Imekua kama kansa sasa Rais Magufuli kuingilia taratibu za kawaida za ibada .
Anachofanya wakati wote ni unajisi tuu na hakina tafsiri yoyote. Mengine ni kampeni za kijinga aonekane si mdhambi.
Wanaosali Oysterbay katoliki wanajua kero hizi. Yaani watu Hawasali tena kwa utulivu kisa sifa za kisiasa.
Jana mpaka anajipeleka kukusanya sadaka wakati kuna wahudumu huandaliwa kabisa kwa kila tukio ndani ya adhimisho.Kuna siku atataka na kukomunisha na Pengo atakenua tuu.
Hapa nasimamia liturjia yetu Katoliki upuuzi huu ufe mara moja. Atumie chapel ya ikulu inamtosha.
Wengi including viongozi katoliki ambao kwa sasa wamegawanywa na siasa na kufumbwa midomo wako kimya tu .
Upuuzi nyamazeni sisi mawe tunasema. RAIS HESHIMU IBADA ZETU TAFADHALI.
Anachofanya wakati wote ni unajisi tuu na hakina tafsiri yoyote. Mengine ni kampeni za kijinga aonekane si mdhambi.
Wanaosali Oysterbay katoliki wanajua kero hizi. Yaani watu Hawasali tena kwa utulivu kisa sifa za kisiasa.
Jana mpaka anajipeleka kukusanya sadaka wakati kuna wahudumu huandaliwa kabisa kwa kila tukio ndani ya adhimisho.Kuna siku atataka na kukomunisha na Pengo atakenua tuu.
Hapa nasimamia liturjia yetu Katoliki upuuzi huu ufe mara moja. Atumie chapel ya ikulu inamtosha.
Wengi including viongozi katoliki ambao kwa sasa wamegawanywa na siasa na kufumbwa midomo wako kimya tu .
Upuuzi nyamazeni sisi mawe tunasema. RAIS HESHIMU IBADA ZETU TAFADHALI.