguzi feki za marudio zilipaswa kutumika hata kutunza watoto yatima,watoto wa mitaani,wagonjwa na wajane,Mungu hawezi kubariki taifa lililojaa hila na chuki kwa wengine.
Rejea Habari ya Kaini na Abel,ndicho kitaikuta Tanzania.
Mungu hubariki taifa lenye upendo na mshikamano wa utakatifu,na siyo tambiko la mwenge na kuwaambia watu warejee CCM,CCM ndo kitu gani? CHADEMA ndo kitu gani?haya madude yamekuja juzi tu,Tanzania ilikuwepo na itakuwepo hata baada ya haya madude kutoweka.
Tunahitaji kuwa wawazi na wakweli eti wanamuita chaguo la MUNGU wakati kahonga na kujeruhi watu toka lini MUNGU akahonga. Huyu ni rais mpagani otherwise chaguzi za mauaji ya akina AKWILINA yasingekuwepo. Tungeona chaguzi za amani.
 
We ndio unachuki na rais Wetu ,huoni tunavyoshinda Kweny chaguzi za ubunge ccm mbele kwa mbele huitaki kufa
 
Ulivyo fala utasema nchini hakuna uhuru wa kutoa maoni, hapa unapiga mgalala kwa kutumia gwanji?
Hawa akili zao wanazijua wenyewe. Anaongelea uhuru wa kuongea wakati anautumia kwa kuwajulisha watanzania wote kitu gani kimo akilini mwake kwa sasa.

Wakati mwingine hizi nchi maskini za ulimwengu wa tatu zinastahili sana kupelekeshwa kwa viboko kuliko hekima ya kumsikiliza mtu anaongea nini.
 
Hawa akili zao wanazijua wenyewe. Anaongelea uhuru wa kuongea wakati anautumia kwa kuwajulisha watanzania wote kitu gani kimo akilini mwake kwa sasa.

Wakati mwingine hizi nchi maskini za ulimwengu wa tatu zinastahili sana kupelekeshwa kwa viboko kuliko hekima ya kumsikiliza mtu anaongea nini.
Exactly!
 
Sidhani kama ushauri wangu kwako itakuwa ni kukukosea heshima,kwenye ukweli tuseme tu ukweli bila kupepesa macho.
Mh Rais umekuwa ukiihadaa Dunia kwamba chama chako CCM pamoja na wewe binafsi mnapendwa mno na watanzania jambo ambalo si kweli hata kidogo.
Ulipoingia madarakani ulipiga marufuku mikutano ya kisiasa ukidai kwamba huu ni wakati wa kufanya kazi na siasa zingefanyika 2020.
Cha ajabu wewe na chama chako ndo peke yenu mnafanya siasa kwa kuwarubuni wapinzani na kisha serikali inatumia pesa nyingi mno kufanya uchaguzi feki wa marudio,uchaguzi wa kuihadaa Dunia kwamba Tanzania kuna Demokrasia ,kumbe Demokrasia ya Tanzania ni kuipenda CCM.
Rejea kauli yako ,nakunukuu"Nakulipa mshahara,nimekupa gari na nyumba halafu unamtangaza mpinzani kashinda".
Mh Rais,wewe ni Baba wa watoto wote,lakini unabagua wanao.
Pesa zinazotumika kwenye chaguzi feki za marudio zilipaswa kutumika hata kutunza watoto yatima,watoto wa mitaani,wagonjwa na wajane,Mungu hawezi kubariki taifa lililojaa hila na chuki kwa wengine.
Rejea Habari ya Kaini na Abel,ndicho kitaikuta Tanzania.
Mungu hubariki taifa lenye upendo na mshikamano wa utakatifu,na siyo tambiko la mwenge na kuwaambia watu warejee CCM,CCM ndo kitu gani? CHADEMA ndo kitu gani?haya madude yamekuja juzi tu,Tanzania ilikuwepo na itakuwepo hata baada ya haya madude kutoweka.
Mzee wa Ilogi huyo
 
Lumumba FC watakutoa roho m to a mada
 
Unamsingizia; rais hajapata kusema anapendwa. Alichofanya tu ni kupiga marufuku kuwatangazia ushindi wagombea wasiotokana na chama chake. Wapambe wake ndio wanaozungumzia 'upepo wa Magufuli' wa wapinzani kujiuzulu nafasi zao ili kumuunga rais mkono na ushindi wa kishindo kwenye chaguzi ndogo.
 
Ukweli huo wakuu hawataki kuusikia... Pyu pyu pyuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom