Rais kuwa makini na Waziri huyu, atakupeleka pabaya

cbandiho

Member
Sep 2, 2012
67
47
Mhe Rais, Tafadhali siku yoyote wakati wowote ikikupendeza, naomba usome ushauri wangu na ikikupendeza zaid ufanyie kazi.

Mimi ni miongoni mwa watanzania uliowaomba wakuombee,lkn kila nikiomba naona giza lmetanda bungeni na giza hlo linaonekana kwa wazir wako.

Kabla sjaendelea zaidi, naomba ninukuu mandiko matakatifu kutoka katika kitabu cha nabii isaya.

"Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa Bwana umekuzukia.

2 Maana, tazama, giza litaifunika dunia, Na giza kuu litazifunika kabila za watu; Bali Bwana atakuzukia wewe, Na utukufu wake utaonekana juu yako.

3 Na mataifa wataijilia nuru yako, Na wafalme kuujia mwanga wa kuzuka kwako.

4 Inua macho yako, utazame pande zote; Wote wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako watabebwa nyongani.

5 Ndipo utakapoona na kutiwa nuru, Na moyo wako utatetemeka na kukunjuka; Kwa kuwa wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri wa mataifa utakuwasilia."

Mhe. Rais uwepo wa mawazir wako bungeni ni uwepo wa serikali yako. Wewe Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania, umeapa kuwatumikia wananchi. Umeapa kurudisha heshima ya serikal, unahitaji viongozi watakaokusaidia kutimiza dhamira hiyo ya dhati uliyonayo.

Mhe Rais, wewe umetokana na kura za watanzania, wabunge pia wametokana na kura za wananchi,kwa sasa wanashauku ya kukusikia kila wakati unapoongea au kutoa hotuba kwan hotuba zako zmejaa matumaini kwao, wananchi pia wanashauku ya kuona wabunge wao jinsi watakavoibana serikali ,wanataka kuona dhamira yao katika kukusaidia wewe katika kutekeleza dhamira yako njema ikiwa ni kufichua maovu ili wakusaidie katika dhana ya UTUMBUAJI MAJIPU.

Kukusaidia hakumaanishi kukusifia kila wakati, hakumaanishi kuficha maovu katika serikali na kutangaza mema tu, kunamaanisha kukukosoa pale unapokosea na kukushauri pale ulipoteleza.serikali yetu inautaratibu tuliojiwekea ni vema kila mmja wetu akatumia utaratibu huo, kanun na sheria zilizopo kutekeleza majukumu yake.

Mhe.Rais sijui ni wazir gan huyu aliyetandwa na giza katika serikali yako, sijui ni kwa nn anataka kuwaweka wananchi katika giza, anataka kuwanyima wananchi unaowatumikia kuwasikia na kuwaona wawakilishi wao wakitimiza majukumu yao bungeni.Hawa wawakilishi ndio wasemaji wa wananchi, ndio wanataka kuona serikali yako inawajibika,wanataka kuona, kusikia na kuhisi mabadiliko kupitia kwa wawakilishi wao, lakin wananyimwa Uhuru huo, anayewanyima ni wazir wako, ni serikali yako.

Huyu anayetaka wananchi wawe katika giza amebeba uovu, huyu ni wazir wa kumwangalia kwa makin,huu uovu lazima uutoe mapema ni vema ukaukemea wakati haujakomaa, ukikomaa utaota mizizi.

Huyu huyu naiman ndiye mmoja wapo aliyekuletea mgogoro na mashirika ya misaada ya kimataifa, usipokuwa makini atakuweka katika mgogoro wa kidemokrasia ndan ya nchi na hata na mataifa mengine.

mhe Rais kama shinikizo la kutoonesha bunge live halijatokea kwako na halitokei kwako Tafadhali tafakar ushauri wangu kwa kina na hasa rejea nukuu ya mandiko matakatifu niliyoyaweka.

Hii ngoma unaicheza wewe na wewe ndiye mpiga ngoma.udharimu mwingi dhidi ya wananchi umefanywa na mfumo ulionao na mawazir wako wanatoka katika mfumo huo, tazama sana wasikugombanishe na wapinzani. Waogope wasaidiz wako wanaofanyia sifa, wanaotaka wafiche maovu na mazur tu yaonekane, hakika nakwambia ukiwaendekeza viongozi wa namna hii, siku akitokea mtu akafunua makabur hayo, uchafu huo,wana wa nchi hii hawatakusamehe.

Mungu akuongoze katika kuwatumikia watanzania kwa moyo wa dhati.Watu wote wanatumain utawatoa katika giza na kuwapeleka katika nuru. Wazir huyu hafai kuwa katika nuru unayoitafuta.

Namaliza kwa nukuu kutoka katika kitabu hcho hcho cha Isaya.
Isaya anasema"Watu wako naona watakuwa wenye haki wote,nao watarithi nchi milele,mdogo atakuwa elfu,na mnyonge atakuwa taifa hodari,mimi bwana nitayahimiza hayo wakati wako."

Mungu ibariki Tanzania na Watu wake.
 
Sio kwamba huyo uliyemwandikia hajui, anajua sana ila umesahau kuwa na yeye ni CCM.
 
Article ndefu lakini uandhishi wako mpaka mtu awe anarudirudia ili kupata hoja yako.

Hebu fanya editing, kisha iposti tena kuwasaidia wasomaji wako wakuelewe kwa urahisi!
 
Huyo unayemuomba ambane waziri wake ndio aliyeshika remote, ndio anabidilisha channel. Huyo waziri hana lolote analopanga zaidi ya kuitikia Naam bwana. Naona unajua kabisa anayetaka bunge lisionyeshwe lakini unatumia lugha ya staha tu ili asione kama watu tumejua yeye ndio yuko nyuma ya amri hiyo. Dunia hii ambayo hata mtoto wa darasa awali anajua kutumia vyombo vya mawasiliano wewe unajadili mambo ya nchi kwenye giza. Na wakati huo huo tunajua mikataba mingi ya kihuni imeingiwa kwenye sirisiri hivihivi na waliotungiza kwenye mikataba hiyo ndio hao hao leo wanataka bunge lifanye kwa siri. Tumeshaumwa na nyoka tukiona unyasi ......
 
Umesema awe makini na 'waziri huyu'

halafu unasema 'hujui waziri gani'

so inawezekana hujui hata ni waziri au naibu au katibu wa wizara?

Wewe ndo hjasoma na kuelewa nilichoandika, au kwa vile sikumtaja jina? Sifa za matendo niliyoyataja ndo njia pekee ya Rais kumtambua.
 
Hivi Nape haya ameyafanya bila baraka za Magufuli ?? Wala tatizo hapa sio Nape tatizo ni Magufuli mwenyewe
Nape hana ubavu wa kwenda kinyume na Magufuli
 
Ccm wanataka kupitisha miswaada na mikataba ya kifisadi ili wananchi tusisikie wakati wabunge wakiwakosoa, haiingii akilini hotuba ya waziri mkuu hatuioni laivu haya ni maajabu ya dunia
 
Mhe Rais, Tafadhali siku yoyote wakati wowote ikikupendeza, naomba usome ushauri wangu na ikikupendeza zaid ufanyie kazi.
Mimi ni miongoni mwa watanzania uliowaomba wakuombee,lkn kila nikiomba naona giza lmetanda bungeni na giza hlo linaonekana kwa wazir wako.
Kabla sjaendelea zaidi, naomba ninukuu mandiko matakatifu kutoka katika kitabu cha nabii isaya.
"Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa Bwana umekuzukia.
2 Maana, tazama, giza litaifunika dunia, Na giza kuu litazifunika kabila za watu; Bali Bwana atakuzukia wewe, Na utukufu wake utaonekana juu yako.
3 Na mataifa wataijilia nuru yako, Na wafalme kuujia mwanga wa kuzuka kwako.
4 Inua macho yako, utazame pande zote; Wote wanakusanyana; wanakujia wewe; Wana wako watakuja kutoka mbali. Na binti zako watabebwa nyongani.
5 Ndipo utakapoona na kutiwa nuru, Na moyo wako utatetemeka na kukunjuka; Kwa kuwa wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri wa mataifa utakuwasilia."
Mhe. Rais uwepo wa mawazir wako bungeni ni uwepo wa serikali yako. Wewe Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania, umeapa kuwatumikia wananchi. Umeapa kurudisha heshima ya serikal, unahitaji viongozi watakaokusaidia kutimiza dhamira hiyo ya dhati uliyonayo.
Mhe Rais, wewe umetokana na kura za watanzania, wabunge pia wametokana na kura za wananchi,kwa sasa wanashauku ya kukusikia kila wakati unapoongea au kutoa hotuba kwan hotuba zako zmejaa matumaini kwao, wananchi pia wanashauku ya kuona wabunge wao jinsi watakavoibana serikali ,wanataka kuona dhamira yao katika kukusaidia wewe katika kutekeleza dhamira yako njema ikiwa ni kufichua maovu ili wakusaidie katika dhana ya UTUMBUAJI MAJIPU.kukusaidia hakumaanishi kukusifia kila wakati, hakumaanishi kuficha maovu katika serikali na kutangaza mema tu, kunamaanisha kukukosoa pale unapokosea na kukushauri pale ulipoteleza.serikali yetu inautaratibu tuliojiwekea ni vema kila mmja wetu akatumia utaratibu huo, kanun na sheria zilizopo kutekeleza majukumu yake.

Mhe.Rais sijui ni wazir gan huyu aliyetandwa na giza katika serikali yako, sijui ni kwa nn anataka kuwaweka wananchi katika giza, anataka kuwanyima wananchi unaowatumikia kuwasikia na kuwaona wawakilishi wao wakitimiza majukumu yao bungeni.Hawa wawakilishi ndio wasemaji wa wananchi, ndio wanataka kuona serikali yako inawajibika,wanataka kuona, kusikia na kuhisi mabadiliko kupitia kwa wawakilishi wao, lakin wananyimwa Uhuru huo, anayewanyima ni wazir wako, ni serikali yako.
Huyu anayetaka wananchi wawe katika giza amebeba uovu, huyu ni wazir wa kumwangalia kwa makin,huu uovu lazima uutoe mapema ni vema ukaukemea wakati haujakomaa, ukikomaa utaota mizizi.
Huyu huyu naiman ndiye mmoja wapo aliyekuletea mgogoro na mashirika ya misaada ya kimataifa, usipokuwa makini atakuweka katika mgogoro wa kidemokrasia ndan ya nchi na hata na mataifa mengine.
mhe Rais kama shinikizo la kutoonesha bunge live halijatokea kwako na halitokei kwako Tafadhali tafakar ushauri wangu kwa kina na hasa rejea nukuu ya mandiko matakatifu niliyoyaweka.
Hii ngoma unaicheza wewe na wewe ndiye mpiga ngoma.udharimu mwingi dhidi ya wananchi umefanywa na mfumo ulionao na mawazir wako wanatoka katika mfumo huo, tazama sana wasikugombanishe na
wapinzani. Waogope wasaidiz wako wanaofanyia sifa, wanaotaka wafiche maovu na mazur tu yaonekane, hakika nakwambia ukiwaendekeza viongozi wa namna hii, siku akitokea mtu akafunua makabur hayo, uchafu huo,wana wa nchi hii hawatakusamehe.
Mungu akuongoze katika kuwatumikia watanzania kwa moyo wa dhati.Watu wote wanatumain utawatoa katika giza na kuwapeleka katika nuru. Wazir huyu hafai kuwa katika nuru unayoitafuta.

Namaliza kwa nukuu kutoka katika kitabu hcho hcho cha Isaya.
Isaya anasema"Watu wako naona watakuwa wenye haki wote,nao watarithi nchi milele,mdogo atakuwa elfu,na mnyonge atakuwa taifa hodari,mimi bwana nitayahimiza hayo wakati wako."
Mungu ibariki Tanzania na Watu wake.
Huyo Waziri mtoto wa mwandosya ambaye hataki Bunge lionyeshwe live ?
 
Ccm wanataka kupitisha miswaada na mikataba ya kifisadi ili wananchi tusisikie wakati wabunge wakiwakosoa, haiingii akilini hotuba ya waziri mkuu hatuioni laivu haya ni maajabu ya dunia
Hii ndiyo Tanzania kila jambo linawezekana na Sasa Lugumi na kitwanga wamezinunua kamati za Bunge zote hakuna kumgusa kitwanga
 
Sasa miswada mingi itapitishwa kimagumashi Kama sheria ya Mitandao ilivyopitishwa Kwa nguvu za kamati za Ufundi za January Makamba toka Gambia na misitu ya Amazon .
 
Hivi Nape haya ameyafanya bila baraka za Magufuli ?? Wala tatizo hapa sio Nape tatizo ni Magufuli mwenyewe
Nape hana ubavu wa kwenda kinyume na Magufuli
Napenda sana watu wanaokwenda moja kwa moja kwenye ukweli bila kutafuna tafuna maneno kama wewe.

Asichokijua mleta uzi ni ukweli kwamba Nape hana ubavu wa kuzuia TBC kuonyesha live mikutano ya bunge. Kwa tunaomjua Nape, tatizo lake kubwa ni kiongozi asiyekuwa makini hasa kwenye kauli zake lakini ni muwazi asiyependa kuficha ficha na kufanyia mambo gizani.

Isipokuwa najua katika hili tutamlaumu na kumbebesha bure Nape mzigo huu na hawezi kusema ametumwa lakini ukweli ni kwamba anatekeleza kile alichoagizwa na bosi wake Magufuli afanye.
 
Back
Top Bottom