Hiyo hiyo definition ya democracy ndio imeshakiukwa ktk nchi hii kwa siku nyingi.
Hiyo freedom of speech, freedom of assembly ziko wapi. Haki hiyo ya kupiga kura iko wapi au hiyo the right to life iko wapi wakati kuna wengine hadi leo hawajulikani waliko.
Kama huwezi kuyaona hayo basi wewe ndio kasuku wa ukweli yule atakuwa feki.
Ole,
Ole huwa unanichekesha vibaya, naona huwa unataka ushahidi, huwa sikuelewi unataka ushahidi gani kuwa demokrasia yetu inabakwa hivi sasa. Mtu akipitia hoja zako anaweza kudhani una hoja za msingi, lakini ukiangalia ni mtu uliyeshiba propaganda za kizee, kwa maneno marahisi uko ndani ya box.
Mkuu, the burden of proof is yours.
Ndugu yako ndio angepotea usingeongea upuuzi huo unaoongea hapo. Anyway, yote yana mwisho.Mkuu unaandika hapa sasa freedom of speech ni ipi? Freedom of assembly ipi ambayo huipati? Kura hulazimishwi, si vyama vya upinzani vimejitoa vyenyewe sasa ulitaka vilazimishwe? Wengine kina nani? Unataka ulindwe nyumbani kwako na pesa za walipa kodi? Huo ndio ukasuku akili unashikiliwa wakati unatakiwa uitumie kujiendeleza. Serikali haiwezi kufanya kila jambo mengine mnajitakia wenyewe then mnalaumu Serikali. Hakuna hata nchi moja ulimwenguni ambayo hakuna watu waliopotea au kuuwawa na kesi zao hazijapatiwa ufumbuzi. Hizi ni lawama ambazo hazina msingi.
Toka nje ya box utachekwa boss.
Ndugu yako ndio angepotea usingeongea upuuzi huo unaoongea hapo. Anyway, yote yana mwisho.
Kuna waliokuwa wakifanya exactly kama hayo lkn leo ni history na huenda huko walipo wanatamani wasingezaliwa ktk dunia hii. Time will bear me witness.
Mkuu unaandika hapa sasa freedom of speech ni ipi? Freedom of assembly ipi ambayo huipati? Kura hulazimishwi, si vyama vya upinzani vimejitoa vyenyewe sasa ulitaka vilazimishwe? Wengine kina nani? Unataka ulindwe nyumbani kwako na pesa za walipa kodi? Huo ndio ukasuku akili unashikiliwa wakati unatakiwa uitumie kujiendeleza. Serikali haiwezi kufanya kila jambo mengine mnajitakia wenyewe then mnalaumu Serikali. Hakuna hata nchi moja ulimwenguni ambayo hakuna watu waliopotea au kuuwawa na kesi zao hazijapatiwa ufumbuzi. Hizi ni lawama ambazo hazina msingi.
Shukuru uko hapa as anonymous, ninyi watu hamna Hata jeuri ya kuongea Mbele yake. Nendeni kwenye mikutano yake mumueleze.Dunia nzima inajua kuwa Tanzania mikononi mwako haina Demokrasia ,umefanya kila unaloweza kuua Demokrasia na Uhuru wa Habari.
Mimi hapa nakuandikia nikiwa natumia ID fake ili kulinda usalama wangu.
Lakini jukwaa hili la Jamiiforums nalotumia linaandamwa na serikali ili litoe siri au majina halisi ya wakosoaji wa serikali humu, na hadi sasa Kesi ipo mahakamani.
Wewe ni mkuu wa nchi, mfalme wa taifa la Tanzania, kutamka kwako hadharani kwamba eti Tanzania ina Demokrasia kubwa, ni kuwadhihaki watu wako uliowanyima haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wanaowataka.
Nikueleze wazi kwamba tangu umeingia madarakani umesahau kabisa kuwa maisha yana kesho, leo hii wewe ni Rais ila siku zijazo hutakuwa Rais tena, na hawa wanaokupa sifa kila siku hata ambako hustahili watakugeuka wote na kuanza kumsifia Rais atakayekuwa madarakani.
Mh Rais, hofu yako iko wapi hasa? mbona kuna sehemu unafanya vizuri kiasi cha kukubalika na watu automatically? Kwanini umekubali kuchoreshwa kiasi hicho?
Yaani wewe ni Binadamu, una mapungufu mengi tu sasa iweje ukubali kusifiwa kiasi hicho na wanaokukosoa waonekane wabaya?
Mwl Nyerere aliulizwa swali na mwandishi wa BBC enzi za uhai wake akiwa Rais mwaka 1983.
"Why are you getting ready to retire? "
Mwl Nyerere alijibu.
"Because I need to create a fresh legacy of mine and my country as well ".
Leo hii watanzania tunajivunia Mwl Nyerere, hata mabeberu walimpenda na kumwogopa Mwl.
Nyerere aliwahi kumshauri Kaunda na kumwambia.
"Mzee mwenzangu, achia madaraka kabla watu hawajakuchoka ".
Kaunda alikuwa Kiburi, hakuwa na hekima, hakusikiliza ushauri wa Mwl, matokeo yake alikuja kuondoka madarakani kwa aibu kubwa mno.
Wazambia hawana Rais wa kujivunia Kama sisi watanzania tunavyojivunia kwa Nyerere.
Ni kwa sababu Kaunda hakuacha Legacy nzuri.
Kikwete ameondoka madarakani na kuacha Legacy ya kuheshimu mfumo wa vyama vingi na Demokrasia.
Miaka ya nyuma Kati ya 1980 au 1984 Tanzania ilikumbwa na balaa la njaa, Nyerere hakuwaambia watanza nia kwamba ni wavivu na hawalimi watakufa njaa...
Alikimbilia Marekani kuomba msaada wa Chakula kwa ajili ya watu wake, msaada ulikuja haraka na malori yakaanza kusambaza Chakula nchi nzima, kila kaya iligawiwa Chakula cha kutosha, Mahindi ya njano, Burga (American meal) Maziwa ya unga pamoja na mafuta ya kupikia.
Wananchi walikula na kusaza hadi balaa la njaa lilipoisha .
Je wewe utaacha Legacy gani kwa taifa lako?
Rejea ya Tetemeko la Bukoba, MV Nyerere, Wafanyakazi, Demokrasia na Uhuru wa Habari, Uchumi wa nchi na anguko kuu la Mihimili ya Serikali.
=====
Maoni ya Wadau
Hao walishafanikisha teuzi,kazi zao zimewalipaAhahhhaa..huyu jamaa ananikumbusha enzi za Msalani,Lizaboni nk..
Usikariri semi ambazo huwezi kuzifahamu kwa undani, nimesema ''the burden of proof is yours''. Mimi siogopi kuchekwa, yaani hao wanaonicheka siwaoni halafu ni watu ambao wanatumia majina ya bandia hawanifahamu siwafahamu. basi itakuwa ni kituko. Hapa ni points tu na kuweza kutoa ukweli ambao siku zote husimama no matter what.
Inawezekana kabisa Matukio hayo yakawepo lakini yana tofautiana Mazingira ya Matukio yenyewe ,mfano hai kabisa ni hili la hapa kwetu la Mh Lissu.Mazingira yake yapo wazi tofauti na Matamko ya Vyombo vya Usalama.Tuna Haki Kikatiba kuhakikishiwa Usalama wetu Raia wa Nchi hii.
La Dada yetu Akwilina (R.I.P.) nalo unalisemea vipi Mkuu !?.
Nasema hivi, toka nje ya box propaganda zinakupofusha. Nahisi ww lazima utakuwa ni mzee.
Ben Saanane yupo wapi wewe jinga?
Sawa mimi ni mzee, wewe ni kijana. Hilo halikuondolei wewe kushindwa kuleta hapa ushahidi. (''the burden of proof is yours''.) Then naomba uniambie propaganda zangu ni zipi?
Huyo muulizeni Mbowe maana alikuwa mshauri wake mkuu kama sikosei. Halafu tafuteni kuna tetesi kwamba alipokuwa anasoma India hakumaliza, alitoroka baada ya kuua raia wa nchi ile. Tafuteni taarifa za kweli wacheni majungu.
Pambana na kisukari tu mzee ole, sioni kama una jipya zaidi ya kutapika propaganda ulizoshibishwa.
Jiwe ndio muhusika fullstop.