Nafikiri cha kujadili ni je, alikuwa katika retina ya kukusanya sadaka?
Nijuavyo kuna taratibu na ratiba maalum ya nani wanawajibika na nini, katika kila ibada. Kama pengine jumuiya yake ndio ilikuwa ikiwajibika na ukusanyaji sadaka, hapo hamna shida, ila watu wake wa usalama sijui atakuwa kawaacha wapi? Ila ikiwa ni kwa sifa zake tu anakurupuka na kuwasukuma wahusika waczoezi hilo waliotayarishwa, basi hata mimi nasema, waache sifa na sasa zake ccm.
Nachelea kusema ana nia ovu ya kuangalia wingi au uchache wa sadaka ili atumie kisiasa (majukwaani), kwamba vyuma havijakaza mbona kanisa....wanatoa pesa nyingi. Au katika dhana ya wote tuishi kama 'shetani', sijui ndie anayemwabudu, basi atayashukia makanisa kuyataka apate kutoka hapo kitu kidogo.