Mussa Loth
Member
- Apr 13, 2012
- 10
- 3
Katka sheria nyingi zilizotungwa na Bunge, pamoja na katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania,baadhi ya ibara katika katiba na baadhi ya vifungu vinampa mamlaka Raisi kutekeleza baadhi ya maamuzi kwa maslahi ya Umma. Naomba kufahamisha mahali popote ambapo naweza kuyapata maslahi ya Umma yaliyoanishwa ilinifahamu msingi wake.