Rais Kikwete Ziarani Marekani:

Mwawado

JF-Expert Member
Nov 2, 2006
993
252
Rais Jakaya Mrisho Kikwete yupo New York kwa ziara ya Kikazi nchini Marekani itakayomchukua siku 12.Mheshimiwa Rais ameongozana na Waziri wa mambo ya Nchi za Nje pamoja na ujumbe wa watu 20.

Siku ya Jumanne (22/09/09) Rais atahudhuria Mkutano unaohusu Mazingira na Hali ya Hewa Duniani.Mkutano ambao utafunguliwa na Rais Obama,Mkutano huo ni maandalizi ya Mkutano Mkubwa wa mazingira utakaohudhuriwa na karibu Viongozi wote Duniani utakaofanyika Copenhagen-Denmark mwezi wa Disemba/2009.

Siku hiyo hiyo ya Jumanne Rais Obama atawaandalia Chakula cha Mchana Viongozi wa Nchi 16.Viongozi wa Nchi 10 kati ya hao ni kutoka Africa kusini mwa Jangwa la Sahara,Rais Obama atazungumza na Viongozi hao ambao wametoa wanajeshi kuunda Jeshi la kulinda amani Nchini Sudan,Rais Kikwete amealikwa katika Mkutano huo.

Siku ya Jumatano (23/09/09) Rais Kikwete atafungua rasmi Mkutano wa Nchi za kiafrika zinazopambana kuutokomeza ugonjwa wa malaria,Nchi hizo 12 zinajulikana kwa jina la ALMA.Rais Kikwete ni Mwenyekiti wa Kundi hilo.Mkutano huo pia utahudhuriwa na Balozi wa UN anayeshughulikia kuutokomeza ugonjwa wa Malaria,Balozi huyo ni Dr.Jay Wisten.

Siku ya Alhamis (24/09/09) Rais Jakaya Kikwete atauhutubia Mkutano wa 64 wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa.Siku hiyo hiyo ya Alhamis ujumbe wa Rais utakutana na Carter Center kujadili masuala ya Uchaguzi na Demokrasia.Carter Center ni moja kati ya Jumuiya za kimataifa zitakazoshiriki usimamizi wa Uchaguzi mwakani,pia kujifunza na kuangalia uwezekano wa Watanzania walio nje kupiga kura.

Rais na Ujumbe wake atakutana na Wafanyabiashara mbalimbali kuwahamasisha kuwekeza Tanzania,Atahudhuria Ufunguzi wa Ubalozi wetu huko Washington DC Na kuhudhuria Uzinduzi wa Jumuiya wa Watanzania waishio Marekani.Rais na Ujumbe wake wanatarajiwa kurudi Tanzania Jumapili ya tarehe 04/10/09.
 
(siku 12 + 2 za kusafiri) x 2 au 3 trips/year ni karibu 10% ya mwaka. Kwa maneno mengine anatumia 10% ya muda wake USA. Hii imekaaje bandugu...? Halafu shughuli zenyewe basi tu..
 
Last edited:
Katika Moja ya shughuli za Ziara Ya Rais Mjini New York ni Kuhudhuria Mkutano wa Clinton Global Initiative,Unaofanyika siku ya Jumanne,kwa utaratibu wa Mkutano huo ilitakiwa Ofisi ya Rais ithibitishe kuhudhuria Mkutano huo kwa angalau siku tatu kabla ya siku ya Mkutano,Ofisi hiyo haikufanya hivyo,kwa maana hiyo hakukutayarishwa vitambulisho (badges) na eneo la kukaa kwenye Mkutano.

Kumekuwa na kawaida ya kuchelewa kwenye Mikutano mingi ya Mheshimiwa Rais,ama kwa kukiukwa taratibu au kwa uzembe wa watendaji wa Rais,Kuna uwezekano mkubwa Rais asihudhurie Mkutano wa Kesho,Kutoka katika Tovuti ya GCI naambanisha orodha ya viongozi waliothibitisha kuhudhuria mkutano huo.

The following are among those who have confirmed their attendance at the 2009 CGI Annual Meeting: Her Majesty Queen Rania Al Abdullah (Jordan), Prime Minister Nasser Al-Mohammed Al-Ahmed Al-Jaber Al-Sabah (Kuwait), Prime Minister Shaikh Hamad bin Jassim bin Jabr Al-Thani (Qatar), President John E. Atta Mills (Ghana), President Michelle Bachelet (Chile), President Bwezani R. Banda (Zambia), President Tsakhiagiin Elbegdorj (Mongolia), Prime Minister Recep Tayyip Erdogan (Turkey), President Leonel Fernández (Dominican Republic), President Ólafur Ragnar Grímsson (Iceland), President Tarja Halonen (Finland), President Gjorge Ivanov (Macedonia), President Paul Kagame (Rwanda), Prime Minister John Key (New Zealand), President Václav Klaus (Czech Republic), Chairman of the Presidency Željko Komšić (Bosnia and Herzegovina), President Ernest Bai Koroma (Sierra Leone), President Gloria Macapagal-Arroyo (Philippines), Prime Minister Pakalitha Mosisili (Lesotho), President Mohamed Nasheed (Maldives), President Barack Obama (United States), Prime Minister Raila A. Odinga (Kenya), President René Préval (Haiti), Prime Minister Navinchandra Ramgoolam (Mauritius), President José Ramos-Horta (Timor-Leste), Prime Minister Kevin Rudd (Australia), President Mikheil Saakashvili (Georgia), Prime Minister Michael Thomas Somare (Papua New Guinea), President Danilo Türk (Slovenia), President Álvaro Uribe Vélez (Colombia), President Abdoulaye Wade (Senegal), President Umaru Yar'adua (Nigeria), President Viktor Yushchenko (Ukraine), President Valdis Zatlers (Latvia), Former Taoiseach Bertie Ahern (Ireland), Former President Martti Ahtisaari (Finland), Former Prime Minister Tony Blair (United Kingdom), Former Prime Minister Kjell Magne Bondevik (Norway), Former Prime Minister Gro Harlem Brundtland (Norway), Former Prime Minister Jean Chrétien (Canada), Former Prime Minister Helen Clark (New Zealand), Former President Branko Crvenkovski (Macedonia), Former President José María Figueres Olsen (Costa Rica), Former Prime Minister António Guterres (Portugal), Former President Chandrika Bandaranaike Kumaratunga (Sri Lanka), Former President Ricardo Lagos (Chile), Former President Festus Gontebanye Mogae (Botswana), Former President Olusegun Obasanjo (Nigeria), Former President Andrés Pastrana Arango (Colombia), Former Prime Minister Poul N. Rasmussen (Denmark), Former President Jerry John Rawlings (Ghana), Former President Mary Robinson (Ireland), Former Prime Minister Jennifer M. Shipley (New Zealand), Member of the Presidency Haris Silajdžić (Bosnia and Herzegovina), Former President Petar Stoyanov (Bulgaria), Former President Ernesto Zedillo (Mexico), Crown Prince Haakon (Norway), Crown Princess Mette-Marit (Norway), Duchess Cristina Federica de Borbón (Spain), Former Ambassador to the U.S. Prince Turki Al Faisal Al Saud (Saudi Arabia), Gerry Adams (President of Sinn Féin), Minister of Cabinet Affairs Mohammad Al Gergawi (United Arab Emirates), Minister of Foreign Affairs Khalid bin Ahmed bin Mohamed Al Khalifa (Bahrain), Chairperson of Museums Authority Shaikha Al Mayassa bint Hamad bin Khalifa Al-Thani (Qatar), Minister of Defense Ehud Barak (Israel), Mark Henry Durkan (SDLP), Leader Sir Reg Empey (SDLP), Minister of Employment Sir Reg Empey (Ulster Unionist Party), Secretary General Amre Moussa (League of Arab States), President George A. Papandreou (Socialist International), Secretary General Surin Pitsuwan (ASEAN), Fazle Abed (BRAC), Richard Adkerson (Freeport-McMoran Copper & Gold), Madeleine Albright (Albright Stonebridge Group), Bradbury Anderson (Best Buy Co.), Nancy Birdsall (Center for Global Development), Lloyd C. Blankfein (The Goldman Sachs Group, Inc.), Angela F. Braly (Wellpoint, Inc.), Eli Broad (The Eli & Edythe Broad Foundation), Peter Buffett (NoVo Foundation), Jennifer Buffett (NoVo Foundation), John T. Chambers (Cisco), Wesley Clark (Wesley K. Clark and Associates), Hillary Rodham Clinton (Secretary of State), Matt Damon, Robert E. Diamond Jr. (Barclays PLC), James Dimon (JP Morgan Chase & Co.), William Drayton (Ashoka: Innovators for the Public), Mike Duke ( Wal-Mart Stores, Inc. ), Maria Eitel (Nike Foundation), Roger Ferguson (TIAA-CREF), William Frist (Vanderbilt University), Helene Gayle (CARE USA), Carlos Ghosn (Nissan Motor; Renault), John Glenn (Ohio State University), Christina Gold (Western Union), Tom Golisano (Paychex Corporation), Al Gore (The Alliance for Climate Protection), Lew Hay (FPL Group), Carlos Slim Helu (Grupo Carso S.A. de C.V.), John B. Hess (Hess Corporation), Jeffrey Immelt (General Electric ), Valerie Jarrett (White House), Quincy Jones, Muhtar Kent (The Coca-Cola Company), Alicia Keys (Keep A Child Alive), Ashton Kutcher, Anne Lauvergeon (AREVA), Andrew N. Liveris (The Dow Chemical Company), Jack Ma (Alibaba Group), Wangari Muta Maathai (Green Belt Movement, Kenya), Charles MacCormack (Save the Children), Harold McGraw III (McGraw-Hill Companies), Demi Moore, Luis Alberto Moreno (Inter-American Development Bank), Ray Nagin (Mayor of New Orleans), Marilyn Nelson (Carlson Companies), Indra K. Nooyi (PepsiCo), Thoraya Obaid (United Nations Population Fund), Raymond Offenheiser (Oxfam America), Ngozi Okonjo-Iweala (World Bank Group), Pamela Omidyar (Humanity United), Pierre Omidyar (eBay), Guillaume Pépy (SNCF), John Podesta (Center for American Progress), Carl Pope (Sierra Club), Bernard J. Poussot (Wyeth), Jonathan Reckford (Habitat for Humanity International), Judith Rodin (The Rockefeller Foundation), James Rogers (Duke Energy), Zainab Salbi (Women for Women International), Peter Sands (Standard Chartered PLC), John R. Seffrin (American Cancer Society), John Sexton (New York University), Premal Shah (Kiva.org), Josette Sheeran (United Nations World Food Programme), Hilda Solis (Secretary of Labor), Mira Sorvino (United Nations Office on Drugs and Crime), Barbra Streisand (Streisand Foundation), Larry Summers (National Economic Council), Mark R. Tercek (Nature Conservancy), Rex W. Tillerson (ExxonMobil), Jonathan Tisch (Loews Corporation), Ted Turner (Turner Enterprises), Ann Veneman (UNICEF), Timothy Wirth (United Nations Foundation), David Yarnold (Environmental Defense Fund), Muhammad Yunus (Grameen Bank), Robert B. Zoellick (World Bank Group).

Please note that unlike previous years, the Breakout Sessions and Special Sessions will be open to the press. Plenary sessions will once again be open press. Space is limited; to reserve a spot, and if you have any questions, please email press@clintonglobalinitiative.org .
 
Huyu bwana hata sina hamu nae tokea kusema kuwa dual citizenship ni kula kuwili!
 
kumbe hata ma former president wanaenda kwa nini basi asimtume pinda, membe, mwinyi ama mkapa.

kenya raila anawawakilisha
 
Huyu bwana hata sina hamu nae tokea kusema kuwa dual citizenship ni kula kuwili!

I say, Ngida1, tafadhali usikumbushie hili suala, maanake nilikuwapo kwenye huo mkutano wake. Tumbo lilinisokota ndani kwa ndani. Tena akasema kuwa hao waliopinga ni wasomi wakubwa. Safari hii nikisikia kapita njia hii basi nitageuza gari, kwani sitaki kumsikia kabisa.
Roho mbaya tu na hakuna jengine. Wanaona watu watapata na wao watapitwa na huo ufisadi wao. Labda wanaogopea wasirudi wamanga kule Visiwani kwao.
 
Back
Top Bottom