Rais kufanya maamuzi kwa maslahi ya umma

Mussa Loth

Member
Apr 13, 2012
10
3
Katka sheria nyingi zilizotungwa na Bunge, pamoja na katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania,baadhi ya ibara katika katiba na baadhi ya vifungu vinampa mamlaka Raisi kutekeleza baadhi ya maamuzi kwa maslahi ya Umma. Naomba kufahamisha mahali popote ambapo naweza kuyapata maslahi ya Umma yaliyoanishwa ilinifahamu msingi wake.
 
Back
Top Bottom